Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Shalom,
Ukiheshimiwa jiheshimu, sasa ukweli ni kwamba miaka 10 Ikulu ni mingi sana, ukihudimu kama Makamu wa Rais na Rais kwa nusu vipindi kiapo chako na kikanuni na kikatiba ni Cheo chako Cha umakamu, chama kimekupa ridhaa ya miaka 10 tu ya umakamu hicho kiti cha juu ni bonus kutokana na kifo cha Rais, kuondoka kwa heshima utaheshimika sana.
Kama ambavyo tunafurahia matunda ya wewe na wao kuheshimika basi ndivyo hivyo kuondoka ni lazima sio ombi.
Ipate kufahamika kwamba katiba, kanuni, taratibu na miongozo kupitia serikali na chama havina budi kuheshimika.
Asiyesikia la Mkuu huvunjika guu chukua chako ondoka imefika mwisho sasa ofisi kubwa kubwa kupewa watu wa bahati nasibu kuokota embe kwenye mikatusi .
Chama hakikumtuma huyo na ukiranja wenye Dira tuzingatie viapo ukipewa maliza ondoka.
Usiposikia la Mkuu ni kujivisha umungu Mkuu mbele ya mashetani wenye viapo vya kuzimu.
Ni hayo tu
Wadiz
Ukiheshimiwa jiheshimu, sasa ukweli ni kwamba miaka 10 Ikulu ni mingi sana, ukihudimu kama Makamu wa Rais na Rais kwa nusu vipindi kiapo chako na kikanuni na kikatiba ni Cheo chako Cha umakamu, chama kimekupa ridhaa ya miaka 10 tu ya umakamu hicho kiti cha juu ni bonus kutokana na kifo cha Rais, kuondoka kwa heshima utaheshimika sana.
Kama ambavyo tunafurahia matunda ya wewe na wao kuheshimika basi ndivyo hivyo kuondoka ni lazima sio ombi.
Ipate kufahamika kwamba katiba, kanuni, taratibu na miongozo kupitia serikali na chama havina budi kuheshimika.
Asiyesikia la Mkuu huvunjika guu chukua chako ondoka imefika mwisho sasa ofisi kubwa kubwa kupewa watu wa bahati nasibu kuokota embe kwenye mikatusi .
Chama hakikumtuma huyo na ukiranja wenye Dira tuzingatie viapo ukipewa maliza ondoka.
Usiposikia la Mkuu ni kujivisha umungu Mkuu mbele ya mashetani wenye viapo vya kuzimu.
Ni hayo tu
Wadiz