Kurithi Kiti Cha Urais sio Ticket ya Kuendelea na Urais. Heshimu miaka 10 Ondoka

Kurithi Kiti Cha Urais sio Ticket ya Kuendelea na Urais. Heshimu miaka 10 Ondoka

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Shalom,

Ukiheshimiwa jiheshimu, sasa ukweli ni kwamba miaka 10 Ikulu ni mingi sana, ukihudimu kama Makamu wa Rais na Rais kwa nusu vipindi kiapo chako na kikanuni na kikatiba ni Cheo chako Cha umakamu, chama kimekupa ridhaa ya miaka 10 tu ya umakamu hicho kiti cha juu ni bonus kutokana na kifo cha Rais, kuondoka kwa heshima utaheshimika sana.

Kama ambavyo tunafurahia matunda ya wewe na wao kuheshimika basi ndivyo hivyo kuondoka ni lazima sio ombi.

Ipate kufahamika kwamba katiba, kanuni, taratibu na miongozo kupitia serikali na chama havina budi kuheshimika.

Asiyesikia la Mkuu huvunjika guu chukua chako ondoka imefika mwisho sasa ofisi kubwa kubwa kupewa watu wa bahati nasibu kuokota embe kwenye mikatusi .

Chama hakikumtuma huyo na ukiranja wenye Dira tuzingatie viapo ukipewa maliza ondoka.

Usiposikia la Mkuu ni kujivisha umungu Mkuu mbele ya mashetani wenye viapo vya kuzimu.

Ni hayo tu

Wadiz
 
Shalom,

Ukiheshimiwa jiheshimu, sasa ukweli ni kwamba miaka 10 Ikulu ni mingi sana, ukihudimu kama Makamu wa Rais na Rais kwa nusu vipindi kiapo chako na kikanuni na kikatiba ni Cheo chako Cha umakamu, chama kimekupa ridhaa ya miaka 10 tu ya umakamu hicho kiti cha juu ni bonus kutokana na kifo cha Rais, kuondoka kwa heshima utaheshimika sana.

Kama ambavyo tunafurahia matunda ya wewe na wao kuheshimika basi ndivyo hivyo kuondoka ni lazima sio ombi.

Ipate kufahamika kwamba katiba, kanuni, taratibu na miongozo kupitia serikali na chama havina budi kuheshimika.

Asiyesikia la Mkuu huvunjika guu chukua chako ondoka imefika mwisho sasa ofisi kubwa kubwa kupewa watu wa bahati nasibu kuokota embe kwenye mikatusi .

Chama hakikumtuma huyo na ukiranja wenye Dira tuzingatie viapo ukipewa maliza ondoka.

Usiposikia la Mkuu ni kujivisha umungu Mkuu mbele ya mashetani wenye viapo vya kuzimu.

Ni hayo tu

Wadiz
Uzuri wanao watuma wameshajulikana
 
Hii vita Bibi na vikaragosi wake hawawezi wajiandae kusepa tu liwalo na liwe hao popobawa sio wamejipanga sana na hawawezi
Mkiwa nyuma ya kiibodi mnavyopayuka sasa! Eti liwalo na liwe. Akitokea mtu akawaandalia hata maandamano tu mnaufyata kama sio nyie.

Hawa watu hawawezi kuondoka kwa kupayuka kwenu mitandaoni
 
Shalom,

Ukiheshimiwa jiheshimu, sasa ukweli ni kwamba miaka 10 Ikulu ni mingi sana, ukihudimu kama Makamu wa Rais na Rais kwa nusu vipindi kiapo chako na kikanuni na kikatiba ni Cheo chako Cha umakamu, chama kimekupa ridhaa ya miaka 10 tu ya umakamu hicho kiti cha juu ni bonus kutokana na kifo cha Rais, kuondoka kwa heshima utaheshimika sana.

Kama ambavyo tunafurahia matunda ya wewe na wao kuheshimika basi ndivyo hivyo kuondoka ni lazima sio ombi.

Ipate kufahamika kwamba katiba, kanuni, taratibu na miongozo kupitia serikali na chama havina budi kuheshimika.

Asiyesikia la Mkuu huvunjika guu chukua chako ondoka imefika mwisho sasa ofisi kubwa kubwa kupewa watu wa bahati nasibu kuokota embe kwenye mikatusi .

Chama hakikumtuma huyo na ukiranja wenye Dira tuzingatie viapo ukipewa maliza ondoka.

Usiposikia la Mkuu ni kujivisha umungu Mkuu mbele ya mashetani wenye viapo vya kuzimu.

Ni hayo tu

Wadiz
Dah aisee
 
Akiendelea hadi 2030, Tanzania inaweza kuwa kama Yemen au Somalia, makundi, udini, ukabila, tofauti kuongezeka kati ya bara na visiwani, vita kati ya matajiri na maskini, wanawake na wanaume, umaskini wa kutisha kwa wengi, ufisadi rushwa, wizi, ujambazi, utapeli wa ardhi, nyumba, mashamba, kuuza rasilimali zote za Taifa zilizobaki kushamiri zaidi.
 
Shalom,

Ukiheshimiwa jiheshimu, sasa ukweli ni kwamba miaka 10 Ikulu ni mingi sana, ukihudimu kama Makamu wa Rais na Rais kwa nusu vipindi kiapo chako na kikanuni na kikatiba ni Cheo chako Cha umakamu, chama kimekupa ridhaa ya miaka 10 tu ya umakamu hicho kiti cha juu ni bonus kutokana na kifo cha Rais, kuondoka kwa heshima utaheshimika sana.

Kama ambavyo tunafurahia matunda ya wewe na wao kuheshimika basi ndivyo hivyo kuondoka ni lazima sio ombi.

Ipate kufahamika kwamba katiba, kanuni, taratibu na miongozo kupitia serikali na chama havina budi kuheshimika.

Asiyesikia la Mkuu huvunjika guu chukua chako ondoka imefika mwisho sasa ofisi kubwa kubwa kupewa watu wa bahati nasibu kuokota embe kwenye mikatusi .

Chama hakikumtuma huyo na ukiranja wenye Dira tuzingatie viapo ukipewa maliza ondoka.

Usiposikia la Mkuu ni kujivisha umungu Mkuu mbele ya mashetani wenye viapo vya kuzimu.

Ni hayo tu

Wadiz
Mkuu na wewe umelipwa na wale mawaziri ili umpe makavu maza?
 
Shalom,

Ukiheshimiwa jiheshimu, sasa ukweli ni kwamba miaka 10 Ikulu ni mingi sana, ukihudimu kama Makamu wa Rais na Rais kwa nusu vipindi kiapo chako na kikanuni na kikatiba ni Cheo chako Cha umakamu, chama kimekupa ridhaa ya miaka 10 tu ya umakamu hicho kiti cha juu ni bonus kutokana na kifo cha Rais, kuondoka kwa heshima utaheshimika sana.

Kama ambavyo tunafurahia matunda ya wewe na wao kuheshimika basi ndivyo hivyo kuondoka ni lazima sio ombi.

Ipate kufahamika kwamba katiba, kanuni, taratibu na miongozo kupitia serikali na chama havina budi kuheshimika.

Asiyesikia la Mkuu huvunjika guu chukua chako ondoka imefika mwisho sasa ofisi kubwa kubwa kupewa watu wa bahati nasibu kuokota embe kwenye mikatusi .

Chama hakikumtuma huyo na ukiranja wenye Dira tuzingatie viapo ukipewa maliza ondoka.

Usiposikia la Mkuu ni kujivisha umungu Mkuu mbele ya mashetani wenye viapo vya kuzimu.

Ni hayo tu

Wadiz
Katiba ya nchi urais ni wa miaka mitano tu na endapo utafanikiwa kugombea tena na endapo utashinda ni miaka mingine mitano jumla kumi. CCM wanalazimisha miaka kumi kama awamu moja kinyume cha katiba ya nchi.
 
Back
Top Bottom