Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Wenye vijiba vya roho kwa maza ni wale kina nchemba na genge lao, itapendeza wakifa na vijiba vyao vya roho😁Mtakufa navyo vijiba vya roho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye vijiba vya roho kwa maza ni wale kina nchemba na genge lao, itapendeza wakifa na vijiba vyao vya roho😁Mtakufa navyo vijiba vya roho.
Hii comment inatakiwa ifungiliwe uzi wake.Akiendelea hadi 2030, Tanzania inaweza kuwa kama Yemen au Somalia, makundi, udini, ukabila, tofauti kuongezeka kati ya bara na visiwani, vita kati ya matajiri na maskini, wanawake na wanaume, umaskini wa kutisha kwa wengi, ufisadi rushwa, wizi, ujambazi, utapeli wa ardhi, nyumba, mashamba, kuuza rasilimali zote za Taifa zilizobaki kushamiri zaidi.
HAHM ndonani huyo?Nami nimesema sana mama 2025 apumzike.....amuweke hata HAHM apige yake 10.....tuko radhiiii
Mkuu umeandika kwa ukali na kwa Mamlaka, vipi wewe ni mkubwa kuliko godfather wa ndani ya chama na Mastermind anayeshikilia rimoti mzee wa mjini?Shalom,
Ukiheshimiwa jiheshimu, sasa ukweli ni kwamba miaka 10 Ikulu ni mingi sana, ukihudimu kama Makamu wa Rais na Rais kwa nusu vipindi kiapo chako na kikanuni na kikatiba ni Cheo chako Cha umakamu, chama kimekupa ridhaa ya miaka 10 tu ya umakamu hicho kiti cha juu ni bonus kutokana na kifo cha Rais, kuondoka kwa heshima utaheshimika sana.
Kama ambavyo tunafurahia matunda ya wewe na wao kuheshimika basi ndivyo hivyo kuondoka ni lazima sio ombi.
Ipate kufahamika kwamba katiba, kanuni, taratibu na miongozo kupitia serikali na chama havina budi kuheshimika.
Asiyesikia la Mkuu huvunjika guu chukua chako ondoka imefika mwisho sasa ofisi kubwa kubwa kupewa watu wa bahati nasibu kuokota embe kwenye mikatusi .
Chama hakikumtuma huyo na ukiranja wenye Dira tuzingatie viapo ukipewa maliza ondoka.
Usiposikia la Mkuu ni kujivisha umungu Mkuu mbele ya mashetani wenye viapo vya kuzimu.
Ni hayo tu
Wadiz
Sijawahi kuwa na madaraka, ila inaonekana madaraka matamu, kupigiwa saluti, kuwa na escorts kila mahali, kutafuta wawekezaji, kuingia mikataba na makampuni, watu, nchi, mashirika nk nk inaonekana kutamu sana,Hata ningekuwa Mimi ningepumzika na kuwapisha wengine, Mana kiti ni chamoto na Kila mtu anakitolea macho.
Wape wapeee mamaaaMtakufa navyo vijiba vya roho.
Nami nimesema sana mama 2025 apumzike.....amuweke hata HAHM apige yake 10.....tuko radhiiii
.Akiendelea hadi 2030, Tanzania inaweza kuwa kama Yemen au Somalia, makundi, udini, ukabila, tofauti kuongezeka kati ya bara na visiwani, vita kati ya matajiri na maskini, wanawake na wanaume, umaskini wa kutisha kwa wengi, ufisadi rushwa, wizi, ujambazi, utapeli wa ardhi, nyumba, mashamba, kuuza rasilimali zote za Taifa zilizobaki kushamiri zaidi.
Na January aondoke naye.
umesema vyema tumewachoka na hatuwatakiNa akiwa anaondoka ,aondoke na Zanzibar yao, tumewachoka.
Mwinyi huyoHAHM ndonani huyo?
Naigeuza geuza haifunguki!
Mwinyi anavyoiendesha Zanzibar, aweza kuwa Rais mzuri tu.Mwinyi huyo
Hamna kitu pale, tuhuma nyingi anatuhumiwa na watu,Mwinyi anavyoiendesha Zanzibar, aweza kuwa Rais mzuri tu.