Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,563
- 4,227
Duh...nilikuwa nasikia tu sikuwa nimeona, kweli Mange kavuka mipaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh...nilikuwa nasikia tu sikuwa nimeona, kweli Mange kavuka mipaka.
Mange ni mpumbavu anatumia wapubavu wenzie wachache kujiingizia kipato.Duh...nilikuwa nasikia tu sikuwa nimeona, kweli Mange kavuka mipaka.
Mleta uzi ni ACT WazalendoHili kwanza mngeanza kumwambia Mwenyekiti wenu wa ChaDema lingeleta maana sana. Toka mkwewe Edwin Mtei amuachie chama hataki kukaa pembeni.
Alishinda?Mwinyi anavyoiendesha Zanzibar, aweza kuwa Rais mzuri tu.
Maskini wa roho na wanyonge ndio Huwaza kama wewe.Hata ningekuwa Mimi ningepumzika na kuwapisha wengine, Mana kiti ni chamoto na Kila mtu anakitolea macho.
Sisi ndo tumewachoka zaidNa akiwa anaondoka ,aondoke na Zanzibar yao, tumewachoka.
Ni muda wa kuwapa Uhuru wenu,mnadeka Sana.Sisi ndo tumewachoka zaid
Sasa hii ndo commentMkiwa nyuma ya kiibodi mnavyopayuka sasa! Akitokea mtu akawaandalia hata maandamano tu mnaufyata kama sio nyie.
Hawa watu hawawezi kuondoka kwa kupayuka kwenu mitandao