Kurithi Kiti Cha Urais sio Ticket ya Kuendelea na Urais. Heshimu miaka 10 Ondoka

Kwani katiba inasemaje Mkuu?, hii inamaanisha miaka aliyotumia kama Maamu basi anahesabika pia kama Rais maana office ni ile ile ya Rais siyo?

Kama ndivyo basi kuendelea ni ivunjifu mkubwa wa katiba kuwqh kutekelezwa na CCM, ikumbukwe yule Mama ni Mtaji mkubwa kwa Wapiga nchi wa hapa mjini kweli watamtemesha mkate?
 
Hii comment inatakiwa ifungiliwe uzi wake.
 
Mkuu umeandika kwa ukali na kwa Mamlaka, vipi wewe ni mkubwa kuliko godfather wa ndani ya chama na Mastermind anayeshikilia rimoti mzee wa mjini?
 
Hata ningekuwa Mimi ningepumzika na kuwapisha wengine, Mana kiti ni chamoto na Kila mtu anakitolea macho.
Sijawahi kuwa na madaraka, ila inaonekana madaraka matamu, kupigiwa saluti, kuwa na escorts kila mahali, kutafuta wawekezaji, kuingia mikataba na makampuni, watu, nchi, mashirika nk nk inaonekana kutamu sana,
Kuachia ni labda kutokee nguvu kubwa kukuzidi.
Mseven, Kagame, Putin nk hawataki kuachia madaraka.
Ila mwanamke kuwa kichwa cha nyumba mtihani Sheikh,
Marekani, China, Russia, sina uhakika kama zimewahi kuongozwa na mwanamke.
 
Kwa kawaida Rais wa Nchi hii Huwa anaanza na umri wa miaka 55 na kumaliza akiwa na 65,

Muda wa kustaafu umefika.
 
Huyo Hussein Ally Hassan Mwinyi (HAHM) hafai kabisa. Anafanya miradi isiyo na ulazima, anaharibu fedha tu pasipo ulazima
1. Kulikuwa na ulazima gani wa kuifumua barabara ya Mkapa road na kuijenga upya, ilikuwa na ubovu gani?
2. Kulikuwa na ulazima gani kuvunja barabara ya ya uwanja wa ndege - Mnazi Mmoja?
3. Ujenzi wa soko la Chuini na Jumbi umeghubikiwa na tuhuma za ubadhirifu kiasi kumalizika kwake kumekawia, je kawachukulia hatua zipi watuhumiwa?
4. Vipi ile kesi aliyoshindwa kwa maamuzi ya kukurupuka dhidi ya wawekezaji wa nje mahakama ya ndani na ya kimataifa na atakayelipa fidia si yeye na walipa kodi wa Zanzibar bali walipa kodi wa Tanganyika, rejea maelezo ya Ngurumo.
......

Nami nimesema sana mama 2025 apumzike.....amuweke hata HAHM apige yake 10.....tuko radhiiii
 
.
 
Mwinyi anavyoiendesha Zanzibar, aweza kuwa Rais mzuri tu.
Hamna kitu pale, tuhuma nyingi anatuhumiwa na watu,
Pia hela nyingi anapewa na Bibie,
Hivi mnadhani kwa nini bibie anapenda mikopo sana?
Bibie tangu aingie madaraka ana miaka mingapi?
Alikuta deni la taifa ni kiasi gani?
Je na kwa hivi sasa deni la taifa ni kiasi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…