Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Bi Mkubwa kama namsoma vile halafu simsomi[emoji848][emoji848][emoji848]Baba kaacha Familia mikononi mwa Mama,tunaamini Mama Atatufikisha Kanaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bi Mkubwa kama namsoma vile halafu simsomi[emoji848][emoji848][emoji848]Baba kaacha Familia mikononi mwa Mama,tunaamini Mama Atatufikisha Kanaani
Hii kweli ni yajayo yanahuzunisha maana watu ni watajichotea Awamu hii yani miaka mi 4 hiii naamini nitaanza okota vi hela barabarani maana nina muda sana sikuwahi okota hela, Pesa ndio inarudi kwa wananchi ama kwa hakika nimeona sasa.Na ndio kwanza picha linaanza mbona tutafurahi na show yajayo yanahuzunisha ddah
Amesema ameyaona mapya kama matatuAcheni unafiki hayo magari yapo tu muda mrefu sema umeyaona leo au leo ndio akili yako imeamka
Na hata hiyo zamani yalikuepo ila yalikua yamefichwa fichwa huko gereji hata utendaji kazi wake haukuwa OPEN kama haya ya ssa yanavyojiachiaAcheni unafiki hayo magari yapo tu muda mrefu sema umeyaona leo au leo ndio akili yako imeamka
China mzee baba. Tatizo ulizoeshwa hali ya UMASIKINI now tunatembea na beat ya MAMA yeye hajali utajiri wako. Amesema KULENI BATA. YOU ONLY LIVE ONCEyalikuwepo zamani ila hayakua Mapya, Haya mapya yametokea wapi?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Za kuambiwa changanya na zakoHapana maana yake ni kwamba baada ya msiba kuna ingizo jipya! Pengine ni chenchi ya rambirambi huwezi jua[emoji848][emoji3][emoji3]
Hakika....!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Za kuambiwa changanya na zako
Bro unaelewa nini ukiambiwa FREE MARKET ECONOMY?kahiyo miaka yote hiyo Ndio sasa hivi Boss wa UDA kaona anahtaji ongeza Mapya?!!!!! Sawaaa hamna shida mimi ntapanda nauli sh 400 tu,kupanda lazima nipande.
Unafikiri mimi napinga, likija napanda nasubiri wanianzishie ruti yangu ya Mbezi to K.koo niende kwa jero mimiChina mzee baba. Tatizo ulizoeshwa hali ya UMASIKINI now tunatembea na beat ya MAMA yeye hajali utajiri wako. Amesema KULENI BATA. YOU ONLY LIVE ONCE
[emoji2][emoji2][emoji2] nitake radhi Balanciaga JrAchana na huyo CARDLESS ni muarabu wa pemba hata kuelewa haelewi
Mbagala mbona zipo tu miaka yote, na yadi yao iko Mbagala.Haya mabasi/daladala za UDA yalianza onekana kwa wingi sana kipindi cha uongozi wa Awamu ya 4 ila baada ya kuingia awamu ya 5 hizi daladala zilipotea zote moja baada ya nyingine na mwisho hatukuziona tena barabarani.
Tangu msiba uishe wa Aliyekua Rais awamu ya 5 Rais.Magufuli UDA zimeanza kurudi barabarani nimeshashuhudia UDA 3 mpya ruti ya MBEZI - MBAGALA/3, MBEZI-BUGURUNI,MBEZI-TEMEKE,nk
swali langu ni la mshangao,imekuaje tena haya magari kurudi wakati huuu? yalikua wapi? boss wake ni nani? kwanini alikua hayarudishi barabarani kipindi cha uhai wa magufuli na kwanini kayarudsha sasa hivi?
"Watanzania sisi sio wajinga,Tunaona"
Nimalizie kwa kusema "Anae stream youtube sasa hivi ni kidume", Ukimuona mtu yuko Online Muheshimu,Ma group yangu sioni cha admin wala member anatuma tuma vi meme leo ni kimyaaaaaa,WAZIRI WA NCHI MWANACHAMA WA DATA amejua kututembelea huu mwaka,halafu ndio kwanza April 2..