Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JK is a civilized guy.JK kaibuka kidedea tena.. Sasa ni mwendo wa kazi na bata
🤣🤣🤣☝️Anaye stream youtube sasa hivi ni kidume", Ukimuona mtu yuko Online Muheshimu,Ma group yangu sioni cha admin wala member anatuma tuma vi meme leo ni kimyaaaaaa, WAZIRI WA NCHI MWANACHAMA WA DATA amejua kututembelea huu mwaka, halafu ndio kwanza April 2..
Mbagala kwenda Ubungo yalikuwepo muda wote...Na hata hiyo zamani yalikuepo ila yalikua yamefichwa fichwa huko gereji hata utendaji kazi wake haukua OPEN kama haya ya ssa yanavyojiachia
Hili la Bando litapita tu,ni tatizo lakutengenezwa naamini
sasa hivi imeongezeka imekua 14,tunamalizia mi 4 iliyobaki halafu tunapiga 10 mingine,msipohama Nchi nyie vidume
Hahahaah aje tu.........Na kuna tetesi Manji anataka kurudi yanga.
Unaambiwa wanacheka tuWenye chenchi ya msiba hii pasaka no njema sana kwao
Naona huku bush site zimechangamkaUnaambiwa wanacheka tu
Ndo nashangaaa yaan tena nyingine nizaenda Gongo la MbotoMbagala mbona zipo tu miaka yote, na yadi yao iko Mbagala.
JK kaibuka kidedea tena.. Sasa ni mwendo wa kazi na bata
Hahahahaaaaa tumekuwa watoto wa mama sasa kupelekeshana mpera mpera basi tena.Ni kula bata mwanzo mwenga.Nakupenda sana mama.Baba kaacha Familia mikononi mwa Mama,tunaamini Mama Atatufikisha Kanaani