Kurudisha mabinti waliopata mimba shuleni ni kunyoosha mikono juu na kulikabidhi taifa letu kwa wakoloni mambo leo kwa ajili ya mkopo wa bil 600

Aaaah hapo shida co wachina shida n viongoz wasio n maarifa imagine umeruhus kitu Kam hiko kitokee lkn pia imagine n kwa kias gan tunaenda kulipeleka taifa pabaya maan hapo mwanzo Sheria ilikua n ngum n mimb walikua wanapat bila hofu yeyote je walivokua huru itakuwaj??
 
nani amekwambia kwa kuwarudisha shule waliozaa ni kutoa rukhsa kufanya mapenzi? Kama ni hivyo basi wenye vvu wasipewe ARV maana kwa kufanya hivyo ni kuwaambia waendelee kufanya uzinzi....think!!

Na wanafunzi wenzao wa kiume wanaowatia mimba mbona hamuwafuatilii?
 
Hakuna binti mwenye kutamani kuharibu maisha yake kwa kugawa hovyo bali zipo sababu nje ya hilo.So tusiwanyime haki zao.Hata mbali na sheria still waliomimbwa wazazi waelewa waliwarudisha shule na wakafanya vizuri tu.
 
True,
 
Hatari sn
 
Punguza kasiriko mzee 😂😂!! Ile awamu ndo ishatoweka mazima 🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…