Duuh,
Nilikuwa naunga mkono kufungwa jela mwanamume aliyempa Mimba mwanafunzi hata kwa miaka mingi Sana!
Ila ulichoandika hapa UMENIAMINISHA kuwa kuzaa mtoto haipaswi kuwa kosa la jinai!
Yaani mtoto amezaliwa, anaenda msikitini au kanisani kumshukuru MUNGU kwa uhai aliopewa, halafu anaambiwa baba yake amefungwa kwa kosa la kumzaa yeye!
Baba aliyempa mwanafunzi Mimba apewe jukumu la kusimamia huduma ya elimu ya msichana aliyempa Mimba pindi akirejea shuleni, na asipoweza afungwe kwa kosa Hilo, na sio la kusababisha ujauzito