Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Mkuu zile hela za viingilio sio wewe tu unayeziulizia mkuu, tupo wengi 👇Sisi #thecommonwananchi tunauliza sijui sijaona mtonyo ukirudishwa wa ile game iliyochakachuliwa ya Simba na Yanga, sisi watanzania ni wazuri sana wa kusahau na kuvumilia mengi.
Nawezekana uliwekwa utraratibu mwingine na wengine hatujui, tuna haki ya kujua au kukumbushwa manake juzi kati nilifanya transaction ya Ncard nikakuta patupu wakati nakumbuka kulikua na mtonyo.
Kama ni tarehe 3 tujue na tusioweza kusafiri kutokea kazulamimba village inakuaje.
Sasa tufanyeje turudishiwe fedha zetu mkuu au tuandamane?Ndiyo maana tukasema ile tarehe 17 Machi ilikuwa siku ya huzuni sana kwa wapenda haki, maendeleo na wazalendo kwa ujumla.
Hapa napendekeza tuishinikize serikali kwa sisi kukataa kula na kunywa chochote kwa siku ^tea-see-knee^ zijazo, hadi pale madai yetu yatakapozingatiwa na kupatiwa ufumbuzi wa kuridhisha. Period!!! Nothing more, nothing less. Au nasema uongo ndugu zangu!???Sasa tufanyeje turudishiwe fedha zetu mkuu au tuandamane?