Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Sisi #thecommonwananchi tunauliza sijui sijaona mtonyo ukirudishwa wa ile game iliyochakachuliwa ya Simba na Yanga, sisi watanzania ni wazuri sana wa kusahau na kuvumilia mengi.
Nawezekana uliwekwa utraratibu mwingine na wengine hatujui, tuna haki ya kujua au kukumbushwa manake juzi kati nilifanya transaction ya Ncard nikakuta patupu wakati nakumbuka kulikua na mtonyo.
Kama ni tarehe 3 tujue na tusioweza kusafiri kutokea kazulamimba village inakuaje.
Nawezekana uliwekwa utraratibu mwingine na wengine hatujui, tuna haki ya kujua au kukumbushwa manake juzi kati nilifanya transaction ya Ncard nikakuta patupu wakati nakumbuka kulikua na mtonyo.
Kama ni tarehe 3 tujue na tusioweza kusafiri kutokea kazulamimba village inakuaje.