Kurudishwa kwa January Makamba ni dalili tosha kwamba Rais Samia ameanza kuliogopa kundi linalompinga ndani ya CCM!

Kurudishwa kwa January Makamba ni dalili tosha kwamba Rais Samia ameanza kuliogopa kundi linalompinga ndani ya CCM!

Yaani tuna tatizo moja kubwa sana, na ni wenye akili tu wanaoliona na kuelewa tunakabiliwa na nini. Watanzania wengi leo wamekuwa wajinga kuliko wakati tukipata uhuru! Maradhi tumejitahidi kuondoa, umasikini pia, lakini ujinga tulikazania kufikiri kiuondoa ujinga ni kujua kusoma na kuandika, kumbe kwa wengi kujua kusoma na kuandika kumewafanya kuwa wajinga hata zaidi!
Wasomi sahivi ndiyo wajinga kuliko wasio soma, nchi imekuwa ya kujipendekeza tupu
 
Wasomi sahivi ndiyo wajinga kuliko wasio soma, nchi imekuwa ya kujipendekeza tupu
Huwa najiuliza sana, maana naona kundi kubwa la machawa ni wale waliopitia enzi za kusema "zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM". Japo Nyerere aliwarekebisha walioibua usemi huu kwa kusema ni afadhali mngesema "zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa CCM", naona kama kuna watu hilo halikuingia akilini kabisa. Hadi leo wana mentality ya "zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM"
 
Mimi naamini yule ni adui yake sikuzote, ila kama anategemea awe chawa wake basi awe makini maana January sio fala kukubali kutumika kwa maslahi ya Mama na target zake kuelekea uchaguzi.
Kama ni hivyo, basi January Makamba ni one of the most intelligent politicians in Tanzania! Lakini I have serious doubts on that.
 
Kwasasa,
Makamba akubali kua sio Kila ndoto anayoota Ni lazima itimie.

Maisha hayakupi unachotaka,yanakupa unachostahili

Nnachomshauri,
Kwasasa awe mpole na apige Kazi Sana Kama mwenzake MWIGULU.

Huenda mama ktk kustaafu kwake akamfikiria Kama alivofikiriwa mkapa enzi ya mwinyi
 
Kama ni hivyo, basi January Makamba ni one of the most intelligent politicians in Tanzania! Lakini I have serious doubts on that.
Mkuu but kiuhalisia tu unadhani nani ana sifa au uwezo halisi wa kuongoza hii nchi yenye changamoto lukuki kati ya January na Mama?
 
Aliyeanzisha uchawa ni samia
Hapana ni magufuli labda kama kwenye utawala wa JPM hukuwepo Tanzania watu wengi wa Media walikuwa teuzi na wote wakageuka watu wa kusifu na kuabudu kipindi kile vipi vipi umesahau kipindi kile Hadi kabudi alimwita magufuli mheshimiwa mungu?
 
Labda uwe mtu poyoyo sana wa kufikiri ndio hutaelewa hii move ya Raisi Samia ya kuanza kusema anawarudisha kina January Makamba kwa mama. Hii sio bure, na kama January anafikiri kwamba anachofanyiwa na Raisi Samia ni hisani, basi yeye ni one of the most naive, pathetic and disgusting politicians kuwahi kutokea katika nchi hii, kuweza kuimeza move ya Samia, hook, line and sinker kirahisi kiasi hiki, especially anapoanza kuimba "nampongeza mama kwa kuchaguliwa na Mkutano Mkuu kuwa mgombea wa CCM"!

Anaefaidika na "kurudishwa kwa mama" hapa wala sio January, bali ni Raisi Samia. January Makamba anaonekana kufurahia. Labda pia ni kwa kuwa anajua kilichomfanya aondolewe uwaziri (kuna mtu alisema aliondolewa uwaziri kwa kosa ambalo ingekuwa Tanzania ni China angehukumiwa kifo!).

Samia anajua wazi kwamba kilichofanywa na Mkutano Mkuu hakikukubaliwa na vigogo wengi ndani ya CCM, kutia ndani kina January Makamba, ambao walijua wazi kilichofanywa na Mkutano Mkuu kililenga kuwapiga chenga katika mkakati wao. Tayari kulikuwa na vuguvugu ndani ya CCM la kujaribu kutompitisha Samia kama mgombea wa CCM wa 2025, na hii ndio iliyofanya Samia na kundi lake kutumia Mkutano Mkuu "kujipitisha" kuwa wagombea wa CCM.

Samia anachofanya sasa ni kutumia mbinu ya "divide and weaken" kwenye hili kundi la ndani ya CCM ambalo anajua lina nguvu na linaweza kukwamisha ushindi wake kwenye uchaguzi mkuu. Anaanza kuwavuta mmoja, akianza na kina January Makamba, kwa kutumia "emotional blackmail", eti "kurudi kwa mama". Na pia atawatupia vizawadi vingine vya uteuzi ili kuwatoa kwenye kundi la ndani ya CCM la "Samia Must Fall", ambapo kimsingi kufanya hivyo ni corruption. Kumteua mtu asiyefaa au aliyefanya kosa kubwa ili ufaidike na kuungwa mkono kwake ni rushwa.

Samia anajua wazi kwamba upinzani anaoukabili kulelekea uchaguzi Mkuu wa 2025 sio tu unatoka kwa wapinzani kama kina Lisu, bali kuna kundi ndani ya CCM lenye nguvu sana, ambalo linatia ndani watu wa karibu wa Magufuli waliowekwa kando, ambalo lilishajiweka sawa kupanga mkakati wa aidha asiteuliwe kuwa mgombea wa CCM au asishinde uchaguzi wa kuwa raisi. Sasa kikwazo cha kuteuliwa aliwapiga chenga kwa kutumia Mkutano Mkuu. Lakini Samia anajua wazi hiyo haitoshi. Na sasa anaanza "kuwarudisha kwa mama". Ni wale walio naive na waroho wa madaraka tu ambao watashindwa kuliona hilo na kukubali "kurudi kwa mama", na kuacha kuwa sehemu ya "Samia Must Fall" ndani ya CCM.

Pia soma: Rais Samia: Nilimpiga kikofi January leo namrudisha kwa mama
Gawanya na uongoze ndio mtindo wa kisasa
 
Hasa hasa huyu Mama Kizimkazi ni mwepesi kama karatasi
Sintashangaa kuona akitumia formula ile ile aliyotumia kwa January Makamba. Wanasiasa wa Tanzania, hasa CCM, ni wepesi sana kughiribiwa, hawana substance wala msimamo. Nyoronyoro kabisa!
 
Sasa umeona hii thread imekataa hilo au imesema Samia kishawapiga chenga kupitia Mkutano Mkuu? Ndio maana uliibuka na F nyingi, huna uwezo wa kusoma na kuelewa kitu
Mbona nimekuwa nikiamini wewe ni mtu mwenye akili timamu??
Sijawahi pata F toka nianze kusoma.
 
Porojo ni kitu cha hovyo sana hasa ukiwa umefikisika na kuishiwa kabisa hoja za kuibua jukwaani [emoji205]
Wewe Nina uhakika ni kati ya wale waliojipaka mavi kule uwanja wa taifa na kupita mbele ya rais.
Badala ujibu hoja unaandika mipasho
 
Labda uwe mtu poyoyo sana wa kufikiri ndio hutaelewa hii move ya Raisi Samia ya kuanza kusema anawarudisha kina January Makamba kwa mama. Hii sio bure, na kama January anafikiri kwamba anachofanyiwa na Raisi Samia ni hisani, basi yeye ni one of the most naive, pathetic and disgusting politicians kuwahi kutokea katika nchi hii, kuweza kuimeza move ya Samia, hook, line and sinker kirahisi kiasi hiki, especially anapoanza kuimba "nampongeza mama kwa kuchaguliwa na Mkutano Mkuu kuwa mgombea wa CCM"!

Anaefaidika na "kurudishwa kwa mama" hapa wala sio January, bali ni Raisi Samia. January Makamba anaonekana kufurahia. Labda pia ni kwa kuwa anajua kilichomfanya aondolewe uwaziri (kuna mtu alisema aliondolewa uwaziri kwa kosa ambalo ingekuwa Tanzania ni China angehukumiwa kifo!).

Samia anajua wazi kwamba kilichofanywa na Mkutano Mkuu hakikukubaliwa na vigogo wengi ndani ya CCM, kutia ndani kina January Makamba, ambao walijua wazi kilichofanywa na Mkutano Mkuu kililenga kuwapiga chenga katika mkakati wao. Tayari kulikuwa na vuguvugu ndani ya CCM la kujaribu kutompitisha Samia kama mgombea wa CCM wa 2025, na hii ndio iliyofanya Samia na kundi lake kutumia Mkutano Mkuu "kujipitisha" kuwa wagombea wa CCM.

Samia anachofanya sasa ni kutumia mbinu ya "divide and weaken" kwenye hili kundi la ndani ya CCM ambalo anajua lina nguvu na linaweza kukwamisha ushindi wake kwenye uchaguzi mkuu. Anaanza kuwavuta mmoja, akianza na kina January Makamba, kwa kutumia "emotional blackmail", eti "kurudi kwa mama". Na pia atawatupia vizawadi vingine vya uteuzi ili kuwatoa kwenye kundi la ndani ya CCM la "Samia Must Fall", ambapo kimsingi kufanya hivyo ni corruption. Kumteua mtu asiyefaa au aliyefanya kosa kubwa ili ufaidike na kuungwa mkono kwake ni rushwa.

Samia anajua wazi kwamba upinzani anaoukabili kulelekea uchaguzi Mkuu wa 2025 sio tu unatoka kwa wapinzani kama kina Lisu, bali kuna kundi ndani ya CCM lenye nguvu sana, ambalo linatia ndani watu wa karibu wa Magufuli waliowekwa kando, ambalo lilishajiweka sawa kupanga mkakati wa aidha asiteuliwe kuwa mgombea wa CCM au asishinde uchaguzi wa kuwa raisi. Sasa kikwazo cha kuteuliwa aliwapiga chenga kwa kutumia Mkutano Mkuu. Lakini Samia anajua wazi hiyo haitoshi. Na sasa anaanza "kuwarudisha kwa mama". Ni wale walio naive na waroho wa madaraka tu ambao watashindwa kuliona hilo na kukubali "kurudi kwa mama", na kuacha kuwa sehemu ya "Samia Must Fall" ndani ya CCM.

Pia soma: Rais Samia: Nilimpiga kikofi January leo namrudisha kwa mama
Haya yanafanyika Tz tu.
 
Huwa najiuliza sana, maana naona kundi kubwa la machawa ni wale waliopitia enzi za kusema "zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM". Japo Nyerere aliwarekebisha walioibua usemi huu kwa kusema ni afadhali mngesema "zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa CCM", naona kama kuna watu hilo halikuingia akilini kabisa. Hadi leo wana mentality ya "zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM"
Tunaongozwa na watu wajinga sn
 
Labda uwe mtu poyoyo sana wa kufikiri ndio hutaelewa hii move ya Raisi Samia ya kuanza kusema anawarudisha kina January Makamba kwa mama. Hii sio bure, na kama January anafikiri kwamba anachofanyiwa na Raisi Samia ni hisani, basi yeye ni one of the most naive, pathetic and disgusting politicians kuwahi kutokea katika nchi hii, kuweza kuimeza move ya Samia, hook, line and sinker kirahisi kiasi hiki, especially anapoanza kuimba "nampongeza mama kwa kuchaguliwa na Mkutano Mkuu kuwa mgombea wa CCM"!

Anaefaidika na "kurudishwa kwa mama" hapa wala sio January, bali ni Raisi Samia. January Makamba anaonekana kufurahia. Labda pia ni kwa kuwa anajua kilichomfanya aondolewe uwaziri (kuna mtu alisema aliondolewa uwaziri kwa kosa ambalo ingekuwa Tanzania ni China angehukumiwa kifo!).

Samia anajua wazi kwamba kilichofanywa na Mkutano Mkuu hakikukubaliwa na vigogo wengi ndani ya CCM, kutia ndani kina January Makamba, ambao walijua wazi kilichofanywa na Mkutano Mkuu kililenga kuwapiga chenga katika mkakati wao. Tayari kulikuwa na vuguvugu ndani ya CCM la kujaribu kutompitisha Samia kama mgombea wa CCM wa 2025, na hii ndio iliyofanya Samia na kundi lake kutumia Mkutano Mkuu "kujipitisha" kuwa wagombea wa CCM.

Samia anachofanya sasa ni kutumia mbinu ya "divide and weaken" kwenye hili kundi la ndani ya CCM ambalo anajua lina nguvu na linaweza kukwamisha ushindi wake kwenye uchaguzi mkuu. Anaanza kuwavuta mmoja, akianza na kina January Makamba, kwa kutumia "emotional blackmail", eti "kurudi kwa mama". Na pia atawatupia vizawadi vingine vya uteuzi ili kuwatoa kwenye kundi la ndani ya CCM la "Samia Must Fall", ambapo kimsingi kufanya hivyo ni corruption. Kumteua mtu asiyefaa au aliyefanya kosa kubwa ili ufaidike na kuungwa mkono kwake ni rushwa.

Samia anajua wazi kwamba upinzani anaoukabili kulelekea uchaguzi Mkuu wa 2025 sio tu unatoka kwa wapinzani kama kina Lisu, bali kuna kundi ndani ya CCM lenye nguvu sana, ambalo linatia ndani watu wa karibu wa Magufuli waliowekwa kando, ambalo lilishajiweka sawa kupanga mkakati wa aidha asiteuliwe kuwa mgombea wa CCM au asishinde uchaguzi wa kuwa raisi. Sasa kikwazo cha kuteuliwa aliwapiga chenga kwa kutumia Mkutano Mkuu. Lakini Samia anajua wazi hiyo haitoshi. Na sasa anaanza "kuwarudisha kwa mama". Ni wale walio naive na waroho wa madaraka tu ambao watashindwa kuliona hilo na kukubali "kurudi kwa mama", na kuacha kuwa sehemu ya "Samia Must Fall" ndani ya CCM.

Pia soma: Rais Samia: Nilimpiga kikofi January leo namrudisha kwa mama
CCM ni moja na itaendelea kuwa hivyo. Hakuna anayepinga na HATATOKEA. Endeleeni kujilisha matango pori, wakati CCM inajijenga na kujiandaa na Uchaguzi Mkuu. Ikishinda kwa kishindo mke mseme mmeibiwa kura! KUMBAVU!!
 
Back
Top Bottom