Kurudishwa kwa January Makamba ni dalili tosha kwamba Rais Samia ameanza kuliogopa kundi linalompinga ndani ya CCM!

Kurudishwa kwa January Makamba ni dalili tosha kwamba Rais Samia ameanza kuliogopa kundi linalompinga ndani ya CCM!

Ukiambiwa njoo.mkesha kwa.mwamposa umiliki.na KUTAWALA unaogopa sadaka kazi kwakooooo

Wenziooo wanatoa sadaka wanatengenezwa misikiti na makanisa...
 
Labda uwe mtu poyoyo sana wa kufikiri ndio hutaelewa hii move ya Raisi Samia ya kuanza kusema anawarudisha kina January Makamba kwa mama. Hii sio bure, na kama January anafikiri kwamba anachofanyiwa na Raisi Samia ni hisani, basi yeye ni one of the most naive, pathetic and disgusting politicians kuwahi kutokea katika nchi hii, kuweza kuimeza move ya Samia, hook, line and sinker kirahisi kiasi hiki, especially anapoanza kuimba "nampongeza mama kwa kuchaguliwa na Mkutano Mkuu kuwa mgombea wa CCM"!

Anaefaidika na "kurudishwa kwa mama" hapa wala sio January, bali ni Raisi Samia. January Makamba anaonekana kufurahia. Labda pia ni kwa kuwa anajua kilichomfanya aondolewe uwaziri (kuna mtu alisema aliondolewa uwaziri kwa kosa ambalo ingekuwa Tanzania ni China angehukumiwa kifo!).

Samia anajua wazi kwamba kilichofanywa na Mkutano Mkuu hakikukubaliwa na vigogo wengi ndani ya CCM, kutia ndani kina January Makamba, ambao walijua wazi kilichofanywa na Mkutano Mkuu kililenga kuwapiga chenga katika mkakati wao. Tayari kulikuwa na vuguvugu ndani ya CCM la kujaribu kutompitisha Samia kama mgombea wa CCM wa 2025, na hii ndio iliyofanya Samia na kundi lake kutumia Mkutano Mkuu "kujipitisha" kuwa wagombea wa CCM.

Samia anachofanya sasa ni kutumia mbinu ya "divide and weaken" kwenye hili kundi la ndani ya CCM ambalo anajua lina nguvu na linaweza kukwamisha ushindi wake kwenye uchaguzi mkuu. Anaanza kuwavuta mmoja, akianza na kina January Makamba, kwa kutumia "emotional blackmail", eti "kurudi kwa mama". Na pia atawatupia vizawadi vingine vya uteuzi ili kuwatoa kwenye kundi la ndani ya CCM la "Samia Must Fall", ambapo kimsingi kufanya hivyo ni corruption. Kumteua mtu asiyefaa au aliyefanya kosa kubwa ili ufaidike na kuungwa mkono kwake ni rushwa.

Samia anajua wazi kwamba upinzani anaoukabili kulelekea uchaguzi Mkuu wa 2025 sio tu unatoka kwa wapinzani kama kina Lisu, bali kuna kundi ndani ya CCM lenye nguvu sana, ambalo linatia ndani watu wa karibu wa Magufuli waliowekwa kando, ambalo lilishajiweka sawa kupanga mkakati wa aidha asiteuliwe kuwa mgombea wa CCM au asishinde uchaguzi wa kuwa raisi. Sasa kikwazo cha kuteuliwa aliwapiga chenga kwa kutumia Mkutano Mkuu. Lakini Samia anajua wazi hiyo haitoshi. Na sasa anaanza "kuwarudisha kwa mama". Ni wale walio naive na waroho wa madaraka tu ambao watashindwa kuliona hilo na kukubali "kurudi kwa mama", na kuacha kuwa sehemu ya "Samia Must Fall" ndani ya CCM.

Pia soma: Rais Samia: Nilimpiga kikofi January leo namrudisha kwa mama
Ninachoona Marope amerudishwa rasmi kwa ajili ya kucheza na tarakimu angani wkt wa majumuisho ya matokeo ya kura za uchafuzi wa mpangaji wa jumba jeupe.
 
Kwa hiyo tutarajie mkeka muda wowote kuanzia sasa Makamba arudishiwe chakula. Kumbe utumishi wa umma siku hizi za utawala wa Samia ni ulaji.
 
Hizi ni porojo za kijinga. Mkutano mkuu ukishafanya azimio lake hakuna yeyote anayeweza leta figisu tena. Makamba na wenzake hawana uwezo wa kufanya lolote dhidi ya mgombea urais wa CCM Dr Samia. Hilo genge unalodhani lipo ndani ya CCM wasithubutu kuchezea sharubu za Simba.
Unaongea kwa kujiamini sababu unajua chama kinabebwa na dola(policcm)
Bila hao hamtoboi ndo maana ni muhimu kubadili katiba ya nchi!
 
Labda uwe mtu poyoyo sana wa kufikiri ndio hutaelewa hii move ya Raisi Samia ya kuanza kusema anawarudisha kina January Makamba kwa mama. Hii sio bure, na kama January anafikiri kwamba anachofanyiwa na Raisi Samia ni hisani, basi yeye ni one of the most naive, pathetic and disgusting politicians kuwahi kutokea katika nchi hii, kuweza kuimeza move ya Samia, hook, line and sinker kirahisi kiasi hiki, especially anapoanza kuimba "nampongeza mama kwa kuchaguliwa na Mkutano Mkuu kuwa mgombea wa CCM"!

Anaefaidika na "kurudishwa kwa mama" hapa wala sio January, bali ni Raisi Samia. January Makamba anaonekana kufurahia. Labda pia ni kwa kuwa anajua kilichomfanya aondolewe uwaziri (kuna mtu alisema aliondolewa uwaziri kwa kosa ambalo ingekuwa Tanzania ni China angehukumiwa kifo!). Na pia January anaweza kuliona hili katika kutengeneza matumaini yake ya 2030. Ila asisahau kuna kina Mwigulu pia wenye matumaini hayo!

Samia anajua wazi kwamba kilichofanywa na Mkutano Mkuu hakikukubaliwa na vigogo wengi ndani ya CCM, kutia ndani kina January Makamba, ambao walijua wazi kilichofanywa na Mkutano Mkuu kililenga kuwapiga chenga katika mkakati wao. Tayari kulikuwa na vuguvugu ndani ya CCM la kujaribu kutompitisha Samia kama mgombea wa CCM wa 2025, na hii ndio iliyofanya Samia na kundi lake kutumia Mkutano Mkuu "kujipitisha" kuwa wagombea wa CCM.

Samia anachofanya sasa ni kutumia mbinu ya "divide and weaken" kwenye hili kundi la ndani ya CCM ambalo anajua lina nguvu na linaweza kukwamisha ushindi wake kwenye uchaguzi mkuu. Anaanza kuwavuta mmoja, akianza na kina January Makamba, kwa kutumia "emotional blackmail", eti "kurudi kwa mama". Na pia atawatupia vizawadi vingine vya uteuzi ili kuwatoa kwenye kundi la ndani ya CCM la "Samia Must Fall", ambapo kimsingi kufanya hivyo ni corruption. Kumteua mtu asiyefaa au aliyefanya kosa kubwa ili ufaidike na kuungwa mkono kwake ni rushwa.

Samia anajua wazi kwamba upinzani anaoukabili kulelekea uchaguzi Mkuu wa 2025 sio tu unatoka kwa wapinzani kama kina Lisu, bali kuna kundi ndani ya CCM lenye nguvu sana, ambalo linatia ndani watu wa karibu wa Magufuli waliowekwa kando, ambalo lilishajiweka sawa kupanga mkakati wa aidha asiteuliwe kuwa mgombea wa CCM au asishinde uchaguzi wa kuwa raisi. Sasa kikwazo cha kuteuliwa aliwapiga chenga kwa kutumia Mkutano Mkuu. Lakini Samia anajua wazi hiyo haitoshi. Na sasa anaanza "kuwarudisha kwa mama". Ni wale walio naive na waroho wa madaraka tu ambao watashindwa kuliona hilo na kukubali "kurudi kwa mama", na kuacha kuwa sehemu ya "Samia Must Fall" ndani ya CCM.

Pia soma: Rais Samia: Nilimpiga kikofi January leo namrudisha kwa mama
Makamba alijikweza katika utatuzi wa suala la sekta ya anga akafanya kikao cha pamoja na waziri wa mambo ya nje wa Kenya wakati utatuzi ulitakiwa uwajumuishe wakurugenzi wa mamlaka za anga wa nchi hizi mbili.

Samia hakupendezwa na hulka hiyo ya Makamba na akaamua kumtoa baada ya kumgundua tabia yake ya kujikweza kuliko wenye mamlaka akidhani kwamba yeye anayo hadhi sawa na rais anayekuwepo ikulu.

Samia kaamua kumrudisha kundini katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025 akitegemea kuutumia uwezo wake katika siasa za ushindani na labda baada ya uchaguzi kumalizika aje ampe nafasi nyingine serikalini.

Makamba anao udhaifu wa kupenda kujitutumua na kuwageuka viongozi wake wakubwa, kwa ufupi anajiona mtoto wa mjini kupita maelezo na anapenda kuwazunguka wanaompa nafasi serikalini.
 
Hizi ni porojo za kijinga. Mkutano mkuu ukishafanya azimio lake hakuna yeyote anayeweza leta figisu tena. Makamba na wenzake hawana uwezo wa kufanya lolote dhidi ya mgombea urais wa CCM Dr Samia. Hilo genge unalodhani lipo ndani ya CCM wasithubutu kuchezea sharubu za Simba.
Achana na sharubu watu wavuruga hadi ushuzi wa simba hadi MAVOOZI kaa utulie
 
Makamba alijikweza katika utatuzi wa suala la sekta ya anga akafanya kikao cha pamoja na waziri wa mambo ya nje wa Kenya wakati utatuzi ulitakiwa uwajumuishe wakurugenzi wa mamlaka za anga wa nchi hizi mbili.

Samia hakupendezwa na hulka hiyo ya Makamba na akaamua kumtoa baada ya kumgundua tabia yake ya kujikweza kuliko wenye mamlaka akidhani kwamba yeye anayo hadhi sawa na rais anayekuwepo ikulu.

Samia kaamua kumrudisha kundini katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025 akitegemea kuutumia uwezo wake katika siasa za ushindani na labda baada ya uchaguzi kumalizika aje ampe nafasi nyingine serikalini.

Makamba anao udhaifu wa kupenda kujitutumua na kuwageuka viongozi wake wakubwa, kwa ufupi anajiona mtoto wa mjini kupita maelezo na anapenda kuwazunguka wanaompa nafasi serikalini.
Kama ni hilo mbona dogo sana, la kumuonya tu. Halikua na haja ya Samia ku-create enemies katika January na baba yake kwa ajili ya hili, huko ni kukosa busara.

Na pia, Makamba ataendaje kujadili issue za sekta ya anga wakati background yake ni lugha sijui, Kiingereza na Kiswahili ambavyo ndio vilipeleka Ikulu maka mwandishi wa speech za Kikwete? Ndio haya mambo tunasema wanasiasa wa Tanzania wanapeleka maoni yao ya kisiasa kwenye mikutano inayohusu ufahamu wa tekinolojia
 
Huwa najiuliza sana, maana naona kundi kubwa la machawa ni wale waliopitia enzi za kusema "zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM". Japo Nyerere aliwarekebisha walioibua usemi huu kwa kusema ni afadhali mngesema "zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa CCM", naona kama kuna watu hilo halikuingia akilini kabisa. Hadi leo wana mentality ya "zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM"
Waliokuwa na vyeo wakati wa awamu ya kwanza hivi sasa wanashinda majumbani wakicheza na wajukuu, wamezeeka. Hawa machawa ni vijana waliozaliwa baadae wanajifunza uchawa kwa kuukuta huo mfumo wa zidumu pengine kwa kuusoma mahali fulani na kupitia tabia ya kupenda kuabudiwa, wanayoipenda wanasiasa wenye dhamana za uongozi.
 
January makamba kuwa rais ni jambo ambalo lipo damuni kwake ni suala la umri na muda tu ila one day yes mwamba anajitahdi sana sometimes ni mifumo tu inamuangusha.
 
Kama ni hilo mbona dogo sana, la kumuonya tu. Halikua na haja ya Samia ku-create enemies katika January na baba yake kwa ajili ya hili, huko ni kukosa busara.

Na pia, Makamba ataendaje kujadili issue za sekta ya anga wakati background yake ni lugha sijui, Kiingereza na Kiswahili ambavyo ndio vilipeleka Ikulu maka mwandishi wa speech za Kikwete? Ndio haya mambo tunasema wanasiasa wa Tanzania wanapeleka maoni yao ya kisiasa kwenye mikutano inayohusu ufahamu wa tekinolojia
Alidhani ataonekana anafanya kazi kubwa kwa Rais wake, akasahau ni masuala ya mamlaka ya anga TCAA yenye watendaji wanaoaminiwa na marais. Samia alimpigia simu mkurugenzi akiwa amekasirishwa na hicho kitendo.

Baada ya siku chache akamuondoa pale mambo ya nje.
 
Back
Top Bottom