Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🌤️🙋♂️✍️🎯👏👌👍👊🤝🙏Hapana ni magufuli labda kama kwenye utawala wa JPM hukuwepo Tanzania watu wengi wa Media walikuwa teuzi na wote wakageuka watu wa kusifu na kuabudu kipindi kile vipi vipi umesahau kipindi kile Hadi kabudi alimwita magufuli mheshimiwa mungu?
Sintashangaa kuona akitumia formula ile ile aliyotumia kwa January Makamba. Wanasiasa wa Tanzania, hasa CCM, ni wepesi sana kughiribiwa, hawana substance wala msimamo. Nyoronyoro kabisa!
Sidhani, sijafuatilia sanaAmeshapita kwa Juma Awesu?
Tatizo ni kwamba vilaza mara nyingi ndio wanaopiga kelele sana kujifanya wanajua. Sasa kama wewe unajua kuliko wengine tueleze analysis ni nini, na kwa nini hii sio analysisKwahiyo hii ni analysis yaani?!!!!!! Dah, kwaheri akili.
Siasa sio direct namna hiyo mara zote. Kumbuka January anajua anataka 2030 sio 2025, hivyo atakumbatia "kurudi kwa mama" kwa kwa mikono miwili kwa matarajio atapata support ya mama kwa ajili ya 2030.Sasa mhuni ni mhuni tu!
Aliemshauri mama amrudishe January na Nape ndio kamuingiza mkenge tena!
Hai jamaa ndio wanaenda kumfelisha mazima hatoamini kinachoenda kutokea!huo ushauri nadhani unatoka Kwa msoga gang!!
January haaminiki huyo !!
Majibu Yako oktoba Utajua ni dhaifu au hakubaliki.CCM kipindi hiki ina mgombea dhaifu na asiyekubalika kuliko kipindi kingine chochote tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe.
Huyu alirudishwa na Magu Kwa Ajili ya kucheza na tarakimu zipi?Ninachoona Marope amerudishwa rasmi kwa ajili ya kucheza na tarakimu angani wkt wa majumuisho ya matokeo ya kura za uchafuzi wa mpangaji wa jumba jeupe.
Exactly!"Keep your friends close, and your enemies closer"
Ni kweli maana kundi la utekaji la rais litawapoteza.Hizi ni porojo za kijinga. Mkutano mkuu ukishafanya azimio lake hakuna yeyote anayeweza leta figisu tena. Makamba na wenzake hawana uwezo wa kufanya lolote dhidi ya mgombea urais wa CCM Dr Samia. Hilo genge unalodhani lipo ndani ya CCM wasithubutu kuchezea sharubu za Simba.
Upande wa pili, kuwarudisha hawa watu kunaweza kukamgeuka Samia. Ni kwamba bila kujua, anawaweka zizi moja wale wote waliokamia kuwa maraisi 2030 - January, Mwigulu, Mchengerwa, Nchimbi, Biteko, Tulia, Ridhiwani, nk. Sasa ndani ya hawa, kuna baadhi kufanikiwa kwao 2030 maana yake Samia asifanikiwe 2025. Tusubiri yajayo!Mbona Kama uraisi ni cheo ambacho kila mtu ana kimbilia, shida ni hizi hizi rasilimali za kila siku?
maana katika hao kina mwigulu, makamba, hamna mwenye maajabu ya kimaamuzi zaidi ya kuwaza asilimia zao waki staafu.
Sawa kwa sababu alisema katiba ni kitabu tu kama makaratasi mengine!!Labda uwe mtu poyoyo sana wa kufikiri ndio hutaelewa hii move ya Raisi Samia ya kuanza kusema anawarudisha kina January Makamba kwa mama. Hii sio bure, na kama January anafikiri kwamba anachofanyiwa na Raisi Samia ni hisani, basi yeye ni one of the most naive, pathetic and disgusting politicians kuwahi kutokea katika nchi hii, kuweza kuimeza move ya Samia, hook, line and sinker kirahisi kiasi hiki, especially anapoanza kuimba "nampongeza mama kwa kuchaguliwa na Mkutano Mkuu kuwa mgombea wa CCM"!
Anaefaidika na "kurudishwa kwa mama" hapa wala sio January, bali ni Raisi Samia. January Makamba anaonekana kufurahia. Labda pia ni kwa kuwa anajua kilichomfanya aondolewe uwaziri (kuna mtu alisema aliondolewa uwaziri kwa kosa ambalo ingekuwa Tanzania ni China angehukumiwa kifo!). Na pia January anaweza kuliona hili katika kutengeneza matumaini yake ya 2030. Ila asisahau kuna kina Mwigulu pia wenye matumaini hayo!
Samia anajua wazi kwamba kilichofanywa na Mkutano Mkuu hakikukubaliwa na vigogo wengi ndani ya CCM, kutia ndani kina January Makamba, ambao walijua wazi kilichofanywa na Mkutano Mkuu kililenga kuwapiga chenga katika mkakati wao. Tayari kulikuwa na vuguvugu ndani ya CCM la kujaribu kutompitisha Samia kama mgombea wa CCM wa 2025, na hii ndio iliyofanya Samia na kundi lake kutumia Mkutano Mkuu "kujipitisha" kuwa wagombea wa CCM.
Samia anachofanya sasa ni kutumia mbinu ya "divide and weaken" kwenye hili kundi la ndani ya CCM ambalo anajua lina nguvu na linaweza kukwamisha ushindi wake kwenye uchaguzi mkuu. Anaanza kuwavuta mmoja, akianza na kina January Makamba, kwa kutumia "emotional blackmail", eti "kurudi kwa mama". Na pia atawatupia vizawadi vingine vya uteuzi ili kuwatoa kwenye kundi la ndani ya CCM la "Samia Must Fall", ambapo kimsingi kufanya hivyo ni corruption. Kumteua mtu asiyefaa au aliyefanya kosa kubwa ili ufaidike na kuungwa mkono kwake ni rushwa.
Samia anajua wazi kwamba upinzani anaoukabili kulelekea uchaguzi Mkuu wa 2025 sio tu unatoka kwa wapinzani kama kina Lisu, bali kuna kundi ndani ya CCM lenye nguvu sana, ambalo linatia ndani watu wa karibu wa Magufuli waliowekwa kando, ambalo lilishajiweka sawa kupanga mkakati wa aidha asiteuliwe kuwa mgombea wa CCM au asishinde uchaguzi wa kuwa raisi. Sasa kikwazo cha kuteuliwa aliwapiga chenga kwa kutumia Mkutano Mkuu. Lakini Samia anajua wazi hiyo haitoshi. Na sasa anaanza "kuwarudisha kwa mama". Ni wale walio naive na waroho wa madaraka tu ambao watashindwa kuliona hilo na kukubali "kurudi kwa mama", na kuacha kuwa sehemu ya "Samia Must Fall" ndani ya CCM.
Pia soma: Rais Samia: Nilimpiga kikofi January leo namrudisha kwa mama
Katiba inaingiaje hapa?Sawa kwa sababu alisema katiba ni kitabu tu kama makaratasi mengine!!
Kwa kifupi umeisoma katiba???
Basi mbumbumbu ni CCM ambao wanatumia nguvu kubwa ku-suppress tuvyama ambato hatuna uwezo wa kusimamisha wagombea Nchi nzima wakidhani eti watashinda Urais/CCM?Wapinzani nyie ni mbumbumbu sana,tuvyama twenyewe hatuna uwezo w kusimamisha wagombea Nchi nzima eti ndio mtashinda Urais/CCM?
Naona akili yangu Ina mambo mengi zaidi na muhimu ya kuyashufhulikia kuliko huo ujinga ulioupamba kwa kuuita analysis. Bakini nao huko unyumbuniTatizo ni kwamba vilaza mara nyingi ndio wanaopiga kelele sana kujifanya wanajua. Sasa kama wewe unajua kuliko wengine tueleze analysis ni nini, na kwa nini hii sio analysis
Jibu la mtu anaejifanya anajua lakini hajui kitu!Naona akili yangu Ina mambo mengi zaidi na muhimu ya kuyashufhulikia kuliko huo ujinga ulioupamba kwa kuuita analysis. Bakini nao huko unyumbuni
Watu km wewe ni wapumbavu mno msipstahili kuwepo kwenye jamii. Mna bahati JPM kaomdoka, wajinga wajinga km wewe mngeshika adabu..... pumbaaavuJibu la mtu anaejifanya anajua lakini hajui kitu!
Watu kama wewe ni wajinga kwa kiasi ambacho hata ile akili kidogo inayotakiwa kuficha ujinga wenu mnakuwa hamna!
Tanzania kichwa Cha mwendawazimu katika kitu alichofeli magufuli ni kuanzisha huu mfumo wa machawa kulipwa na kula teuzi