much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Kwenye huu upande wa machawa sure aliharibuyule mzee aliiharibu sana hii nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye huu upande wa machawa sure aliharibuyule mzee aliiharibu sana hii nchi
Watu wanaotukana hivi mitandaoni wana tatizo la afya ya akiliWatu km wewe ni wapumbavu mno msipstahili kuwepo kwenye jamii. Mna bahati JPM kaomdoka, wajinga wajinga km wewe mngeshika adabu..... pumbaaavu
alipatia wapi (kwenye nini)Kwenye huu upande wa machawa sure aliharibu
Kwenye miundombinu alipatia sana na nidhamu kwenye huduma za kijamii zinazotolewa na Serikalialipatia wapi (kwenye nini)
ATCL bado ni janga kwa Taifa. (hasara kila leo)Kwenye miundombinu alipatia sana na nidhamu kwenye huduma za kijamii zinazotolewa na Serikali
JPM kajenga nyingi sana na kuringa na muda aliokaa madaraka kwaiyo ulitaka SGR isijegwe.ATCL bado ni janga kwa Taifa. (hasara kila leo)
SGR ni swala la muda tu, hasara zitakuwa hadharani.
Barabara nyingi zilijengwa kipindi cha Jakaya.
kwenye majengo angalau sawa, japo pia Hospitali sio jengo
JPM kajenga nyingi sana na kuringa na muda aliokaa madaraka kwaiyo ulitaka SGR isijegwe.
SGR kula hasara labda wafanye ufisadi kama wanaoufanya kwenye mwendokasi
Jiwe aliwaharibia mafisadi tuJiwe aliharibu nchi kisiasa, kijamii, kiuchumi, hakuna kokote alikofaulu.
Ameacha majanga tupu
Si lazima kumjibu mtu mjinga mjinga, sometimes silence is the best answer.This is beyond your brain power to comprehend. Acha wenye akili wa discuss. Hii siyo porojo, ni analysis na analysis can never be porojo kwa sababu inatokana na uwezo wa kuona na kuelewa ambao ni wazi wewe huna.
mafisadi walibadilika sura tu. wakabaki:Jiwe aliwaharibia mafisadi tu
mafisadi walibadilika sura tu. wakabaki:Jiwe aliwaharibia mafisadi tu
Hapana ni propaganda tu za mafisadi baada ya kubanwa mbavumafisadi walibadilika sura tu. wakabaki:
1. Mayanga construction
2. DAB
3. Lengai
4. Mganga Biswalo
Nyuki ingia mzinga wa babu tule asali!!!! Nyuki wamerudi mzinganiView attachment 3250408
Hata ikiwa wewe usiku unaota hii sura ikiwa imevaa kibwaya na kaniki, hutoogopa?
Watu wanaoleta uozo humu jukwaani Hadi kufikia kutukanwa Wana matatizo zaidi ya akili.Watu wanaotukana hivi mitandaoni wana tatizo la afya ya akili
Yaani wewe utapigwa radi mchana saa saba kwa dhambi ya uongo, Jamaa was a hero of Africa sio Tanzania ,yule mzee aliiharibu sana hii nchi
Kila kichaa anaona walio na akili timamu ndio vichaa, wanasikia njaa na chakula cha bure kipo nje nje kwenye mapipa!Watu wanaoleta uozo humu jukwaani Hadi kufikia kutukanwa Wana matatizo zaidi ya akili.
Kna kiti kimoja ambacho wengi mnaki-mis. Tanzania ukishakuwa wewe ni rais wa nchi, basi una nguvu kubwa sana sana na hakuna mtu yeyote pembeni anayeweza kukuondoa kwenye kiti au kuzuia usigombee. Labda uzembee sana wakuondoe kwa kukuwekea sumu lakini siyo kwa njia za kikatiba. Hata kama unataka kuwa rais wa maisha, uwezo unao. Inapofika wakati wa uteuzi wa wagombea wa CCM habari kama hizi huwa zinavuma sana. Kikwete hivyo hivyo walisema atakuwa rais wa awamu moja kwani kuna watu wanampinga. Magufuli hivyo hivyo. Hizi ni porojo tu.Labda uwe mtu poyoyo sana wa kufikiri ndio hutaelewa hii move ya Raisi Samia ya kuanza kusema anawarudisha kina January Makamba kwa mama. Hii sio bure, na kama January anafikiri kwamba anachofanyiwa na Raisi Samia ni hisani, basi yeye ni one of the most naive, pathetic and disgusting politicians kuwahi kutokea katika nchi hii, kuweza kuimeza move ya Samia, hook, line and sinker kirahisi kiasi hiki, especially anapoanza kuimba "nampongeza mama kwa kuchaguliwa na Mkutano Mkuu kuwa mgombea wa CCM"!
Anaefaidika na "kurudishwa kwa mama" hapa wala sio January, bali ni Raisi Samia. January Makamba anaonekana kufurahia. Labda pia ni kwa kuwa anajua kilichomfanya aondolewe uwaziri (kuna mtu alisema aliondolewa uwaziri kwa kosa ambalo ingekuwa Tanzania ni China angehukumiwa kifo!). Na pia January anaweza kuliona hili katika kutengeneza matumaini yake ya 2030. Ila asisahau kuna kina Mwigulu pia wenye matumaini hayo!
Samia anajua wazi kwamba kilichofanywa na Mkutano Mkuu hakikukubaliwa na vigogo wengi ndani ya CCM, kutia ndani kina January Makamba, ambao walijua wazi kilichofanywa na Mkutano Mkuu kililenga kuwapiga chenga katika mkakati wao. Tayari kulikuwa na vuguvugu ndani ya CCM la kujaribu kutompitisha Samia kama mgombea wa CCM wa 2025, na hii ndio iliyofanya Samia na kundi lake kutumia Mkutano Mkuu "kujipitisha" kuwa wagombea wa CCM.
Samia anachofanya sasa ni kutumia mbinu ya "divide and weaken" kwenye hili kundi la ndani ya CCM ambalo anajua lina nguvu na linaweza kukwamisha ushindi wake kwenye uchaguzi mkuu. Anaanza kuwavuta mmoja, akianza na kina January Makamba, kwa kutumia "emotional blackmail", eti "kurudi kwa mama". Na pia atawatupia vizawadi vingine vya uteuzi ili kuwatoa kwenye kundi la ndani ya CCM la "Samia Must Fall", ambapo kimsingi kufanya hivyo ni corruption. Kumteua mtu asiyefaa au aliyefanya kosa kubwa ili ufaidike na kuungwa mkono kwake ni rushwa.
Samia anajua wazi kwamba upinzani anaoukabili kulelekea uchaguzi Mkuu wa 2025 sio tu unatoka kwa wapinzani kama kina Lisu, bali kuna kundi ndani ya CCM lenye nguvu sana, ambalo linatia ndani watu wa karibu wa Magufuli waliowekwa kando, ambalo lilishajiweka sawa kupanga mkakati wa aidha asiteuliwe kuwa mgombea wa CCM au asishinde uchaguzi wa kuwa raisi. Sasa kikwazo cha kuteuliwa aliwapiga chenga kwa kutumia Mkutano Mkuu. Lakini Samia anajua wazi hiyo haitoshi. Na sasa anaanza "kuwarudisha kwa mama". Ni wale walio naive na waroho wa madaraka tu ambao watashindwa kuliona hilo na kukubali "kurudi kwa mama", na kuacha kuwa sehemu ya "Samia Must Fall" ndani ya CCM.
Upande wa pili kuwarudisha hawa watu kina January kunaweza kukamgeuka Samia. Ni kwamba bila kujua anawaweka zizi moja wale wote waliokamia kuwa maraisi 2030 - January, Mwigulu, Mchengerwa, Nchimbi, Biteko, Tulia, Ridhiwani, nk. Sasa ndani ya hawa, kuna baadhi kufanikiwa kwao 2030 maana yake Samia asifanikiwe 2025. Tusubiri yajayo!
Pia soma: Rais Samia: Nilimpiga kikofi January leo namrudisha kwa mama
Mkuu hata kina January hawana nguvu yoyote. N maneno tu. Nguvu za kikatiba alizonazo rais wa Bongo hakuna mwenye uwezo wa kuzitikisa, labda wananchi wakiwashe tu.Sasa umeona hii thread imekataa hilo au imesema Samia kishawapiga chenga kupitia Mkutano Mkuu? Ndio maana uliibuka na F nyingi, huna uwezo wa kusoma na kuelewa kitu
Ingekuwa hivyo, Mungu angemlinda kwa manufaa ya watu wa Mungu. Angemaliza kipindi cha utawala wake. Aliijeruhi mioyo ya watu wengi sana, watu wakamlilia kwa Bwana, Bwana akamuondoa.Yaani wewe utapigwa radi mchana saa saba kwa dhambi ya uongo, Jamaa was a hero of Africa sio Tanzania ,