Kuna somo lnaitwa Statistics na kuna wataalamu wake. Lnafundsha jns ya kufanya Statistical analysis kitaalamu. Ss hv kila mtu ni mtaalam wa fani hiyo! Hapa hata miezi haijapita kila tarakimu iliopo ktk utalii inasemekana inahusu hiyo "tuwa"! Nchi imeachana na utaalamu imeungana na mapambio, masifa yasiyo na kichwa/miguu ...halafu tutegmee maendleo, tutangoja sana