Kuruhusu maandamano ya amani ya Chadema, je Rais Samia ameshawachoka wahafidhina wa CCM wasiotaka mabadiliko nchini?

Ndivyo ilivyo !!
Haiwezekani ukawa unawakubalia mbumbumbu kila wakitakacho !!
Mama anajaribu kuitengeneza legacy yake ya kukumbukwa !!
Watu wanabadilika kufuatana na nyakati lakini MAJITU mengine huwa hayataki kubadilika mpaka yanaenda kuzimu !!
 
CCM ni baba wa siasa za nchi hii. Polepole mmeshaanza kumsifu mwenyekiti wa CCM.. Inapendeza. Njia nyeupe kwa mama 2025
Hivi wewe unafurahia kabisa, kuona kwenye chama chenu, anajitokeza "chief of comedians" anawakosea kabisa heshima wapiganaji wetu, kuwa eti tarehe 24, waje na "hardi brooms" zao ili waje walisafishe jiji??

Hivi kwenye "jon descriptions" za kazi zao, kweli utakuta hilo alilolitaja huyo RC kuwa zimo kwenye majukumu yao ya kazi?
 
Ni hatua moja kwenye uelekeo wa ustaarabu kifikra.
Kuzuia maandamano kwa kutoa sababu zisizokuwa na mashiko hakuna faida yoyote kisiasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…