Kurusha manii kunakotakiwa


Ndiyo maana MziziMkavu akakujibu kuwa umeshajijibu mwenyewe, yaani jibu tayari unalo sasa sijuwi unatafuta nini labda unataka dawa, kama ni dawa zipo tuwasiliane tu.
 
Last edited by a moderator:
Maneno yako yametulia mno na uko 110% accurate.

 
hebu funguka kidoko mkuu kwahyo hapa
asipofika yeye mimba hapat?
Je na wanaobakwa?
Kujifunza na kwa faida ya wengine!!
Hukunielewa? Hata kama hajafika mimba atapata.
Tatizo ni kwamba umewahi yeye hujamfikisha so hatakuwa amefurai ama kumaliza hamu zake.
Ila mimba inajipa hata kama hujafika ama kufikishwa , so hicho si kigezo cha kutopata ujauzito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…