[emoji23][emoji23] nimekushindwa tabiaHapo mwishoni mwa uzi wako unajiita Mrs G kwa mbwembwe zote wakati huna chura!....Mr G ameniambia wala hana furaha na hayo mahusiano yenu!!
Weka video mi kichwa maji sijaelewa
Hatimae leo umebadilisha rangi ya maandishi
Wenzangu kale ka mchezo nakaona mtu anafungwa kwenye kiti na kamba zinakuwa ndefu halaf anarushwa toka juu kwenda chini na chini ni mbalii hivi wana moyo gani wa kuvumilia ,maana nahisi naweza kuzimia huko huko au kufa kabisa kwa mshituko jamanii
kamchezo haka kanahitaji moyo mpana na usiwe na presha unaweza rushwa ukafa kile kule ukarudi maiti hahahaah
Je we unaweza kurushwa vile na ukarudi mzima,wengine wanafungwa na watoto mgongoni wanaruka nao jamani watu wana roho ngumu mim hata yale madude ya kukaa halaf yanazunguka siwezi kabisaa michezo ya kunifanya nihisi kizunguzungu siitakiii
Mrs G
Hapo mwishoni mwa uzi wako unajiita Mrs G kwa mbwembwe zote wakati huna chura!....Mr G ameniambia wala hana furaha na hayo mahusiano yenu!!
Baadhi zimeshakatika na wahusika kurudisha namba. Michezo ya hovyo hovyo hivyo ambayo inaweza kusitisha uhai wa mtu ni kuiangalia tu na si kushiriki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we ndo umepotea kabisa
Kwa vitendo usijetaka turushane wewe
Hiyo michezp naicheza sana.
Inaitwaje hiyo michezo watu wanuliza mi hata sijui jina naonaga video tu
Asikudanganye shauri lako
Mimi kwanza nilivyoona kaandika kurushwa toka juu nikajua tu hii thread ya huyu mama inahusu mambo yetu yaleeee.
Kusoma naona vitu vya ajabu tu.
Acha kunipeperushia mtu wangu wa kumrusha...
Acha kunipeperushia mtu wangu wa kumrusha...
Salaah tunaomba picha au video haoa watu waone mi sijui hata inatwaje
Hapo kazungumzia michezo miwili...
Huo wa kuwekwa kwenye kiti alafu unaachiwa toka juu mfano wa kubembea... Sky screamer...
Huo wa kukaa na kuzungushwa kama upo kwenye treni.. Roll Coaster...
Nishajaribu yote hiyo... kama una roho ndogo ni kweli huwezi thubutu...
Unapatwa na raha ya ajabu na uwoga wa ajabu hapo hapo yani ni malue lue tu unasikia...