Kurushwa kutoka juu

Kurushwa kutoka juu

Hata mimi.. Anazungumzia mieleka ama??[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]




Cc Smart911

Hapo kazungumzia michezo miwili...

Huo wa kuwekwa kwenye kiti alafu unaachiwa toka juu mfano wa kubembea... Sky screamer...

Huo wa kukaa na kuzungushwa kama upo kwenye treni.. Roll Coaster...

Nishajaribu yote hiyo... kama una roho ndogo ni kweli huwezi thubutu...

Unapatwa na raha ya ajabu na uwoga wa ajabu hapo hapo yani ni malue lue tu unasikia...
 
Baadhi zimeshakatika na wahusika kurudisha namba. Michezo ya hovyo hovyo hivyo ambayo inaweza kusitisha uhai wa mtu ni kuiangalia tu na si kushiriki.

Wenzangu kale ka mchezo nakaona mtu anafungwa kwenye kiti na kamba zinakuwa ndefu halaf anarushwa toka juu kwenda chini na chini ni mbalii hivi wana moyo gani wa kuvumilia ,maana nahisi naweza kuzimia huko huko au kufa kabisa kwa mshituko jamanii
kamchezo haka kanahitaji moyo mpana na usiwe na presha unaweza rushwa ukafa kile kule ukarudi maiti hahahaah

Je we unaweza kurushwa vile na ukarudi mzima,wengine wanafungwa na watoto mgongoni wanaruka nao jamani watu wana roho ngumu mim hata yale madude ya kukaa halaf yanazunguka siwezi kabisaa michezo ya kunifanya nihisi kizunguzungu siitakiii

Mrs G
 
Hapo mwishoni mwa uzi wako unajiita Mrs G kwa mbwembwe zote wakati huna chura!....Mr G ameniambia wala hana furaha na hayo mahusiano yenu!!

Hahahaha unnifurahishaga,sina chura lakin navyopendwa sasa kama kuwazidi wenye vyura vyao,na G wangu alivyo handsome sas wala hana habari na vyura kwanza havipendi kabisa,nishamkamata kaozaa ananuka
 
Baadhi zimeshakatika na wahusika kurudisha namba. Michezo ya hovyo hovyo hivyo ambayo inaweza kusitisha uhai wa mtu ni kuiangalia tu na si kushiriki.

Inaitwaje hiyo michezo watu wanuliza mi hata sijui jina naonaga video tu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mimi kwanza nilivyoona kaandika kurushwa toka juu nikajua tu hii thread ya huyu mama inahusu mambo yetu yaleeee.

Kusoma naona vitu vya ajabu tu.

Kuna video bana wanakuwa kwenye daraja refuu halaf unarushwa chiniiii ya daraja achana na daraja la kigamboni fupi hilo
 
Hapo kazungumzia michezo miwili...

Huo wa kuwekwa kwenye kiti alafu unaachiwa toka juu mfano wa kubembea... Sky screamer...

Huo wa kukaa na kuzungushwa kama upo kwenye treni.. Roll Coaster...

Nishajaribu yote hiyo... kama una roho ndogo ni kweli huwezi thubutu...

Unapatwa na raha ya ajabu na uwoga wa ajabu hapo hapo yani ni malue lue tu unasikia...

Bora umenisaidia hawa wanakalia kuangalia umbea tu huko insta
 
Back
Top Bottom