Kusafiri bila kutoa taarifa inasaidia sana kwa usalama wako

Kusafiri bila kutoa taarifa inasaidia sana kwa usalama wako

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Mzuka Wanajamvi!

Kutokana na tabia mbaya siku hizi za chuki, husda, wivu, gilba na ushirikina lazima uwe makini sana kwa wanaokuzunguka. Si vizuri kuweka wazi mipango yako. Hata ukitaka kusafiri unaondoka kimya kimya tu.

Mimi hata nikija bongo likizo nashuka kimya kimya na nikiondoka wanashtukizia tu nilishafika mtoni.

Hii inasaidia sana.
 
Mzuka Wanajamvi!

Kutokana na tabia mbaya siku hizi za chuki, husda, wivu, gilba na ushirikina lazima uwe makini sana kwa wanaokuzunguka. Si vizuri kuweka wazi mipango yako. Hata ukitaka kusafiri unaondoka kimya kimya tu.

Mimi hata nikija bongo likizo nashuka kimya kimya na nikiondoka wanashtukizia tu nilishafika mtoni.

Hii inasaidia sana.
Real
 
Na zaid kama unasafiri kwa ishu zako pasono ni vizuri zaidi
 
Muhimu uwe na simu mbili smart na torch isiyopassword Ili ukikata moto ghafla angalau ndugu zako wapatikane
 
Mzuka Wanajamvi!

Kutokana na tabia mbaya siku hizi za chuki, husda, wivu, gilba na ushirikina lazima uwe makini sana kwa wanaokuzunguka. Si vizuri kuweka wazi mipango yako. Hata ukitaka kusafiri unaondoka kimya kimya tu.

Mimi hata nikija bongo likizo nashuka kimya kimya na nikiondoka wanashtukizia tu nilishafika mtoni.

Hii inasaidia sana.
waswahili watu wabaya, Mimi pia sijawai kuaga nikiwa na safari yoyote
 
Hakuna kitu sipendi kama kuaga navyotoka.

Watu huwa wanastuka tu sipo..

Hii ni popote, iwe kwenye vijiwe, bar, nyumbani popote ale ambapo nitakuwepo huwa naondoka kimyakimya.

Mpaka nimeambiwa natabia mbaya
 
Nafikiri familia ya karibu na wale watu wako wa karibu inapaswa kujua
 
Mzuka Wanajamvi!

Kutokana na tabia mbaya siku hizi za chuki, husda, wivu, gilba na ushirikina lazima uwe makini sana kwa wanaokuzunguka. Si vizuri kuweka wazi mipango yako. Hata ukitaka kusafiri unaondoka kimya kimya tu.

Mimi hata nikija bongo likizo nashuka kimya kimya na nikiondoka wanashtukizia tu nilishafika mtoni.

Hii inasaidia sana.
tunafanana.
 
Mzuka Wanajamvi!

Kutokana na tabia mbaya siku hizi za chuki, husda, wivu, gilba na ushirikina lazima uwe makini sana kwa wanaokuzunguka. Si vizuri kuweka wazi mipango yako. Hata ukitaka kusafiri unaondoka kimya kimya tu.

Mimi hata nikija bongo likizo nashuka kimya kimya na nikiondoka wanashtukizia tu nilishafika mtoni.

Hii inasaidia sana.
Ni kweli...lakini hili swala kama lina pande mbili
Hasara kama ulizozitaja na faida pia
Kuaga kunaweza kusaidia kwa watu kukuchekia vitu vyako ulivyoacha n.k japo kuaga watu wengi sio nzuri...shtua wale unaowaamini...walio karibu tu
 
Mzuka Wanajamvi!

Kutokana na tabia mbaya siku hizi za chuki, husda, wivu, gilba na ushirikina lazima uwe makini sana kwa wanaokuzunguka. Si vizuri kuweka wazi mipango yako. Hata ukitaka kusafiri unaondoka kimya kimya tu.

Mimi hata nikija bongo likizo nashuka kimya kimya na nikiondoka wanashtukizia tu nilishafika mtoni.

Hii inasaidia sana.
Hapo muhimu ni kwamba umeshatutangazia kuwa uko Mtoni. Over.
 
Back
Top Bottom