RealMzuka Wanajamvi!
Kutokana na tabia mbaya siku hizi za chuki, husda, wivu, gilba na ushirikina lazima uwe makini sana kwa wanaokuzunguka. Si vizuri kuweka wazi mipango yako. Hata ukitaka kusafiri unaondoka kimya kimya tu.
Mimi hata nikija bongo likizo nashuka kimya kimya na nikiondoka wanashtukizia tu nilishafika mtoni.
Hii inasaidia sana.
waswahili watu wabaya, Mimi pia sijawai kuaga nikiwa na safari yoyoteMzuka Wanajamvi!
Kutokana na tabia mbaya siku hizi za chuki, husda, wivu, gilba na ushirikina lazima uwe makini sana kwa wanaokuzunguka. Si vizuri kuweka wazi mipango yako. Hata ukitaka kusafiri unaondoka kimya kimya tu.
Mimi hata nikija bongo likizo nashuka kimya kimya na nikiondoka wanashtukizia tu nilishafika mtoni.
Hii inasaidia sana.
Ni Marangu Mtoni! 😃Mtoni malagarasi nini.
tunafanana.Mzuka Wanajamvi!
Kutokana na tabia mbaya siku hizi za chuki, husda, wivu, gilba na ushirikina lazima uwe makini sana kwa wanaokuzunguka. Si vizuri kuweka wazi mipango yako. Hata ukitaka kusafiri unaondoka kimya kimya tu.
Mimi hata nikija bongo likizo nashuka kimya kimya na nikiondoka wanashtukizia tu nilishafika mtoni.
Hii inasaidia sana.
Ni kweli...lakini hili swala kama lina pande mbiliMzuka Wanajamvi!
Kutokana na tabia mbaya siku hizi za chuki, husda, wivu, gilba na ushirikina lazima uwe makini sana kwa wanaokuzunguka. Si vizuri kuweka wazi mipango yako. Hata ukitaka kusafiri unaondoka kimya kimya tu.
Mimi hata nikija bongo likizo nashuka kimya kimya na nikiondoka wanashtukizia tu nilishafika mtoni.
Hii inasaidia sana.
Hapo muhimu ni kwamba umeshatutangazia kuwa uko Mtoni. Over.Mzuka Wanajamvi!
Kutokana na tabia mbaya siku hizi za chuki, husda, wivu, gilba na ushirikina lazima uwe makini sana kwa wanaokuzunguka. Si vizuri kuweka wazi mipango yako. Hata ukitaka kusafiri unaondoka kimya kimya tu.
Mimi hata nikija bongo likizo nashuka kimya kimya na nikiondoka wanashtukizia tu nilishafika mtoni.
Hii inasaidia sana.