Ambaye alikuwa hataki kusafiri alikuwa anaogopa vitu viwili;
(1) Kwa vile alikuwa amewekewa defibrillator kwenye kifua KUONGEZA kasi ya mapigo ya moyo, ilikuwa ni hatari kwake kusafiri na ndege safari ndefu. Ndiyo maana akabakia kuwa Rais wa kuzurura Msamvu, Sekenke, Kahama na Chato. Usidanganywe kwamba Magufuli eti alikuwa anabana matumizi, HAPANA
(2) English ilikuwa ni tatizo kubwa kwake. Unapotoka nchi iliyotawaliwa na Mwingereza na unadai una PhD halafu unasema "people used to die in ze rake" lazima utaonekana kituko.
Muacheni Samia mwenye Afya inamruhusu na English anapiga kisawasawa aendelee kusafiri vile anavyodhani inaleta tija kwa nchi yetu