Kusafiri nje ya nchi kwa viongozi wa kisiasa na hata wale makinda wa kisiasa ni jambo jema

Kusafiri nje ya nchi kwa viongozi wa kisiasa na hata wale makinda wa kisiasa ni jambo jema

Nafuu uniite popoma kuliko wewe Msukule. Magufuli amekufa akiwa amechukua akili zenu na tumemzika nazo. Endeleeni kumuabudu ila tayari yeye ni chakula cha minyoo
Kila alichofanya unakitumia mpaka sasa derict or indirect ... hata shangazi yako akitaka kuja kukuona (ila hii sina hakika kwa akili zako) atapanda bus kwenye stand iliyosimamiwa ujenzi na JPM ...akiugua atapanda bombardier alizonunua JPM... zahanati atatibiwa kwenye usimamizi wa JPM ...barabara.. mpaka unakufa tutakusafirisha na barabara alizojenga mwamba.
 
Kila alichofanya unakitumia mpaka sasa derict or indirect ... hata shangazi yako akitaka kuja kukuona (ila hii sina hakika kwa akili zako) atapanda bus kwenye stand iliyosimamiwa ujenzi na JPM ...akiugua atapanda bombardier alizonunua JPM... zahanati atatibiwa kwenye usimamizi wa JPM ...barabara.. mpaka unakufa tutakusafirisha na barabara alizojenga mwamba.
Mwanga Mkali nyie ndiyo mnafanya nchi ionekane ina WAPUMBAVU wengi. Hizo bombardier na barabara ni Kodi zetu sisi. Yeye aliajiriwa kwa kura zetu (pamoja na alizoiba) ili atekeleze majukumu yaliyo kwenye ilani ya chama chake.

Kwani kuna Rais wa Tanzania ambaye hajawahi kujenga barabara?
 
Mwanga Mkali nyie ndiyo mnafanya nchi ionekane ina WAPUMBAVU wengi. Hizo bombardier na barabara ni Kodi zetu sisi. Yeye aliajiriwa kwa kura zetu (pamoja na alizoiba) ili atekeleze majukumu yaliyo kwenye ilani ya chama chake.

Kwani kuna Rais wa Tanzania ambaye hajawahi kujenga barabara?
Utabaki kubweka ukiamini unavijiufahamu kumbe jinga kuu. Kodi zetu lazima zipate watu wa kariba ya JPM kuzisimamia. Sio wajinga kama wewe na group lako mnawaza wizi na ubadhilifu... ukute hata kazi hufanyi unalialiamtandaoni
 
Utabaki kubweka ukiamini unavijiufahamu kumbe jinga kuu. Kodi zetu lazima zipate watu wa kariba ya JPM kuzisimamia. Sio wajinga kama wewe na group lako mnawaza wizi na ubadhilifu... ukute hata kazi hufanyi unalialiamtandaoni
JPM alisimamia Kodi ya nani? Mbona alihusika na matumizi yasiuoeleweka ya Tsh 2.4 Trillion kwa mujibu wa CAG report 2016-18
 
Ambaye alikuwa hataki kusafiri alikuwa anaogopa vitu viwili;

(1) Kwa vile alikuwa amewekewa defibrillator kwenye kifua KUONGEZA kasi ya mapigo ya moyo, ilikuwa ni hatari kwake kusafiri na ndege safari ndefu. Ndiyo maana akabakia kuwa Rais wa kuzurura Msamvu, Sekenke, Kahama na Chato. Usidanganywe kwamba Magufuli eti alikuwa anabana matumizi, HAPANA

(2) English ilikuwa ni tatizo kubwa kwake. Unapotoka nchi iliyotawaliwa na Mwingereza na unadai una PhD halafu unasema "people used to die in ze rake" lazima utaonekana kituko.

Muacheni Samia mwenye Afya inamruhusu na English anapiga kisawasawa aendelee kusafiri vile anavyodhani inaleta tija kwa nchi yetu
Amewatesa akiwa hai na bado anaendelea kuwatesa akiwa Hayati ni TZ pekee ambapo hupatikana vituko hivi duniani pote [emoji28]
 
Daraja la Kigamboni
2. Daraja La Kilombero
3. Daraja la Umoja
4. Daraja la Maragarasi
5. Chuo Kikuu cha Dodoma
6. Hospitali ya Mloganzila
7. JNIA terminal III
8. DART(Mwendo kasi)
9. Sekondari za Kata nchi nzima kila kata ina shule.
10. Mradi mkubwa wa maji wa Ziwa Victoria
11. Songwe Airport
12. Kigoma Airport
13. Tabora Airport
14. Umeme wa REA
15. Benjamin Mkapa hospital Dodoma
16. Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha
17. Dangote industry
18. Bomba la gesi Mtwara Dar
19. Kinyerezi I&II
20. Hospitali ya Moyo
21. MOI
22. Nchi nzima kuunganishwa kwa barabara za lami(zaidi km 14000 zilijengwa nchi nzima)
23. Umeme kwa makao makuu ya wilaya
24. Kuvusha Umeme Zanzibar
25. Ujenzi wa Mkongo wa taifa wa mawasiliano(leo tunajimwambafai na internet matunda ya JK)
26. JNICC Conference center(Ukumbi wa kisasa)
27. Hata CCM wenyewe aliwajengea ukumbi wa kisasa Dodoma.
28. Nyongeza ya mishahara kwa watumishi kila mwezi julai
29. Ajira kila mwaka
30. Annual Increment ilikuwa haki ya Mtumishi.
32. Diplomasia ya kimataifa ilikuwa juu katika ukanda wa maziwa makuu.
33. Demokrasia iliyopevuka
34. Aliwagomea CCM na kuwaambia hoja za kisiasa hujibiwa kisiasa, sio kwa kipigo cha polisi.
1-4 = Madaraja, chuo kikuu cha Dodoma ingefaa iwe no 2.
 
Mwanga Mkali nyie ndiyo mnafanya nchi ionekane ina WAPUMBAVU wengi. Hizo bombardier na barabara ni Kodi zetu sisi. Yeye aliajiriwa kwa kura zetu (pamoja na alizoiba) ili atekeleze majukumu yaliyo kwenye ilani ya chama chake.

Kwani kuna Rais wa Tanzania ambaye hajawahi kujenga barabara?
Sasa mbona unajichanganya, mara udai hakuna ambacho alikifanya, tena ukubali kuwa alifanya hiyo miradi kwa kodi zetu wananchi?

Duniani kosa vyote ila ukikosa akili...........[emoji1787]
 
Amewatesa akiwa hai na bado anaendelea kuwatesa akiwa Hayati ni TZ pekee ambapo hupatikana vituko hivi duniani pote [emoji28]
Anatutesaje wakati amekufa na COVID-19 na sisi katuacha tunadunda!! Ushamba ulimzidi kenge yule, muache aendelee kuoza huko Chato
 
Sasa mbona unajichanganya, mara udai hakuna ambacho alikifanya, tena ukubali kuwa alifanya hiyo miradi kwa kodi zetu wananchi?

Duniani kosa vyote ila ukikosa akili...........[emoji1787]
Ameua, amevuruga uchumi, amelimbikiza miundombinu mikubwa kijijini kwake Chato. He was useless ndiyo maana kasepeshwa na Mungu kabla hajatupeleka pabaya sana
 
Back
Top Bottom