Kusafiri nje ya nchi kwa viongozi wa kisiasa na hata wale makinda wa kisiasa ni jambo jema

Nafuu uniite popoma kuliko wewe Msukule. Magufuli amekufa akiwa amechukua akili zenu na tumemzika nazo. Endeleeni kumuabudu ila tayari yeye ni chakula cha minyoo
Kila alichofanya unakitumia mpaka sasa derict or indirect ... hata shangazi yako akitaka kuja kukuona (ila hii sina hakika kwa akili zako) atapanda bus kwenye stand iliyosimamiwa ujenzi na JPM ...akiugua atapanda bombardier alizonunua JPM... zahanati atatibiwa kwenye usimamizi wa JPM ...barabara.. mpaka unakufa tutakusafirisha na barabara alizojenga mwamba.
 
Mwanga Mkali nyie ndiyo mnafanya nchi ionekane ina WAPUMBAVU wengi. Hizo bombardier na barabara ni Kodi zetu sisi. Yeye aliajiriwa kwa kura zetu (pamoja na alizoiba) ili atekeleze majukumu yaliyo kwenye ilani ya chama chake.

Kwani kuna Rais wa Tanzania ambaye hajawahi kujenga barabara?
 
Utabaki kubweka ukiamini unavijiufahamu kumbe jinga kuu. Kodi zetu lazima zipate watu wa kariba ya JPM kuzisimamia. Sio wajinga kama wewe na group lako mnawaza wizi na ubadhilifu... ukute hata kazi hufanyi unalialiamtandaoni
 
Utabaki kubweka ukiamini unavijiufahamu kumbe jinga kuu. Kodi zetu lazima zipate watu wa kariba ya JPM kuzisimamia. Sio wajinga kama wewe na group lako mnawaza wizi na ubadhilifu... ukute hata kazi hufanyi unalialiamtandaoni
JPM alisimamia Kodi ya nani? Mbona alihusika na matumizi yasiuoeleweka ya Tsh 2.4 Trillion kwa mujibu wa CAG report 2016-18
 
Amewatesa akiwa hai na bado anaendelea kuwatesa akiwa Hayati ni TZ pekee ambapo hupatikana vituko hivi duniani pote [emoji28]
 
1-4 = Madaraja, chuo kikuu cha Dodoma ingefaa iwe no 2.
 
Sasa mbona unajichanganya, mara udai hakuna ambacho alikifanya, tena ukubali kuwa alifanya hiyo miradi kwa kodi zetu wananchi?

Duniani kosa vyote ila ukikosa akili...........[emoji1787]
 
Amewatesa akiwa hai na bado anaendelea kuwatesa akiwa Hayati ni TZ pekee ambapo hupatikana vituko hivi duniani pote [emoji28]
Anatutesaje wakati amekufa na COVID-19 na sisi katuacha tunadunda!! Ushamba ulimzidi kenge yule, muache aendelee kuoza huko Chato
 
Sasa mbona unajichanganya, mara udai hakuna ambacho alikifanya, tena ukubali kuwa alifanya hiyo miradi kwa kodi zetu wananchi?

Duniani kosa vyote ila ukikosa akili...........[emoji1787]
Ameua, amevuruga uchumi, amelimbikiza miundombinu mikubwa kijijini kwake Chato. He was useless ndiyo maana kasepeshwa na Mungu kabla hajatupeleka pabaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…