Zemanga zoze
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 1,016
- 1,722
diamond ni media owner wa media ipi??Kama ni wasafi media owner ni familia ya huyo huyo kusaga through mke wake...Hahaha, mtu unaweza kujiharibia siku bure kwa kuwashtukiza watu.
Diamond ni media owner kwa sasa, wewe kutangaza kupitia media nyingine na kutaka yeye achangie ili media hiyo ipate credit kwamba imewachangisha watu si kitu sahihi.
Yeye alitakiwa kuwapigia business partners wa Clouds, na kama anataka angeenda Wasafi kufanya utaratibu kama huo na kuwapigia watu anaoona ni business partners wa Wasafi.
Mondi kama maji ndio maana hata wewe pamoja na kumchukia lkn haipiti siku bila kumzunguzia Mondi,yaani wewe huwezi kumkwepa Mondi kivyovyote utamzungumzia.Kusaga ni Vyema Awaachie Vijana Waendeshe Kampuni hana analolijua, Vijana wa Pale mjengoni hawataki kumsikia Diamond na Diamond hataki Kuisikia Clouds, kusaga awaache kila mtu aendelee ni mishe zake Uwezo Wake ni Mdogo kwa kua ni Boss bas anataka Kuforce Vitu visivyowezekana, Ruge alimbeba sana huyu Kusaga
Kipindi kile alijipendekeza akawaamlisha vijana wapige Nyimbo za Diamond, Mameneja wake wakamshushua, Bado anangangania tu aache Upimbi na Kujipendekeza kwa Diamond,.
Bosi hagomewi.Huyu kusaga ana Bahati kakutana na hao akina Siza, Angewashitukiza Akina Mchomvu Wangemgomea
Haters wa Diamond imewauma kuona Mzee hana noma na Dai.Ingekuwa kamponda Dai mngeanzisha nyuzi kibao.Ushamba wenu ni mzigo kwenu.Ruge alikuwa anambeba sana huyu Kusaga..
diamond ni media owner wa media ipi??Kama ni wasafi media owner ni familia ya huyo huyo kusaga through mke wake...
Leta ushahidi, otherwise comment yako ni ya kupuuzwa kama tulivyoanza kuyapuuza mapapaiKusaga ana own hiyo media kwa 100%?
Leta ushahidi, otherwise comment yako ni ya kupuuzwa kama tulivyoanza kuyapuuza mapapai
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikiba ndo anaendesha hiyo Media kwa sasa baada ya Ruge kufariki sema tu hapendagi show-offKusaga ni Vyema Awaachie Vijana Waendeshe Kampuni hana analolijua, Vijana wa Pale mjengoni hawataki kumsikia Diamond na Diamond hataki Kuisikia Clouds, kusaga awaache kila mtu aendelee ni mishe zake Uwezo Wake ni Mdogo kwa kua ni Boss bas anataka Kuforce Vitu visivyowezekana, Ruge alimbeba sana huyu Kusaga
Kipindi kile alijipendekeza akawaamlisha vijana wapige Nyimbo za Diamond, Mameneja wake wakamshushua, Bado anangangania tu aache Upimbi na Kujipendekeza kwa Diamond,.
Sio jambo la kuongea sauti ya chini ....kusaga ni investor ila we all know the master mind alikuwa naniKusaga naye ameonekana alikuwa akibebwa na Ruge hakuna anachojua hapo CMG. Huo nao watasema ubunifu.
Diamond ili aonekane katoa mchango kukabiliana na corona lazima achangie mafenesi, papai na mbuzi!
Ok mkuu samahani nilikurupuka[emoji1]Hahaha, mkuu rudia kupitia hiyo convo upya.
Nimeuliza swali hapo.
Sikuzote walikuwa wanaupiga ule Yope original, wameshikwa pabaya[emoji1][emoji1]Naisikia hapa Yope remix kwa mara ya kwanza inapigwa redio clouds fm