Kusaga ampigia simu Diamond Platnumz akiwa live Clouds FM

Kusaga ampigia simu Diamond Platnumz akiwa live Clouds FM

Hahaha, mtu unaweza kujiharibia siku bure kwa kuwashtukiza watu.

Diamond ni media owner kwa sasa, wewe kutangaza kupitia media nyingine na kutaka yeye achangie ili media hiyo ipate credit kwamba imewachangisha watu si kitu sahihi.

Yeye alitakiwa kuwapigia business partners wa Clouds, na kama anataka angeenda Wasafi kufanya utaratibu kama huo na kuwapigia watu anaoona ni business partners wa Wasafi.
diamond ni media owner wa media ipi??Kama ni wasafi media owner ni familia ya huyo huyo kusaga through mke wake...
 
Kusaga ni Vyema Awaachie Vijana Waendeshe Kampuni hana analolijua, Vijana wa Pale mjengoni hawataki kumsikia Diamond na Diamond hataki Kuisikia Clouds, kusaga awaache kila mtu aendelee ni mishe zake Uwezo Wake ni Mdogo kwa kua ni Boss bas anataka Kuforce Vitu visivyowezekana, Ruge alimbeba sana huyu Kusaga

Kipindi kile alijipendekeza akawaamlisha vijana wapige Nyimbo za Diamond, Mameneja wake wakamshushua, Bado anangangania tu aache Upimbi na Kujipendekeza kwa Diamond,.
Mondi kama maji ndio maana hata wewe pamoja na kumchukia lkn haipiti siku bila kumzunguzia Mondi,yaani wewe huwezi kumkwepa Mondi kivyovyote utamzungumzia.
 
Kusaga ni Vyema Awaachie Vijana Waendeshe Kampuni hana analolijua, Vijana wa Pale mjengoni hawataki kumsikia Diamond na Diamond hataki Kuisikia Clouds, kusaga awaache kila mtu aendelee ni mishe zake Uwezo Wake ni Mdogo kwa kua ni Boss bas anataka Kuforce Vitu visivyowezekana, Ruge alimbeba sana huyu Kusaga

Kipindi kile alijipendekeza akawaamlisha vijana wapige Nyimbo za Diamond, Mameneja wake wakamshushua, Bado anangangania tu aache Upimbi na Kujipendekeza kwa Diamond,.
Alikiba ndo anaendesha hiyo Media kwa sasa baada ya Ruge kufariki sema tu hapendagi show-off

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusaga naye ameonekana alikuwa akibebwa na Ruge hakuna anachojua hapo CMG. Huo nao watasema ubunifu.

Diamond ili aonekane katoa mchango kukabiliana na corona lazima achangie mafenesi, papai na mbuzi!
Sio jambo la kuongea sauti ya chini ....kusaga ni investor ila we all know the master mind alikuwa nani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umechezwa wimbo wa Innos ft Diamond - YOPE



"Not everything is for everybody"
 
Back
Top Bottom