mjasiliaupeo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 2,162
- 3,088
Hizo additional ni utashi wako, wewe ndio ungeniambia how majizo mwenye 40% share zusimfanye awe na majority share, Wewe si ndio ulikuwa amekomaa kuwa Mark na Majizo Hawana majority shares? Ndio nimekujibu Mark ana majority shares 24% na majizo ana majority shares 40%, hizo hesabu ulizoweka labda unataka kuonyesha uhodari wako wa kujumlisha hesabu za asilimia."
sasa mbona mbona sioni unachobishia hapo ni nini, hata huyo unayemwita mwana mama ni mdogo wake wa tumbo moja, labda kama haulijui hilo."
Hii kauli yako,the same kusema Ma mdogo 40 + majizo 40=MAJIZO 80.
Umenukuu report ya TCRA ukaiconevert ktk kifamilia ukaassume,sababu wote ukoo mmoja,basi zote ana miliki Majizo.
Hapo ndipo mimi ninakupinga kwamba una assume.