Kusaga ampigia simu Diamond Platnumz akiwa live Clouds FM

Kusaga ampigia simu Diamond Platnumz akiwa live Clouds FM

"
sasa mbona mbona sioni unachobishia hapo ni nini, hata huyo unayemwita mwana mama ni mdogo wake wa tumbo moja, labda kama haulijui hilo."

Hii kauli yako,the same kusema Ma mdogo 40 + majizo 40=MAJIZO 80.

Umenukuu report ya TCRA ukaiconevert ktk kifamilia ukaassume,sababu wote ukoo mmoja,basi zote ana miliki Majizo.

Hapo ndipo mimi ninakupinga kwamba una assume.
Hizo additional ni utashi wako, wewe ndio ungeniambia how majizo mwenye 40% share zusimfanye awe na majority share, Wewe si ndio ulikuwa amekomaa kuwa Mark na Majizo Hawana majority shares? Ndio nimekujibu Mark ana majority shares 24% na majizo ana majority shares 40%, hizo hesabu ulizoweka labda unataka kuonyesha uhodari wako wa kujumlisha hesabu za asilimia.
 
Hizo additional ni utashi wako, wewe ndio ungeniambia how majizo mwenye 40% share zusimfanye awe na majority share, Wewe si ndio ulikuwa amekomaa kuwa Mark na Majizo Hawana majority shares? Ndio nimekujibu Mark ana majority shares 24% na majizo ana majority shares 40%, hizo hesabu ulizoweka labda unataka kuonyesha uhodari wako wa kujumlisha hesabu za asilimia.
Naona unabisha mpaka ulichokiandika wewe,basi acha tuendelee kufanya assumptions,za majizo ukijumlisha za mamdogo unapata za MAJIZO.
 
Kusaga ni owner wa radio zote na kuchanga sio kutafuta masifa.

Kuna kitu kinaitwa Corporate Social Responsibility, ni nini, na faida zake ni zipi kwa kampuni husika inayofanya hiyo kitu.

Then jiulize, Diamond kuchangia kupitia Clouds, anaye win ni Clouds, vipi kuhusu Wasafi?
 
Kuna kitu kinaitwa Corporate Social Responsibility, ni nini, na faida zake ni zipi kwa kampuni husika inayofanya hiyo kitu.

Then jiulize, Diamond kuchangia kupitia Clouds, anaye win ni Clouds, vipi kuhusu Wasafi?
Kuhusu wasafi muachie Kusaga coz both clouds na wasafi zinamuhusu.
 
Hahaha, mtu unaweza kujiharibia siku bure kwa kuwashtukiza watu.

Diamond ni media owner kwa sasa, wewe kutangaza kupitia media nyingine na kutaka yeye achangie ili media hiyo ipate credit kwamba imewachangisha watu si kitu sahihi.

Yeye alitakiwa kuwapigia business partners wa Clouds, na kama anataka angeenda Wasafi kufanya utaratibu kama huo na kuwapigia watu anaoona ni business partners wa Wasafi.
YULE mzee hata Vijana wake huwa wanamuita DUDU LA YUYUUU..ningefurah saana RUGE angekuwa hai...Nadhan asinge thubutu ..Kwanza akiongeaga huwa hana madin...Tofaut na ILE ukisikia kesho RUGE ana interview attention iwepo...Lazima atatoa madini kadhaa...MZEE CHENGA.....Hata GOT TALENT alishindwa kwenda kuizindua koz of MTUNGI na kuchelewa ndege...R.I.P RUGE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusaga alikuwa live anawapigia simu watu na mashirika mbalimbali watoe michango yao kwa ajili ya mapambano ya corona, akampgia Diamond.

Diamond kakubali kuchangia ila kasema mchango wake utatajwa kesho. Kusaga kamwambia ataje wimbo wake ambao upigwe, akachagua sitobaki kama nilivyo wa joel luhagwa.

Akamsisitiza achague wa kwake, akajibu nina nyimbo nyingi nyie chagueni wowote mnaotaka.

Kusaga amsisitiza jamaa kagoma mwisho kasema au pigeni wimbo nilioshirikishwa.

Naona Mond hataki tena nyimbo zake zipigwe Mawingu.
YULE mzee hata Vijana wake huwa wanamuita DUDU LA YUYUUU..ningefurah saana RUGE angekuwa hai...Nadhan asinge thubutu ..Kwanza akiongeaga huwa hana madin...Tofaut na ILE ukisikia kesho RUGE ana interview attention iwepo...Lazima atatoa madini kadhaa...MZEE CHENGA.....Hata GOT TALENT alishindwa kwenda kuizindua koz of MTUNGI na kuchelewa ndege...R.I.P RUGE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusaga ni Vyema Awaachie Vijana Waendeshe Kampuni hana analolijua, Vijana wa Pale mjengoni hawataki kumsikia Diamond na Diamond hataki Kuisikia Clouds, kusaga awaache kila mtu aendelee ni mishe zake Uwezo Wake ni Mdogo kwa kua ni Boss bas anataka Kuforce Vitu visivyowezekana, Ruge alimbeba sana huyu Kusaga

Kipindi kile alijipendekeza akawaamlisha vijana wapige Nyimbo za Diamond, Mameneja wake wakamshushua, Bado anangangania tu aache Upimbi na Kujipendekeza kwa Diamond,.

The Mnyama Mkali ...
 
Ukitaka kuimiliki kampuni, miliki majority shares, Hauwezi ukamtoa mtu mwenye share nyingi kwenye umiliki wa kampuni! ulijiuliza kwa nini serikali ilikomaa Mo asivuke 51% ya hisa simba? simply angevuka hiyo % timu yote ingekuwa mfukoni kwake.
Mkuu mbona unabisha facts so unakataa diamond hana hati miliki ya wasafi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom