Very trueYani mmiliki wa Kituo cha habari A na B ana enda kuulizwa maswali kuhusu kituo A huko kituo B...
Wakati huo huo mmiliki huyo huyo ndiye mmiliki wakundi lililo mwandikia barua... Ana jaribu kupuuza au wana jaribu kucheza na akili za wambea wa mjini...
Wambea wameshupaaaaa... Hawaelewi nini kina endelea wanashusha shutuma...
Mwisho was siku A na B, Mmiliki na Kundi wameshinda, nyasi zina baki kuumia
Sasa hapa unamuuliza nani? Kama mtangazaji Mwenyewe hakumuuliza Kusaga hapo ndipo swali lako tunaliona ni la Kitoto..Swali la kitoto huku unakosa majibu , wewe ndio mtoto swali limekuzidi sana , Kwanini waliamua wasipige nyimbo za wasafi ? hili swali lazima lijibiwe ili tujue ukweli
Lengo la swali nikukuonyesha kuwa mameneja wa wasafi walikuwa right kuuliza " Kwanini nyimbo za wasanii wao zilikuwa azipigwi clouds" na bahati mbaya Kusaga kakimbia swali , hivyo ukweli unabaki pale Clouds ndio tatizo la ugomvi huu OVERSasa hapa unamuuliza nani? Kama mtangazaji Mwenyewe hakumuuliza Kusaga hapo ndipo swali lako tunaliona ni la Kitoto..
Kila anaecoment unamuuliza swali hilo hilo Ujioni kama una utoto ndani yake?
Hilo swali halimuhusu Kusaga bali linamuhusu mkurugenzi wa vipindi,Kusaga ajajibu swali unapeleka tuhuma kwa mameneja , " Kipi kiliwafanya wasipige nyimbo hizo kabla ? hapa tunahitaji majibu
Muendeshaji wa vipindi ni nani ? acha kudanganya watu hili ni jambo walilokubaliana management nzima ya CMG kuwa hakuna kupiga nyimbo za wasafi , leo ukipiga lazima uulizwe sababu ipi uliitumia mwanzo na sababu ipi umeitumia sasa , huwezi kumtenga Kusaga na management ya CMG huo ni uongoHilo swali halimuhusu linamuhusu muendeshaji wa vipindi,
Kusaga kama mmiliki alivyogundua nyimbo za WCB hazipigwi yeye akatoa maelekezo nyimbo zipigwe sasa kama wcb wanataka barua ya majibu kama majibu ya posa wakati radio ni yake ndiyo amewaachia hapo waendelee kusubiri majibu na kwa maelezo hayo ya Kusaga ni wazi hana muda wa kujibu hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamtenganisha vip Kusaga na Muendesha vipindi wakati wote ni sehemu ya Management ya CMG ?aache kujisafisha kama hawezi kutoa majibu ata wasafi wana manegement yao nao wanamisimamo yao ,
Kijana!, wapiganie wazazi wako na wadogo zako pia. Wanahitaji huduma bora kutoka kwako.Huyo ndio anawahenyesha Clouds mpaka Boss Kusaga anakwepa maswali anatafuta huruma ya RAIA, nakwambia DIamond ni JESHI lile angalia Clouds wanavyopata tabu
Vp kuhusu wasanii wengine kama 20%,jide,dudubaya nao walukataa nyimbo zao zisipigwe clouds? Hebu weka pembeni roho ya chuki na wivu halafu tumia walau dakika mbili tu uvute kumbukumbu kuhusu clouds na kasumba zao.je ni wcb ndio waliokataa nyimbo zao kupigwa clouds toka awali au ni clouds ndio walioanza kutopiga nyimbo za wasanii wa wcb?Yaan haters mnashida sana.Nilishawahi kusema hapa huyo Diamond tatizo lipo kwa mameneja wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usinifundishe maisha mdogo wangu , huruma hii unatakiwa uwaonee familia yako wanaokutegemea huko kwenu , hapa JF lazima pumba na mchele ziwekwe wazi hakuna janja janja hapaKijana!, wapiganie wazazi wako na wadogo zako pia. Wanahitaji huduma bora kutoka kwako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti hana hits songs, embu nitajie msaani wako mwenye maajabu kama haya..Utasubili mpaka kinyeo chako kitajaa vinyweleo, kwa huyu msanii ambae hana hit song kwa mwaka mzima, amebaki kutoa Remex ya nyimbo za watu,.
Umejuaje kama ruge? Una uhakika enzi za ruge kusaga alikuwa hajui chochote juu ya uendeshaji vipindi pale clouds?Hili swali anaetakiwa kulijibu hayupo Ambae ni Ruge,.
Umeamua kuwajibia eti!?Huenda rumors kutoka wcb ndo zilisabanisha wakaacha kucheza nyimbo hizo na baadae wakabaini huenda uliwa uongo .pridictions lakini
Sent using Jamii Forums mobile app