Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Utaniombea tu.nichukue hatuanzi gani wakati ni Jambo liko nje ya uwezo wangu dearHatukuombei.
Tafakari, chukua hatua.
Asante mwayaPole Miss
Tafuta mume mwenye akili timamu ukuongoze katika hilo na mengine mengi unayoshindwa.Utaniombea tu.nichukue hatuanzi gani wakati ni Jambo liko nje ya uwezo wangu dear
pole toto!Hivi ulishawai kukutokea unakuta Una huruma flani ukiwa nacho Una support wengine .ila siku wewe ukikwama hakuna WA kukusaidia?
Ila ya Mungu mengi unapita kwenye hiyo shida ukipata tena bado unasaidia wala hukomi?
Mungu anifanyie Tu wepesi mwenzenu niombeeni jamani
Kuna mtu nilishawahi kumsikia akisema. "If greed yo are not born with them, yo cannot" ila nahisi kuna ukweli.Hivi ulishawai kukutokea unakuta Una huruma flani ukiwa nacho Una support wengine .ila siku wewe ukikwama hakuna WA kukusaidia?
Ila ya Mungu mengi unapita kwenye hiyo shida ukipata tena bado unasaidia wala hukomi?
Mungu anifanyie Tu wepesi mwenzenu niombeeni jamani
Uwe wewe basiTafuta mume mwenye akili timamu ukuongoze katika hilo na mengine mengi unayoshindwa.
Asante kipenzi changupole toto!
Sifanyi ili nilipwe mkuu .na ndo maana sikomiUkitenda huku unatarajia kulipwa utaumia sana ndg fanya kisha hesabu umepoteza imeisha. Japo kuna stuation huwa inakuja unapopitia magumu ya aina hiyo asee
Hebu andika Kiswahili mkuuKuna mtu nilishawahi kumsikia akisema. "If greed yo are not born with them, yo cannot" ila nahisi kuna ukweli.
Ahsante pia mke wangu!Asante kipenzi changu
Jifunze kuwa na roho mbaya kipenzi,Narudia tena jifunze 🤨Hivi ulishawai kukutokea unakuta Una huruma flani ukiwa nacho Una support wengine .ila siku wewe ukikwama hakuna WA kukusaidia?
Ila ya Mungu mengi unapita kwenye hiyo shida ukipata tena bado unasaidia wala hukomi?
Mungu anifanyie Tu wepesi mwenzenu niombeeni jamani
Sio kwamba unatoa ili baadae usaidiwe ila inatokea nawe umekwama na unajua katı ya wale niliowasaidia kuna fulani au wote wanaweza kunisaidia kutatua shida yangu kama si yote ila kwa kiasi fulani.Ukitoa msaada afu ukasubiri kusaidiwa, hapo tayari ushafeli.
Utapata sonona Bure,
Kama mbwai iwe mbwai,
Kila mmoja aubebe msalaba wake.