Kusaidia watu wasiokusaidia

Kusaidia watu wasiokusaidia

Hivi ulishawai kukutokea unakuta Una huruma flani ukiwa nacho Una support wengine .ila siku wewe ukikwama hakuna WA kukusaidia?
Ila ya Mungu mengi unapita kwenye hiyo shida ukipata tena bado unasaidia wala hukomi?
Mungu anifanyie Tu wepesi mwenzenu niombeeni jamani
Tenda wema uende zako usingoje shukurani! Kamsemo kagumu sana haka maana nawakumbuka wale wakoma kumi walioponywa na Bwana Yesu na mmoja kurudi kushukuru na Bwana Yesu akauliza wako wapi wale tisa?
 
Binadamu washakua WA hovyo Sana,

Juzi TU hapa jf Kuna member alilia anatafuta ajira angalau apeleke mkono kinywani.

Member mwenzetu kajitolea kumuajiri kwny mpesa, matokeo yake kamuibia Hadi mtaji na katokomea.

Hivi ubinadamu uko wapi?

Hivi Moyo WA kusaidia siku nyingn utakuepo?

Kiukweli Kuna vitu ukiwaza, Ni Bora TU uishi kivyako vyako, ukibanwa utapambana kivyako.
 
Binadamu washakua WA hovyo Sana,

Juzi TU hapa jf Kuna member alilia anatafuta ajira angalau apeleke mkono kinywani.

Member mwenzetu kajitolea kumuajiri kwny mpesa, matokeo yake kamuibia Hadi mtaji na katokomea.

Hivi ubinadamu uko wapi?

Hivi Moyo WA kusaidia siku nyingn utakuepo?

Kiukweli Kuna vitu ukiwaza, Ni Bora TU uishi kivyako vyako, ukibanwa utapambana kivyako.
Tena hao wa shida humu nasema watu wasisubutu wengi wao hawana shukrani na ni matapeli,Nakumbuka niliwahi msaidia kijana mmoja humu baadhi ya vitu vya kuanzia maisha maana alifika dar akidai hana uhusiano mzuri na ndugu zake matokeo yake hata ile asante alitokomea akajua nitamdai 😁😁
 
Sio kwamba unatoa ili baadae usaidiwe ila inatokea nawe umekwama na unajua katı ya wale niliowasaidia kuna fulani au wote wanaweza kunisaidia kutatua shida yangu kama si yote ila kwa kiasi fulani.
Dada angu, jitahidi usiwe mwema Sana, binadamu hawana kumbukumbu.
 
Sifanyi ili nilipwe mkuu .na ndo maana sikomi

The fact kwamba umefungua uzi "kulalamika", inaonyesha labda kuna jinsi ulikua unategemea kwamba hao unaowasaidia na wewe ukipata shida wakusaidie. Huwa haiendi hivyo.

Uhalisia wa hili jambo ni kwamba, unapokua na tabia ya kusaidia watu, hao watu unaowasaidia hua wanajenga taswira kwamba wewe ni jukumu lako kuwasaidia. Hii husababisha wao kuona kama siku zote msaada unatakiwa utoke kwako kwenda kwao, na sio kinyume chake! Ndio maana wewe ukiwa na shida wao hawaoni kama wana haja ya kukusaidia manake wewe wamekuweka kwamba ndio unatakiwa uwasaidie. Na hata ikitokea wakakusaidia au kukufanyia kitu chochote, watadai uwalipe japokua wewe hua unawasaidia bure kabisa! Na endapo itatokea ukashindwa kuwasaidia, hawasiti kuanza kulalamika.
 
Tena hao wa shida humu nasema watu wasisubutu wengi wao hawana shukrani na ni matapeli,Nakumbuka niliwahi msaidia kijana mmoja humu baadhi ya vitu vya kuanzia maisha maana alifika dar akidai hana uhusiano mzuri na ndugu zake matokeo yake hata ile asante alitokomea akajua nitamdai 😁😁
Vilio Ni vingi Sana dada angu hasa Kwa waliojitolea kusaidia watu humu,

Mwingine Ni Binti kabisa,kadai maisha magumu apate ata Kazi ambayo mshahara Ni chakula.

Kapelekwa kimara Suka akafanye Kazi za ndani, siku ya pili maboss wake wamemwachia nyumba wameenda kazini, Binti kaita kenta kafagia Kila kitu ndani.

Majirani wakajua wanahama, kumbe Binti kapora asset zote za ndani na katokomea nazo.

Na walivyo WA hovyo, wakishapiga tukio humu na kelele zikawa nyingi, hizo I'd zinatelekezwa mazima.
 
Vilio Ni vingi Sana dada angu hasa Kwa waliojitolea kusaidia watu humu,

Mwingine Ni Binti kabisa,kadai maisha magumu apate ata Kazi ambayo mshahara Ni chakula.

Kapelekwa kimara Suka akafanye Kazi za ndani, siku ya pili maboss wake wamemwachia nyumba wameenda kazini, Binti kaita kenta kafagia Kila kitu ndani.

Majirani wakajua wanahama, kumbe Binti kapora asset zote za ndani na katokomea nazo.

Na walivyo WA hovyo, wakishapiga tukio humu na kelele zikawa nyingi, hizo I'd zinatelekezwa mazima.
Mimi humu sitajaribu tena kusaidia mtu nashukuru yule kijana alilala dukani kwangu week ila kutokana na mazingira ya pale ya ulinzi asingeweza toka na kitu chochote baadae ndipo nilipo msaidia vitu vya kuanzia maisha huko kimara.Na I’d yake kaitelekeza 😁😁😁
 
Vilio Ni vingi Sana dada angu hasa Kwa waliojitolea kusaidia watu humu,

Mwingine Ni Binti kabisa,kadai maisha magumu apate ata Kazi ambayo mshahara Ni chakula.

Kapelekwa kimara Suka akafanye Kazi za ndani, siku ya pili maboss wake wamemwachia nyumba wameenda kazini, Binti kaita kenta kafagia Kila kitu ndani.

Majirani wakajua wanahama, kumbe Binti kapora asset zote za ndani na katokomea nazo.

Na walivyo WA hovyo, wakishapiga tukio humu na kelele zikawa nyingi, hizo I'd zinatelekezwa mazima.
Daah mtu wa huku jf ?? Aisee kuna mazito humu eeh
 
Sio kwamba unatoa ili baadae usaidiwe ila inatokea nawe umekwama na unajua katı ya wale niliowasaidia kuna fulani au wote wanaweza kunisaidia kutatua shida yangu kama si yote ila kwa kiasi fulani.
Kweli yaani .hakuna anaetaka kulipwa .ila binadamu kusitiriana jamani
 
Hivi ulishawai kukutokea unakuta Una huruma flani ukiwa nacho Una support wengine .ila siku wewe ukikwama hakuna WA kukusaidia?
Ila ya Mungu mengi unapita kwenye hiyo shida ukipata tena bado unasaidia wala hukomi?
Mungu anifanyie Tu wepesi mwenzenu niombeeni jamani
Umewahi kuisikia Hospitali ya Mirembe Dodoma?
 
Back
Top Bottom