Kusaidia watu wasiokusaidia

Kusaidia watu wasiokusaidia

Kuna rafik angu mmoja aliniambia jitahidi ukitenda wema usahau so tenda wema ambao unaweza kuusahau.

Na atakae kusaidia mara nyingi sio uliemsaidia, na huenda unapata tena kwa kua Mungu ndie anaekulipa kwa unachotenda na sio binadam
 
Binadamu washakua WA hovyo Sana,

Juzi TU hapa jf Kuna member alilia anatafuta ajira angalau apeleke mkono kinywani.

Member mwenzetu kajitolea kumuajiri kwny mpesa, matokeo yake kamuibia Hadi mtaji na katokomea.

Hivi ubinadamu uko wapi?

Hivi Moyo WA kusaidia siku nyingn utakuepo?

Kiukweli Kuna vitu ukiwaza, Ni Bora TU uishi kivyako vyako, ukibanwa utapambana kivyako.
Hatari
 
Hivi ulishawai kukutokea unakuta Una huruma flani ukiwa nacho Una support wengine .ila siku wewe ukikwama hakuna WA kukusaidia?
Ila ya Mungu mengi unapita kwenye hiyo shida ukipata tena bado unasaidia wala hukomi?
Mungu anifanyie Tu wepesi mwenzenu niombeeni jamani
Nimefurahi sana kukuona tena hapa aiseeee, Miss Natafuta.
 
Ukipata nafasi ya kumsaidia mtu na uwezo unao hakikisha unamsaidia.

Na hakikisha unasaidia mtu ambaye hana cha kukulipa.

Juzi nimetoa elfu 10K kumsaidia Kijana kulipia mambo ya mtihani wa form four Ila jana nimepata dili la mil 14 ambalo faida yake ni million nane


Mimi naweza kushindwa kumsaidia ndugu Ila watu lazima niwasaidie na sihitaji wanilipe chochote.

Kuhusu Mimi kukwama , Mimi huwa nina marafiki ambao tayari kwao pesa sio tatizo so nikihitaji hela za kukopa naenda naomba Ila Mimi nakopa bank Sana Sana ili niendeshe Biashara.

Hivyo Mkuu Usiogope kusaidia Ila ujue kanuni msaidie msaidie ambaye hana uwezo wa kukusaidia .

Usimpe MTU msaada ili uje umuombe kanuni zinakataa. Wala baraka hazitokuja.

Kuwa mtoaji utapata Sana na usitoe unanungunika.
 
Kuna demu nilikuwa naye alikuwa mama huruma nikamfunza ubandidu sasahv kaiva ni bandidu sio poa hadi mie akaanza kunifanyia ubandidu.
 
Ukipata nafasi ya kumsaidia mtu na uwezo unao hakikisha unamsaidia.

Na hakikisha unasaidia mtu ambaye hana cha kukulipa.

Juzi nimetoa elfu 10K kumsaidia Kijana kulipia mambo ya mtihani wa form four Ila jana nimepata dili la mil 14 ambalo faida yake ni million nane


Mimi naweza kushindwa kumsaidia ndugu Ila watu lazima niwasaidie na sihitaji wanilipe chochote.

Kuhusu Mimi kukwama , Mimi huwa nina marafiki ambao tayari kwao pesa sio tatizo so nikihitaji hela za kukopa naenda naomba Ila Mimi nakopa bank Sana Sana ili niendeshe Biashara.

Hivyo Mkuu Usiogope kusaidia Ila ujue kanuni msaidie msaidie ambaye hana uwezo wa kukusaidia .

Usimpe MTU msaada ili uje umuombe kanuni zinakataa. Wala baraka hazitokuja.

Kuwa mtoaji utapata Sana na usitoe unanungunika.
Safi sana kaka.....ila mie sahv kwenye sarafu zangu sicheki na wowote.
 
Tenda wema nenda zako acha kusubir malipo hayo ndo yanakufanya uumie
 
Huwa natoa tu na kusahau, hata ukija keshokutwa tena nishakusahau kama juzi nilikusaidia.
 
Huruma inageuka dhambi,mpaka hapo umeshafanya dhambi ya kunun'gunika
 
Back
Top Bottom