Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,052
HAYA BWANA!......dunia ina mizungu(GOD FORBID AGAIN AND AGAIN)Kuuguliwa ndo mtu afungwe nepi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAYA BWANA!......dunia ina mizungu(GOD FORBID AGAIN AND AGAIN)Kuuguliwa ndo mtu afungwe nepi?
Hahahaha leo tunaanzia JJ kwa ankal pale tunapiga za nyuki tu tukipata manundu break ya kwanza Chawote kwa Aswile.
Naona unatumia nguvu za hoja!! we umeongelea upande wako na sie tumeongelea upande wetu kila mtu ana msimamo wake kwenye familia so ndo maana hapa hatuwezi elewana!Kimey,
Maswali mengine yanaleta mashaka kwamba huenda hizo nguo unazoongelea huzijui vizuri zaidi ya kuona zinavuliwa na kuvaliwa wakati wa kufanya vitendo visivyo halali. Vikishakuwa halali utajua. Siyo jinsi ya kuzivua na kuzivaa tu, bali hata ufuaji wake na utunzaji kwenye drawers zao. Vingenevyo inawezekana hapa watu wengine wanaongelea GFs and BFs wakati mjadala unahusu wenye ndoa.
Kuuguliwa ndo mtu afungwe nepi?
manyuki tena inakuwaje Binamu maralia inapenda maralia inashuka?
Geof tayari kundini🙂ngumu-kumesa!...lakini inawezekana tu.mke wangu akiugua miezi miwili kitandani?HATA NEPI NITAM-BADILISHA TU
MAGONJWA KIBAO NIMEONA!ukitaka kuifeel hii chapa raba mpaka muhimbili au PERAMIHO-songea...you will be shocked bana!Tumbo likifuluga bana ile kitu haina break zote zinakuwa hazishiki suruhisho ni NEPI tu au pampers
lakini mwisho wa siku WANAWAKE NDIO WAHANGA WA MATATIZO YOTE,MAANAKE WAO MARA NYINGI HUWA WANAKUWA WA-MWISHO KUFA.
tuendelee na sredi bana!Mkuu usinikumbushe machungu![]()
![]()
![]()
Taraaaaatibu umefika, thanks again binamu.tuendelee na sredi bana!
USHAURI WANGU!...HAWA WANAWAKE TUWAHESHIMU TU JAMANI,.tusiweke theories katika maisha ambayo ni dynamic.kuna muda utafika ambao mkeo atakutawaza kabisa(utakuwa huwezi kufanya hivyo)....!na kuna muda ambao mimi kama mume NITAWAJIBIKA VIVYO HIVYO
hehehe!ukirejea posts zangu na kuzisoma kwa makini utagundua niliposimamia tangu mwanzo.SENKSI BANATaraaaaatibu umefika, thanks again binamu.
If walls could talk......
malizia B.........................
si mpaka ukadese😀😀kawaida yangu B simaliziagi haraka haraka ki ivyo...lol
kawaida yangu B simaliziagi haraka haraka ki ivyo...lol
si mpaka ukadese😀😀
si mpaka ukadese😀😀
nakujuaga kwa kuacha vihomuweki wewe.......
hahaaaa wapi??? tukimkamata anadesa anadisco au sapu kwa huruma ya baraza............
kusoma najua!lakini I CAN'T READ BETWEEN THE LINESyaani mi niingie september conference! kha! halafu siku hizi hujui kusoma mpwa ama nini?