utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
Muwe munalipa kamshahara kazuri basi... mchezaji mwenye thamani ya bilioni moja analipwa hela ya rambirambi?Nimeshangazwa sana na wanazi wa Simba kufurahia sana habari za usajili wa kiungo fundi Feisal Salum kwenda Azam. Japo habari hizi bado hazijawa rasmi, ila zimepeleka furaha sana kwa hawa ndugu zetu wa pale kariakoo...
Niwakumbushe tu Azam ni washindani wa Simba kwenye mbio za ubingwa wa ligi kuu ya Nbc kwaio kufurahia mshindani wako kuboresha kikosi chake wakati wewe unakikosi cha kuungaunga ni uzwazwa wa Hali ya juu.
Acha uzwazwa wewe LGBT
Mshahara ni makubaliano ya kimkataba.. wewe hapo boss wako anakulipaje?Muwe munalipa kamshahara kazuri basi... mchezaji mwenye thamani ya bilioni moja analipwa hela ya rambirambi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kumbe mnakubali Yanga ina watu wa kazi....Akienda azam tunachoshangilia ni kwamba Ile migoal ya beauty beauty na nyie atawakanda nayo
Kwaio mkuu unatamani Yanga ife kabisaa??Nasema hivii
Hakuna taarifa nzuri kama kusikia "mwizi wa mkeo kupata ajali ya bodaboda" [emoji23] Hakuna taarifa nzuri kama kusikia "mwizi wa mkeo kupata ajali ya bodaboda" [emoji23]
Feisal ni middle ilo no doubt kama mtampoteza ni uzembe sana ila inaweza ikawatia hasira maboss wenu wafosi deal ya miqsone ili wawaumize simba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kumbe mnakubali Yanga ina watu wa kazi....
Uzuri Azam wanacheza mpira hata wakituzidi hawana baya.Nimeshangazwa sana na wanazi wa Simba kufurahia sana habari za usajili wa kiungo fundi Feisal Salum kwenda Azam. Japo habari hizi bado hazijawa rasmi, ila zimepeleka furaha sana kwa hawa ndugu zetu wa pale kariakoo...
Niwakumbushe tu Azam ni washindani wa Simba kwenye mbio za ubingwa wa ligi kuu ya Nbc kwaio kufurahia mshindani wako kuboresha kikosi chake wakati wewe unakikosi cha kuungaunga ni uzwazwa wa Hali ya juu.
Mateso Yako pale pale.... Kiufupi mwaka jana ilikuwa ni mwanzo wa miaka mingi ya mateso kwenu ...Kifupi ni kwamba FURAHA YANGU NI KUONA UMBWA WA UTOPOLO WANAKOSA RAHA,AMANI,....YAANI MUDA WOTE WAWE NA MISUKOSUKO TU...LIKITOKA HILI LIJE LA MVUA NA MASIKA HAYA INYESHEEEEEEEEEE SIKU 7 MFULULIZO MAFURIKO YAZAMISHE KILE KIJENGO CHAO PALE JANGWANI,
Nadhani haya ni maumivu zaidi[emoji116][emoji116]
Mashabiki wa simba wanashangaza sana! Labda wanafikiri Fei Toto ni kama yule mchezaji wao Clotus Chama. Maana asipokuwepo tu uwanjani, timu inafanya vibaya!Nimeshangazwa sana na wanazi wa Simba kufurahia sana habari za usajili wa kiungo fundi Feisal Salum kwenda Azam. Japo habari hizi bado hazijawa rasmi, ila zimepeleka furaha sana kwa hawa ndugu zetu wa pale kariakoo...
Niwakumbushe tu Azam ni washindani wa Simba kwenye mbio za ubingwa wa ligi kuu ya Nbc kwaio kufurahia mshindani wako kuboresha kikosi chake wakati wewe unakikosi cha kuungaunga ni uzwazwa wa Hali ya juu.