Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
"The family that pray together, lives together." AnonymousUnajuwa hawa ma slay queen wanaovaa chupi mara moja kisha huitupa kwasababu hawawezi kufua, mimi huwa Naona wanaishi maisha feki sana kiasi kwamba ukisha gonga hutamani tena kukanyaga. Leo siwaongelei hawa, nawaongelea wale wenye wapenzi genuine.
Wapenzi mnapo omba kwa pamoja uwezo wa Nguni za Mungu hujidhihirisha kwa haraka sana na Mungu hujibu mapema sana.
Unapomuombea mpenzi wako mnapokuwa mbali, huongeza sana uaminifu na kuimarisha penzi lenu.
Je mpenzi wako huwa anakuombea? Je huwa unamuombea mpenzi wako? Je huwa mnaomba pamoja?
Ni ombi langu kwako uanze kumuombea Baraka kubwa kubwa mpenzi wako, utauona ukuu wa Mungu
Unadhini na unamuombea baraka mzinzi mwenzio, kwa Mungu gani??[emoji1787] Huko mbinguni kutapitwa maana sio kwa bakora zitakazokuwepo
Tangu aniambie kwamba ananiombea niache bia nami nimeanza kumuombea kichaa kimuondoke.Anataka sijui nianze kucheza bao au kunywa kahawa vijiweni?Unajuwa hawa ma slay queen wanaovaa chupi mara moja kisha huitupa kwasababu hawawezi kufua, mimi huwa Naona wanaishi maisha feki sana kiasi kwamba ukisha gonga hutamani tena kukanyaga. Leo siwaongelei hawa, nawaongelea wale wenye wapenzi genuine.
Wapenzi mnapo omba kwa pamoja uwezo wa Nguni za Mungu hujidhihirisha kwa haraka sana na Mungu hujibu mapema sana.
Unapomuombea mpenzi wako mnapokuwa mbali, huongeza sana uaminifu na kuimarisha penzi lenu.
Je mpenzi wako huwa anakuombea? Je huwa unamuombea mpenzi wako? Je huwa mnaomba pamoja?
Ni ombi langu kwako uanze kumuombea Baraka kubwa kubwa mpenzi wako, utauona ukuu wa Mungu
Labda anataka uanze kucheza muziki kushindania t-shirt kwenye promotion za vodaTangu aniambie kwamba ananiombea niache bia nami nimeanza kumuombea kichaa kimuondoke.Anataka sijui nianze kucheza bao au kunywa kahawa vijiweni?
Well said"The family that pray together, lives together." Anonymous
Vv.
Uzinzi gani rafiki?Unadhini na unamuombea baraka mzinzi mwenzio, kwa Mungu gani??[emoji1787] Huko mbinguni kutapitwa maana sio kwa bakora zitakazokuwepo
Ngoja nimfanyie upelelezi.Au anataka niwe mcheza dansi maharusini nikiwa nimevaa zile suruali pana zenye "selebresheni" kibao!?Labda anataka uanze kucheza muziki kushindania t-shirt kwenye promotion za voda
Kazi ya kina Kissendi Nyanda Ntalima Mpandagoya kuwasadikisha watu kuwa Mungu hayupo ila kuna mizimuUmenena kweli.
Japo Dunia inaenda kasi sana, WATU wanazidi kupoteza Masuala ya Mungu.
Ila umenena kweli.
Serebresheni kibao na saspenda kama Steve wa kwenye Family MattersNgoja nimfanyie upelelezi.Au anataka niwe mcheza dansi maharusini nikiwa nimevaa zile suruali pana zenye "selebresheni" kibao!?
MashallahÀsante kwa kutukumbusha. Inabidi nianze kumuombea sasa
Unakuwa kama MC Hummer anashuka ngazi za ndege!
Anataka uanze kunywa wineTangu aniambie kwamba ananiombea niache bia nami nimeanza kumuombea kichaa kimuondoke.Anataka sijui nianze kucheza bao au kunywa kahawa vijiweni?
Asante sana kwa kumkumbusha umuhimu wa kusoma kwa ufahamu na si kusoma kwa hisiaWanaoongelewa ni wale wenye wapenzi genuine...sijui kama hilo neno umeliona
Wine?Anyway,ngoja nione kama maombi yake yamejibiwa.Anataka uanze kunywa wine
Wee jamaa weee unajua kunichekesha. Suruali za Mc Hammer zilikuwa na miguu mitatuUnakuwa kama MC Hummer anashuka ngazi za ndege!