Kusali pamoja huongeza upendo, kumuombea mpenzi wako huongeza uaminifu

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Unajuwa hawa ma slay queen wanaovaa chupi mara moja kisha huitupa kwasababu hawawezi kufua, mimi huwa Naona wanaishi maisha feki sana kiasi kwamba ukisha gonga hutamani tena kukanyaga. Leo siwaongelei hawa, nawaongelea wale wenye wapenzi genuine.

Wapenzi mnapo omba kwa pamoja uwezo wa Nguni za Mungu hujidhihirisha kwa haraka sana na Mungu hujibu mapema sana.

Unapomuombea mpenzi wako mnapokuwa mbali, huongeza sana uaminifu na kuimarisha penzi lenu.

Je mpenzi wako huwa anakuombea? Je huwa unamuombea mpenzi wako? Je huwa mnaomba pamoja?

Ni ombi langu kwako uanze kumuombea Baraka kubwa kubwa mpenzi wako, utauona ukuu wa Mungu
 
"The family that pray together, lives together." Anonymous

Vv.
 
Tangu aniambie kwamba ananiombea niache bia nami nimeanza kumuombea kichaa kimuondoke.Anataka sijui nianze kucheza bao au kunywa kahawa vijiweni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…