Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #21
Futu tena hadi simu yako igeuka kuwa futariDuuu, hadi nimekosa la kusema, kila nikiandika nafuta.
[emoji120][emoji120][emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Futu tena hadi simu yako igeuka kuwa futariDuuu, hadi nimekosa la kusema, kila nikiandika nafuta.
[emoji120][emoji120][emoji120]
,[emoji134][emoji134][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Futu tena hadi simu yako igeuka kuwa futari
Kuna movie moja Jimmy Carry akawa mungu dahMungu ana kazi , apokee maombi ya wanandoa, wazinzi na waesharati, majambazi hata wafiwa na yatima.
Kwa tuliozoea kuvaa hizo pigo tutaweza kweli kutupia tule tu-suruali twembamba na tunabana kama umefunga kibwebwe?😂😂😂Wee jamaa weee unajua kunichekesha. Suruali za Mc Hammer zilikuwa na miguu mitatu
View attachment 2073183
Ukivaa hivi mkeo atafurahi sana maana utakuwa umemfunika kabisa Koffi Olomide
Wife aliniletea suti, eti kashona kwa Sheria Ngowi, kasuti kanabana halafu ni kanjiwa kama suruali ya mujahidina, nikamuuliza hivi ulichukua vipimo vyangu au vya mtoto wetuKwa tuliozoea kuvaa hizo pigo tutaweza kweli kutupia tule tu-suruali twembamba na tunabana kama umefunga kibwebwe?😂😂😂
Alikushoneshea "don't touch my ugoko"!?Hizo fasheni zimenishinda.Zile za MC Hummer nazipunguza kidogo halafu nadunda nazo.Maombi yaendelee!Wife aliniletea suti, eti kashona kwa Sheria Ngowi, kasuti kanabana halafu ni kanjiwa kama suruali ya mujahidina, nikamuuliza hivi ulichukua vipimo vyangu au vya mtoto wetu
Kama ulivaa fashion za MC Hammer hakikisha umepata booster vya Covid 19.Alikushoneshea "don't touch my ugoko"!?Hizo fasheni zimenishinda.Zile za MC Hummer nazipunguza kidogo halafu nadunda nazo.Maombi yaendelee!
Amen to that,boss!Kama ulivaa fashion za MC Hammer hakikisha umepata booster vya Covid 19.
Haha hahah hahahKama ulivaa fashion za MC Hammer hakikisha umepata booster vya Covid 19.
Bujibuji Simba Nyanaume umeibiwa Id au? si kwa mipoint hii.Unajuwa hawa ma slay queen wanaovaa chupi mara moja kisha huitupa kwasababu hawawezi kufua, mimi huwa Naona wanaishi maisha feki sana kiasi kwamba ukisha gonga hutamani tena kukanyaga. Leo siwaongelei hawa, nawaongelea wale wenye wapenzi genuine.
Wapenzi mnapo omba kwa pamoja uwezo wa Nguni za Mungu hujidhihirisha kwa haraka sana na Mungu hujibu mapema sana.
Unapomuombea mpenzi wako mnapokuwa mbali, huongeza sana uaminifu na kuimarisha penzi lenu.
Je mpenzi wako huwa anakuombea? Je huwa unamuombea mpenzi wako? Je huwa mnaomba pamoja?
Ni ombi langu kwako uanze kumuombea Baraka kubwa kubwa mpenzi wako, utauona ukuu wa Mungu
Haha hahah haha labda Bujibuji Simba Nyanaume kasanda gemuBujibuji Simba Nyanaume umeibiwa Id au? si kwa mipoint hii.
AmenUnajuwa hawa ma slay queen wanaovaa chupi mara moja kisha huitupa kwasababu hawawezi kufua, mimi huwa Naona wanaishi maisha feki sana kiasi kwamba ukisha gonga hutamani tena kukanyaga. Leo siwaongelei hawa, nawaongelea wale wenye wapenzi genuine.
Wapenzi mnapo omba kwa pamoja uwezo wa Nguni za Mungu hujidhihirisha kwa haraka sana na Mungu hujibu mapema sana.
Unapomuombea mpenzi wako mnapokuwa mbali, huongeza sana uaminifu na kuimarisha penzi lenu.
Je mpenzi wako huwa anakuombea? Je huwa unamuombea mpenzi wako? Je huwa mnaomba pamoja?
Ni ombi langu kwako uanze kumuombea Baraka kubwa kubwa mpenzi wako, utauona ukuu wa Mungu