Kusali pamoja huongeza upendo, kumuombea mpenzi wako huongeza uaminifu

Kusali pamoja huongeza upendo, kumuombea mpenzi wako huongeza uaminifu

Wee jamaa weee unajua kunichekesha. Suruali za Mc Hammer zilikuwa na miguu mitatu

View attachment 2073183
Ukivaa hivi mkeo atafurahi sana maana utakuwa umemfunika kabisa Koffi Olomide
Kwa tuliozoea kuvaa hizo pigo tutaweza kweli kutupia tule tu-suruali twembamba na tunabana kama umefunga kibwebwe?😂😂😂
 
Kwa tuliozoea kuvaa hizo pigo tutaweza kweli kutupia tule tu-suruali twembamba na tunabana kama umefunga kibwebwe?😂😂😂
Wife aliniletea suti, eti kashona kwa Sheria Ngowi, kasuti kanabana halafu ni kanjiwa kama suruali ya mujahidina, nikamuuliza hivi ulichukua vipimo vyangu au vya mtoto wetu
 
Wife aliniletea suti, eti kashona kwa Sheria Ngowi, kasuti kanabana halafu ni kanjiwa kama suruali ya mujahidina, nikamuuliza hivi ulichukua vipimo vyangu au vya mtoto wetu
Alikushoneshea "don't touch my ugoko"!?Hizo fasheni zimenishinda.Zile za MC Hummer nazipunguza kidogo halafu nadunda nazo.Maombi yaendelee!
 
Unajuwa hawa ma slay queen wanaovaa chupi mara moja kisha huitupa kwasababu hawawezi kufua, mimi huwa Naona wanaishi maisha feki sana kiasi kwamba ukisha gonga hutamani tena kukanyaga. Leo siwaongelei hawa, nawaongelea wale wenye wapenzi genuine.

Wapenzi mnapo omba kwa pamoja uwezo wa Nguni za Mungu hujidhihirisha kwa haraka sana na Mungu hujibu mapema sana.

Unapomuombea mpenzi wako mnapokuwa mbali, huongeza sana uaminifu na kuimarisha penzi lenu.

Je mpenzi wako huwa anakuombea? Je huwa unamuombea mpenzi wako? Je huwa mnaomba pamoja?

Ni ombi langu kwako uanze kumuombea Baraka kubwa kubwa mpenzi wako, utauona ukuu wa Mungu
Bujibuji Simba Nyanaume umeibiwa Id au? si kwa mipoint hii.
 
Unajuwa hawa ma slay queen wanaovaa chupi mara moja kisha huitupa kwasababu hawawezi kufua, mimi huwa Naona wanaishi maisha feki sana kiasi kwamba ukisha gonga hutamani tena kukanyaga. Leo siwaongelei hawa, nawaongelea wale wenye wapenzi genuine.

Wapenzi mnapo omba kwa pamoja uwezo wa Nguni za Mungu hujidhihirisha kwa haraka sana na Mungu hujibu mapema sana.

Unapomuombea mpenzi wako mnapokuwa mbali, huongeza sana uaminifu na kuimarisha penzi lenu.

Je mpenzi wako huwa anakuombea? Je huwa unamuombea mpenzi wako? Je huwa mnaomba pamoja?

Ni ombi langu kwako uanze kumuombea Baraka kubwa kubwa mpenzi wako, utauona ukuu wa Mungu
Amen

Asanteee kwa neno zuri.
 
Back
Top Bottom