Kusema hakuna mtu wa kuvaa viatu vya Urais baada ya Dkt. Magufuli ni kukosa akili

Kusema hakuna mtu wa kuvaa viatu vya Urais baada ya Dkt. Magufuli ni kukosa akili

Mosi kabisa niwaambie ukweli kwamba mimi sio CCM na sitokua CCM maana watu wanaweza sema nampromote mkuu labda mimi ni ccm La hasha!

Mimi siipendi ccm ila namkubali jpm
Jpm ni kiongozi mzalendo kama alivyokua baba wa taifa, na ameweza kutekeleza mengi sana na kwa muda mfupi sana

Africa changamoto kubwa iliyonayo ni kukosa viongozi wazalendo na wanaopenda nchi zao ili ya kweli lakini Jpm ni mzalendo na anaweza kusimamia misingi ya utaifa na kulinda rasilimali zetu kwa nguvu zote

Nakumbuka awamu iliyopita jinsi madini na mikataba ilivyokua inasainiwa hovyo hovyo na kukawa na skendo hadi za kuuza twiga nje,mikataba mibovu ya madini ya asilimia 99 mwekezaji daah
Sidhani kama Tanzania itakaa ipate viongozi wazalendo kama Nyerere na Jpm ni wazalendo pure


Ameweza kutenda mengi sana miradi mikubwa na kila siku nawaambia watu kwamba nchi yoyote ile ili ifikie mafanikio na wakati wa kutekeleza maamuzi magumu lazima muumie kidogo ni ile mpitie kwenye kipindi cha mpito Transitional stage hata walter Rostow mwanauchumi na theory yake hii yenye kipengele hicho imeweza kuokoa na nchi nyingi zimeiga na wako mbali

Kwa karne hii utapata wapi kiongozi anayeweza kusimama na kulinda rasilimali za nchi kizalendo hivi?Haya magumu ya sasa ni ya muda tu pindi hii miradi ikiisha na hichi kipindi cha mpito kikipita hapo ndo mtaanza kuona matunda ya hii miradi ukweli nawaambia

Hiki ni kipindi cha mpito tu mateso ya muda baada ya miaka kadhaa hii miradi ikianza kuleta faida na tija mtashuhudia nchi itakavyosonga mbele kwa kasi ya 5g

Viongozi aina ya magufuli ni wachache sana na wanapatkana kwa nadra sana tujivunie huyu mtu

Lakini pia nashauri awaache wapinzani tu wafanye yao,wanasema kelele za chura hazimnyimi tembo kunywa maji,ruhusu ukosolewe ruhusu wafanye mikutano,waruhusu na waachwe na wale wasiumizwe waachwe tu maana ni haki yao kikatiba kukosolewa sio dhambi kukosolewa hakuuwi wala hakujeruhuwi wala hapachomi mwili bali hujenga na kuimarisha maana huwa naumia sana nikiona wanayofanyiwa wapinzani najisikia hasira na uchungu mwingi sana inakua kama vile wanatritiwa kama vile wao sio binadam hii sio fair hii area irekebishwe haki huinua taifa

Kwa kumalizia tu kwa kweli nchi ili iweze kufika mbali inahitaji kama mmepata
Kiongozi mzalendo na mleta maendeleo akae angalau miaka 20 asimamie na kukijenga hicho anachokifanya maana mfano jpm akiondoka 2025 atakuja mwingine na yake haya 2030 atakuja mwingine na yake yaani jenga bomoa jenga bomoa na ndo maana Africa haisongi mbele mauchaguzi kila siku na kila mtu anakuja na ajenda yake anaharibu ya yule aliyetangulia haiendelezwi

Sasa kwangu mimi nashauri katiba ingebadilishwa tu jpm atawale hata miaka 30 au hata 20 halat wabunge tuendelee kuchagua kama kawaida jpm ni mtu wa kipekee sana ukimuwaza hata katika ulimwengu wa roho na maombi ni mtu muhimu sana ni mtu ambaye hawezi akadanganyika katu alisaliti taifa lake ni mzalendo wa kweli anastahili atawale miaka hata 30 au hata milele
Mchukue akatawale familia yako na mume wako
 
Mosi kabisa niwaambie ukweli kwamba mimi sio CCM na sitokua CCM maana watu wanaweza sema nampromote mkuu labda mimi ni ccm La hasha!

Mimi siipendi ccm ila namkubali jpm
Jpm ni kiongozi mzalendo kama alivyokua baba wa taifa, na ameweza kutekeleza mengi sana na kwa muda mfupi sana

Africa changamoto kubwa iliyonayo ni kukosa viongozi wazalendo na wanaopenda nchi zao ili ya kweli lakini Jpm ni mzalendo na anaweza kusimamia misingi ya utaifa na kulinda rasilimali zetu kwa nguvu zote

Nakumbuka awamu iliyopita jinsi madini na mikataba ilivyokua inasainiwa hovyo hovyo na kukawa na skendo hadi za kuuza twiga nje,mikataba mibovu ya madini ya asilimia 99 mwekezaji daah
Sidhani kama Tanzania itakaa ipate viongozi wazalendo kama Nyerere na Jpm ni wazalendo pure


Ameweza kutenda mengi sana miradi mikubwa na kila siku nawaambia watu kwamba nchi yoyote ile ili ifikie mafanikio na wakati wa kutekeleza maamuzi magumu lazima muumie kidogo ni ile mpitie kwenye kipindi cha mpito Transitional stage hata walter Rostow mwanauchumi na theory yake hii yenye kipengele hicho imeweza kuokoa na nchi nyingi zimeiga na wako mbali

Kwa karne hii utapata wapi kiongozi anayeweza kusimama na kulinda rasilimali za nchi kizalendo hivi?Haya magumu ya sasa ni ya muda tu pindi hii miradi ikiisha na hichi kipindi cha mpito kikipita hapo ndo mtaanza kuona matunda ya hii miradi ukweli nawaambia

Hiki ni kipindi cha mpito tu mateso ya muda baada ya miaka kadhaa hii miradi ikianza kuleta faida na tija mtashuhudia nchi itakavyosonga mbele kwa kasi ya 5g

Viongozi aina ya magufuli ni wachache sana na wanapatkana kwa nadra sana tujivunie huyu mtu

Lakini pia nashauri awaache wapinzani tu wafanye yao,wanasema kelele za chura hazimnyimi tembo kunywa maji,ruhusu ukosolewe ruhusu wafanye mikutano,waruhusu na waachwe na wale wasiumizwe waachwe tu maana ni haki yao kikatiba kukosolewa sio dhambi kukosolewa hakuuwi wala hakujeruhuwi wala hapachomi mwili bali hujenga na kuimarisha maana huwa naumia sana nikiona wanayofanyiwa wapinzani najisikia hasira na uchungu mwingi sana inakua kama vile wanatritiwa kama vile wao sio binadam hii sio fair hii area irekebishwe haki huinua taifa

Kwa kumalizia tu kwa kweli nchi ili iweze kufika mbali inahitaji kama mmepata
Kiongozi mzalendo na mleta maendeleo akae angalau miaka 20 asimamie na kukijenga hicho anachokifanya maana mfano jpm akiondoka 2025 atakuja mwingine na yake haya 2030 atakuja mwingine na yake yaani jenga bomoa jenga bomoa na ndo maana Africa haisongi mbele mauchaguzi kila siku na kila mtu anakuja na ajenda yake anaharibu ya yule aliyetangulia haiendelezwi

Sasa kwangu mimi nashauri katiba ingebadilishwa tu jpm atawale hata miaka 30 au hata 20 halat wabunge tuendelee kuchagua kama kawaida jpm ni mtu wa kipekee sana ukimuwaza hata katika ulimwengu wa roho na maombi ni mtu muhimu sana ni mtu ambaye hawezi akadanganyika katu alisaliti taifa lake ni mzalendo wa kweli anastahili atawale miaka hata 30 au hata milele
Kama unampenda sana huyo mtu wako akatawale Familia yenu na sio TZ ,Katiba imeweka wazi ni miaka mi5 tu na kama akipita mara ya pili basi mwisho 10 , kama anaona haitoshi aende kwao kwa WAZIRANKENDE akaongoze MILELE.
 
Hivi kumbe Wapinzani hamna uhakika wa kuchukua nchi mwaka huu ili kumtoa Rais aliyeko madarakani naona mnajadili ukomo wa rais
 
Mtu mwenyewe wanaemsifia hana hata sifa ya kuwa mwenyekiti wa kijiji!

Tuwe wa wazi na wakweli jamani, hivi huyu Kiongozi ana nini cha maana zaidi ya kuongea ujinga, matusi, kufoka na misifa ya kijinga?
Duh.........
 
Back
Top Bottom