Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Kuna wakati tunaingia kwenye ugomvi na watu kwasababu ya kushindwa kusema hapana
Na Kuna wakati tunaingia kwenye magumu ambayo hatuku paswa kuya pitia kwa kushindwa kusema hapana
Unapo shindwa kufanya Jambo na watu wakataka kukupa dhamana ya kulifanya ili Hali unajua huwezi kulifanya
basi una weza kukataa kwa kusema hapana sita weza kufanya Jambo Hilo kwasababu siwezi kulifanya
kwani kufanya hivyo sio dhambi
Dhambi mbaya nikuahidi/kujitangaza kwamba utafanya au unaweza kufanya Jambo ambalo hauwezi kufanya
kiasi kwamba hata usinge fanya hivyo usinge pungukiwa chochote hiyo ndiyo dhambi
1. Usiahidi Kama huwezi kutimiza kumbuka ahadi ni Deni na dawa ya Deni nikulipa
na usipo lipa basi utalikwepa sana lakini mwisho wa siku you have no way out utalilipa tu.
2. Usifanye Kama hauvutiwi kufanya kwa lengo la kuwa frahisha watu/mtu kwa wakati huo
kumbuka Kuna wakati unakuja lazima utimize ulicho ahidi kukifanya na hata usipo fanya ahadi yako ita kuhukumu Kila uwaonapo ulio wa ahidi
3. Ahidi kufanya kile unacho weza kufanya kinyume na hapo sio lazima kufanya hivyo Kama unajua huwezi kufanya hivyo
Mwisho
Usiahidi kufanya kitu ambacho unajua huwezi kufanya kitakughalimu baadae naghalama hiyo huanzia pale unapo shindwa kufanya
Hivyo tujifunze kusema hapana katika Yale tusiyo weza kufanya,,,
Na Kuna wakati tunaingia kwenye magumu ambayo hatuku paswa kuya pitia kwa kushindwa kusema hapana
Unapo shindwa kufanya Jambo na watu wakataka kukupa dhamana ya kulifanya ili Hali unajua huwezi kulifanya
basi una weza kukataa kwa kusema hapana sita weza kufanya Jambo Hilo kwasababu siwezi kulifanya
kwani kufanya hivyo sio dhambi
Dhambi mbaya nikuahidi/kujitangaza kwamba utafanya au unaweza kufanya Jambo ambalo hauwezi kufanya
kiasi kwamba hata usinge fanya hivyo usinge pungukiwa chochote hiyo ndiyo dhambi
1. Usiahidi Kama huwezi kutimiza kumbuka ahadi ni Deni na dawa ya Deni nikulipa
na usipo lipa basi utalikwepa sana lakini mwisho wa siku you have no way out utalilipa tu.
2. Usifanye Kama hauvutiwi kufanya kwa lengo la kuwa frahisha watu/mtu kwa wakati huo
kumbuka Kuna wakati unakuja lazima utimize ulicho ahidi kukifanya na hata usipo fanya ahadi yako ita kuhukumu Kila uwaonapo ulio wa ahidi
3. Ahidi kufanya kile unacho weza kufanya kinyume na hapo sio lazima kufanya hivyo Kama unajua huwezi kufanya hivyo
Mwisho
Usiahidi kufanya kitu ambacho unajua huwezi kufanya kitakughalimu baadae naghalama hiyo huanzia pale unapo shindwa kufanya
Hivyo tujifunze kusema hapana katika Yale tusiyo weza kufanya,,,