Kusema kweli Ada ya kufanyia miamala imepanda mara dufu

Exactly,,,,,,serikali inawaongezeaa makampuni hayo kodi kimya kimyaa lkn wanajua kabisa ni mzigo wa mwananchi
Ht wenyewe wanatumiaa huduma hizo zote na wanayaonaa lkn hakuna namna lazima wapate kodi,,,,,,,,huko ndio kuna urahisi wa makusanyo na watumiaji ni maelfu kwa maelfu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
moto,viabaka, wizi ndani ya familia hizo risks nazo zipo ila ukweli afadhali mtu ukawa na safe yako maana!! kila angle unakamuliwa tu
 
siku hizi nikitaka kutoa pesa naenda kwa wakala kusubiria wateja wanaokuja kuweka pesa, nawatumia huku nikikatwa pesa kidogo huku wao wananipa cash.
una akili kama mimi,nimekua nikifanya hivyo kwa muda mrefu lakini kwa wakala ambae nafahamiana nae vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…