Kuna Makampuni mengine yanahitaji fresh graduate na mengine graduate ambao wana uzoefu kazini.Sasa wewe ujiangalia uko upande gani.vijana wngu,nimesha tafuta vijana wa kazi TBS,kwa njia ya interview lakini wengi ni wenye first clas lakin wanakosa nafac,sababu ni kwamba pamoja na cheti,tunakuuliza maswali mengi sana,tunaangalia uvaaji wako,vyeti vyako vya nyuma na extra experience,so unakuta ni mzuri kimasomo lakini hana ujuzi mzuri wa kazi,sasa vijana jitahidini kufaham kila kitu na msaidiane sio kusemana,usimzarau ucyemjua.
vijana wngu,nimesha tafuta vijana wa kazi TBS,kwa njia ya interview lakini wengi ni wenye first clas lakin wanakosa nafac,sababu ni kwamba pamoja na cheti,tunakuuliza maswali mengi sana,tunaangalia uvaaji wako,vyeti vyako vya nyuma na extra experience,so unakuta ni mzuri kimasomo lakini hana ujuzi mzuri wa kazi,sasa vijana jitahidini kufaham kila kitu na msaidiane sio kusemana,usimzarau ucyemjua.
wewe utakuwa umechaguliwa teku ndio maana halafu unajifananisha na watu wa mzumbe ,na sua au umeenda udom chuo cha kata
najivunia kuwa mwanasua tea kozi ya kiume BVM
najivunia kuwa mwanasua tea kozi ya kiume BVM
vipi wewe umepangwa "magulumbasi university" kwahiyo hapa unajifariji na kutafuta wa kukuunga mkono?!
siku ya leo nataka kuvunja mzizi wa fitina maana humu ndani yametokea mabishano na mada kuhusu
1.baadhi ya watu kusifia vyuo vyao.....
2.baadhi ya watu kuponda baadhi ya vyuo
kusema kweli chuo ni chuo....ili mradi kinatambuliwa na serikali na tcu.....kitu muhimu katika kusoma elimu ya
chuo kikuu ni baada ya kuhitimu uweze kupata ajira ambayo itakuwezesha kuendesha maisha yako...ya badae
so usije ukakariri....kwamba eti mimi nasoma chuo flani ni bola kuliko mwengine cha umuhimu ni kumuomba mungu
upate michongo wa kazi,,,,,usijidanganye eti ya kwamba kisa nimesoma maarufu eti nikimaliza chuo napata kazi hapo hapo kitu kama hichi hakuna............na huu ni wosia wangu........kwani watu wengi tukiwa vyuoni tunadanganyana sana
na mwisho nawahusia ndugu zangu.......ombeni sana mungu mpate michongo ya kazi....mtaani ni kugumu sana
Harvard university, Yale university then University of Dar es salaam, Dodoma University na Dar Es Salaa Institute of Technology unadhani yupi atapewa kipaumbele? kuna vyuo ni lulu madogo acheni kujijaza upumbavu.........:director:
we doctor wa ngombe 2, hakuna cha koz ya kiume wala nini!
Sasa dudu kila mtu akianza kutambia programme anayoenda kuisoma...,sipati picha jf itakuwa na sura gani. Kama ni kujivunia allocation ni vyema uifanyie moyoni kwako tu. Binafsi na wadau wengine tunaliona hili kama sio la kiukomavu. Nawasilisha!!
wakubwa kama nimewakosea naombeni samahani it's was just a typing error sio kama nimedharau kozi nyingne samahanini sana wakubwa !!
watu wengine bana!nadhan una mgando wa mawazo....