Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iko DSE auAishi hotels
Ziko DSE au ujsnja ujanja tuProtea hotel Aishi machame
Orodhesha biashara zilizoko DSE zinazomilikiwa na watu binafsi. DSE sidhani kama kuna kampuni zaidi ya 30. Mfano kampuni za simu ni ttcl na Vodacom pekee, mahotel hakuna hata moja. Acha ujuha. Lete hoja zenye mashikoZiko DSE au ujsnja ujanja tu
Ah, hata mimi sizijui. Mbaya zaidi hata mwenyewe hakutaja hata moja alipojinabaisha hivyo. Au ndio biashara yake kubwa kuupiga mwingi/ siasa. Ndio anatahadharsia kutomtoa katika ajira yake ya siasa akiwa manager mkuu.Anayejua biashara za mbiwe frankly speaking kabisa naomba azitaje.
1.
2
3
4
Kwa hiyo mbowe naye ni mchuuzi kama wengine wanauza nguo mtaaniOrodhesha biashara zilizoko DSE zinazomilikiwa na watu binafsi. DSE sidhani kama kuna kampuni zaidi ya 30. Mfano kampuni za simu ni ttcl na Vodacom pekee, mahotel hakuna hata moja. Acha ujuha. Lete hoja zenye mashiko
Angalau hii ndo najua hata mimi japo imesajiriwa kwa jina la chademaGazeti la Tanzania daima
Ah, hata mimi sizijui. Mbaya zaidi hata mwenyewe hakutaja hata moja alipojinabaisha hivyo. Au ndio biashara yake kubwa kuupiga mwingi/ siasa. Ndio anatahadharsia kutomtoa katika ajira yake ya siasa akiwa manager mkuu.
Azam na Mo pia ni wachuuziKwa hiyo mbowe naye ni mchuuzi kama wengine wanauza nguo mtaani
Unajua maana ya DSE kweli kijana? Mbona unauliza swali ambalo Halina mashiko?Ziko DSE au ujsnja ujanja tu
Si anajiita ni public figure? Au kabadili siku hizi ni private figureWewe umekuwa mke wake mpaka kutaka kujua mali zake ?
Dar es salaam stock exchangeUnajua maana ya DSE kweli kijana? Mbona unauliza swali ambalo Halina mashiko?
Kumbe vyama ni biashara nzuri sana. Lipumba naye aanzishiwe harakati za kumuondoa. Au tumshauri TAL ahamie CUF akamng'oe profUkweli ni kwamba Mbowe anatumia chama kama biashara ya uhakika.
Achana na uyo mjinga. Angalia stakishari panakuhusu usipoweka mzigo wa maana leoUnajua maana ya DSE kweli kijana? Mbona unauliza swali ambalo Halina mashiko?
DSE Ina kampuni hazifiki hata 30 we unauliza kama hotel ya mbowe ipo DSE? Ni matani au upo serious?Dar es salaam stock exchange