Kusema Rais anashauriwa vibaya ni kujaribu kueleza kuwa Rais hana akili; naona ni ukosoaji wa kinafiki

Ni namna nzuru ndugu ya kufikisha ujumbe kwa mhusika na si vinginevyo!
Mfano suala la Bandari, Mkuu wa nchi anafahamu kila kiitu na mchezo wote anaujua "in and out"
 
Kuanzia na sheria ya Kinga Kwa Rais na tafsiri zake ndio maana hakuna mahala unaweza mshitaki Rais

Mtu kutokushtakiwa haimaanishi akifanya Makosa basi hayo Makosa hajafanya.
Hiyo ni sheria ya hivyo, sheria ya upendeleo, sheria isiyojali Haki na Kweli
 

Kama mzazi Hakosei tafsiri yake ni nini Mkuu?
 
Nilitaka atumie akiri yake kwenye mambo simple kama haya....kama vip wote tuweza kuwa nchini tuweza kuwa raisi
 
Mtu kutokushtakiwa haimaanishi akifanya Makosa basi hayo Makosa hajafanya.
Hiyo ni sheria ya hivyo, sheria ya upendeleo, sheria isiyojali Haki na Kweli
Rais kama hawezi kushitakiwa mahakamani, anaweza kushitakiwa kwenye court of public opinion wananchi wakamuhukumu kwenye sanduku la kura.

Tatizo Samia kasema mkimpigia kura au msipompigia kura, yeye ana uhakika wa kushinda uchaguzi.
 
Wakati huo huo. Likitokea la kutokea a alaumiwe yeye na si washauri wake. Mfano kwa Idi Amin Dada alilaumiwa yeye si washauri wake . The same na Mobutu, Bokassa, Hitler, Nyerere Mugabe Smith n.k.

So Rais wetu anatakiwa kuwa smart dhidi ya hasa wapiga dili
 
Rais kama hawezi kushitakiwa mahakamani, anaweza kushitakiwa kwenye court of public opinion wananchi wakamuhukumu kwenye sanduku la kura.

Tatizo Samia kasema mkimpigia kura au msipompigia kura, yeye ana uhakika wa kushinda uchaguzi.

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Nilitaka atumie akiri yake kwenye mambo simple kama haya....kama vip wote tuweza kuwa nchini tuweza kuwa raisi
Kwanza kabisa, nafikiri kwenye mambo ya kuendesha nchi Nyerere kakuzidi sana, hivyo wewe kumuita mjinga na mpumbavu sanasana inaonesha ujinga na upumbavu wako.

Pili, mambo ya kuamua uchumi wa nchi uende vipi, uende kwa central command, laissez faire au mixed economy, na kama mixed economy ni kwa kiasi gani serikali iwe inachukua uongozi na umiliki wa uchumi, na kiasi gani wafanyabiashara wachukue umiliki, haya si maswali madogo.

Tatu, rais ana wajibu wa kukusanya maoni ya watu wengi kabla ya kufanya maamuzi makubwa, hata kama yeye anajua tayari jambo analotaka kufanya.

Nne, nakushauri usome vitabu vya Issa Shivji na wenzake kumhusu Nyerere, labda unaweza kupata muktadha vizuri zaidi, kama unaweza kusoma.
 
Namba mbili na tatu ndo kazi Ya Rais wenu.Huyu mama anafanya kusudi akijua anao wajinga wengi wa kumtetea alafu anjificha kwenye kivuli cha udini...Hafaiiiii
 
sasa tumlaumu nani wakati anachagua yeye washauri wote
 
Mbona Nyerere alishauriwa vibaya kuhusu vijiji vya jamaa na watu wakafa na hatukusema Nyerere Hana akili??
Mkuu,

Mbona watu wanasema Nyerere hana akili?

Mbona Rupia alimuita Nyerere lofa kwa hoja za Ujamaa, to his face, na Nyerere mwenyewe hakufanya kitu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…