Kusepa kwa Jonijo Wasafi; Je, Lil Ommy anachangia?

Kusepa kwa Jonijo Wasafi; Je, Lil Ommy anachangia?

Bado sijakuelewa mkuu, suala la maslahi always huwa hayatoshi na ukiendekeza utaharibu career yako ndio kama yaliyomkuta PJ, Jonijoo alisepa timesfm, tuseme maslah labda tusemw na airtime, sasa na Wasafi ni maslah kwahiyo na Efm maslah yakiwa maduchu atasepa?
Ipo hivi ameondoka kisa maslahi kuwa kiduchu na amepima uwezo wke akaona hapa na mshahala ninaoupata sio size yangu ndio mana umeona imekuwa rahisi sana kuondoka pale tu alipoona amepata sehemu yenye maslahi mazuri
 
U jobless wa akili ni kazi na gharama kubwa a...

Yaani kwasababu huna kazi ndio maisha yako yote umededicate kwenye kufuatilia vipindi vyote vya redio zote na tv zote?
Huo muda ungeanzisha kijiwe Cha kubrashi viatu, au ungeanza kazi ya udobi kwa siku minimum unalaza 20'000/- ambapo kwa mwezi ni sh. 600'000/-
Binafsi umenisikitisha.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nipo hapa kmya nmetuua tyuh kuona shombo za misukule na ndondocha za domokaya, hihihihihihihihihihihihihihih

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inamaana wakati anatoka alipotoka hakuona anachoenda kulipwa ?

Tatizo la presenters wa bongo ni waoga sana wa maisha,,mtu ana jina kubwa bado anaangaika na mikataba,mara huku Mara kule...basi maboss wanakuchezea tu kama mpira wa safa bwege

Mtu kama lil omy alitakiwa kua bussy na channel yake,same kwa jonijo...mbona missago kaweza japo kachelewa ndio anapambana saiz? Millard ndio aliona hela ya channel yake mapema..saiz kawa boss...

Sasa jonijoo akitoka efm sjui ataenda wapi tena....na ukishatoka wasafi unakua kama mpya vile

By the way tutaimis block 89 hasa story za mtu imara[emoji2]
Ipo hivi ameondoka kisa maslahi kuwa kiduchu na amepima uwezo wke akaona hapa na mshahala ninaoupata sio size yangu ndio mana umeona imekuwa rahisi sana kuondoka pale tu alipoona amepata sehemu yenye maslahi mazuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mseme tu maslahi ndio yamemuondoa hapo wasafi fm mbona sie wengine tunajua hivyo ila kuanza kusema sijui omy ndio kachangia ni uongo tu huo wa washabiki wa Wasafi kutetea upande huo mimi mwenyewe demu wangu yupo mbioni kuacha kazi hapo we mtu afanye kazi ya kubwabwaja mda wote halafu azidiwe mshahala na tela wa bank ya Aces kweli huo ni uungwana
Hvi unalipwa Kwa kiwango cha kubwabwaja au ni kutokana na pesa inayoingia Kwa kipind chako , mi navyojua salary kama salary ni kiduchu Sana pote tuu, ila pesa inaongezeka kulingana na matangazo yanavyomiminika kwenye kipind chako , na hapo ndo talent na creativity inaposimama , mafanikio kwenye media ni pure talent na creativity na sio kisomo kama uhasibu....demu wako anaweza kuwa anatumia nguvu nyingi Sana lakn yupo empty kwenye creativity , na hvo watu hawavutiwi na kipind chake lazima mshahara uwe kiduchu tuu
 
nimekupata mkuu plz naomba unipe background ya aailiya wa wasafi fm ametokea media gani ni mtangazaji mkali sana
 
Hvi unalipwa Kwa kiwango cha kubwabwaja au ni kutokana na pesa inayoingia Kwa kipind chako , mi navyojua salary kama salary ni kiduchu Sana pote tuu, ila pesa inaongezeka kulingana na matangazo yanavyomiminika kwenye kipind chako , na hapo ndo talent na creativity inaposimama , mafanikio kwenye media ni pure talent na creativity na sio kisomo kama uhasibu....demu wako anaweza kuwa anatumia nguvu nyingi Sana lakn yupo empty kwenye creativity , na hvo watu hawavutiwi na kipind chake lazima mshahara uwe kiduchu tuu
Kwa hiyo tuchukulie kipindi hakina wadhamini kabisa huyo atalipwaje?kuhusu demu wangu sio njema kumuweka wazi humu ila jua tu kipindi chao kina wadhamini wa kutosha tu na wengine wapo kwenye mpango wa kuongezeka
 
Kwa hiyo tuchukulie kipindi hakina wadhamini kabisa huyo atalipwaje?kuhusu demu wangu sio njema kumuweka wazi humu ila jua tu kipindi chao kina wadhamini wa kutosha tu na wengine wapo kwenye mpango wa kuongezeka
aende clouds kama demand yake ni kubwa kihivyoo
 
Inamaana wakati anatoka alipotoka hakuona anachoenda kulipwa ?

Tatizo la presenters wa bongo ni waoga sana wa maisha,,mtu ana jina kubwa bado anaangaika na mikataba,mara huku Mara kule...basi maboss wanakuchezea tu kama mpira wa safa bwege

Mtu kama lil omy alitakiwa kua bussy na channel yake,same kwa jonijo...mbona missago kaweza japo kachelewa ndio anapambana saiz? Millard ndio aliona hela ya channel yake mapema..saiz kawa boss...

Sasa jonijoo akitoka efm sjui ataenda wapi tena....na ukishatoka wasafi unakua kama mpya vile

By the way tutaimis block 89 hasa story za mtu imara[emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
NENO 100% True.
 
Ipo hivi ameondoka kisa maslahi kuwa kiduchu na amepima uwezo wke akaona hapa na mshahala ninaoupata sio size yangu ndio mana umeona imekuwa rahisi sana kuondoka pale tu alipoona amepata sehemu yenye maslahi mazuri
ukiongeacho sio kweli asilimia 100
 
m
Naona kulikuwa na uwezo wote kukaa kwenye the switch.
Au ndio mafahali wawili hawaishi zizi moja?
mafahali wawili hawawezi ishi zizi moja, Jonijo hawezi kuwa Co host anatakiwa kuwa na kipindi chake yeye kama yeye
 
Back
Top Bottom