Ipo hivi ameondoka kisa maslahi kuwa kiduchu na amepima uwezo wke akaona hapa na mshahala ninaoupata sio size yangu ndio mana umeona imekuwa rahisi sana kuondoka pale tu alipoona amepata sehemu yenye maslahi mazuriBado sijakuelewa mkuu, suala la maslahi always huwa hayatoshi na ukiendekeza utaharibu career yako ndio kama yaliyomkuta PJ, Jonijoo alisepa timesfm, tuseme maslah labda tusemw na airtime, sasa na Wasafi ni maslah kwahiyo na Efm maslah yakiwa maduchu atasepa?
Binafsi umenisikitisha.U jobless wa akili ni kazi na gharama kubwa a...
Yaani kwasababu huna kazi ndio maisha yako yote umededicate kwenye kufuatilia vipindi vyote vya redio zote na tv zote?
Huo muda ungeanzisha kijiwe Cha kubrashi viatu, au ungeanza kazi ya udobi kwa siku minimum unalaza 20'000/- ambapo kwa mwezi ni sh. 600'000/-
Ipo hivi ameondoka kisa maslahi kuwa kiduchu na amepima uwezo wke akaona hapa na mshahala ninaoupata sio size yangu ndio mana umeona imekuwa rahisi sana kuondoka pale tu alipoona amepata sehemu yenye maslahi mazuri
Hvi unalipwa Kwa kiwango cha kubwabwaja au ni kutokana na pesa inayoingia Kwa kipind chako , mi navyojua salary kama salary ni kiduchu Sana pote tuu, ila pesa inaongezeka kulingana na matangazo yanavyomiminika kwenye kipind chako , na hapo ndo talent na creativity inaposimama , mafanikio kwenye media ni pure talent na creativity na sio kisomo kama uhasibu....demu wako anaweza kuwa anatumia nguvu nyingi Sana lakn yupo empty kwenye creativity , na hvo watu hawavutiwi na kipind chake lazima mshahara uwe kiduchu tuuMseme tu maslahi ndio yamemuondoa hapo wasafi fm mbona sie wengine tunajua hivyo ila kuanza kusema sijui omy ndio kachangia ni uongo tu huo wa washabiki wa Wasafi kutetea upande huo mimi mwenyewe demu wangu yupo mbioni kuacha kazi hapo we mtu afanye kazi ya kubwabwaja mda wote halafu azidiwe mshahala na tela wa bank ya Aces kweli huo ni uungwana
Kwa hiyo tuchukulie kipindi hakina wadhamini kabisa huyo atalipwaje?kuhusu demu wangu sio njema kumuweka wazi humu ila jua tu kipindi chao kina wadhamini wa kutosha tu na wengine wapo kwenye mpango wa kuongezekaHvi unalipwa Kwa kiwango cha kubwabwaja au ni kutokana na pesa inayoingia Kwa kipind chako , mi navyojua salary kama salary ni kiduchu Sana pote tuu, ila pesa inaongezeka kulingana na matangazo yanavyomiminika kwenye kipind chako , na hapo ndo talent na creativity inaposimama , mafanikio kwenye media ni pure talent na creativity na sio kisomo kama uhasibu....demu wako anaweza kuwa anatumia nguvu nyingi Sana lakn yupo empty kwenye creativity , na hvo watu hawavutiwi na kipind chake lazima mshahara uwe kiduchu tuu
aende clouds kama demand yake ni kubwa kihivyooKwa hiyo tuchukulie kipindi hakina wadhamini kabisa huyo atalipwaje?kuhusu demu wangu sio njema kumuweka wazi humu ila jua tu kipindi chao kina wadhamini wa kutosha tu na wengine wapo kwenye mpango wa kuongezeka
NENO 100% True.Inamaana wakati anatoka alipotoka hakuona anachoenda kulipwa ?
Tatizo la presenters wa bongo ni waoga sana wa maisha,,mtu ana jina kubwa bado anaangaika na mikataba,mara huku Mara kule...basi maboss wanakuchezea tu kama mpira wa safa bwege
Mtu kama lil omy alitakiwa kua bussy na channel yake,same kwa jonijo...mbona missago kaweza japo kachelewa ndio anapambana saiz? Millard ndio aliona hela ya channel yake mapema..saiz kawa boss...
Sasa jonijoo akitoka efm sjui ataenda wapi tena....na ukishatoka wasafi unakua kama mpya vile
By the way tutaimis block 89 hasa story za mtu imara[emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
ukiongeacho sio kweli asilimia 100Ipo hivi ameondoka kisa maslahi kuwa kiduchu na amepima uwezo wke akaona hapa na mshahala ninaoupata sio size yangu ndio mana umeona imekuwa rahisi sana kuondoka pale tu alipoona amepata sehemu yenye maslahi mazuri
Ukweli ni upi sasa ndugu ww unayejua ukweli twambieukiongeacho sio kweli asilimia 100