Kushambuliwa kwa Mbowe: Polisi wasema wanaendelea na Uchunguzi, wapiga marufuku tukio hilo kufanywa la kisiasa. CHADEMA yamuhusisha Mchungaji Mashimo

Mbona kashasema Mkuu kwamba Mwamba alipelekwa Hospitali mishale ya saa 8 kwenda saa 9 na alikua matingasi kinoma.

Inasemekana hakuvamiwa baoi konyagi kubwa ilikua imekaa pahala pake na yeye kuteleza kwenye ngazi na aliyempeleka Hospitali ni kigudulia flani amazing alichokua anaenda kukitafuna.
 
aliyesababisha mbowe akavunjika mguu ni huyo mwamba hapo chini.
 

Attachments

  • Screenshot_20200609-220305.png
    111.2 KB · Views: 1
What goes around comes around, kuna siku inakuja watawala watatawaliwa kwa fikra zao, hakuna marefu yasiyokuwa na mwisho, kama si wao basi kizazi Chao hakiwezi kukwepa malipo ya udhalimu huu.
Upunguani tu huu.
 
baada ya kuona chama chake hakieleweki akaona ajipoze na konyagi,matokeo yake kazidisha mitungi kateleza kipindi anapanda ngazi kaanguka kavunjika mguu.Aseme ukweli tu.
Anaona aibu misukule yake watamwelewa vipi?
 
Kwani Ndugai alikuwa kaombwa kutoa maelezo kwenye swala hili?
Mbona anazidi kujishusha daraja?
Huyo anazidi kudhibitisha kauli za CAG aliyepita Profesa Assad. Ndugai hakika ni mtu mwenye mtindio wa ubongo. Na baada ya tukio lile la kumpiga fimbo ya kichwa mpinzani wake alipaswa achunguzwe lakini kama kawaida yetu kila kitu bora liende tuu.
 
Tundu lissu mwenyewe hakutaka uchunguzi ufanyike mana alikimbia yeye pamoja na shahidi namba moja ( dereva ) ulitaka Askari waanzie wapi uchunguzi kama mashahidi wote hawataki kutoa ushurikiano?
usikute na wewe ni mwajiriwa wa serikali
 
maelezo kibao kama mdada yupo hedhi
 
Hii story inanikumbusha jamaa mmoja aliyembaka mbuzi huko Kilwa kijiji fulani. Amecheki xvideo alipokuwa anarudi home mdadi umempanda akabaka mbuzi. Lahaulaa jamaa alusahau shati, alfajiri kufuta shati kwa style aliyeijua. Mama mwenye nyumba akampatia shati yake lakini baadae akadakwa na intelejensia kali ya kijiji
 
Kwa mawazo yangu sina uhakika kama jeshi la police limemhoji mheshimiwa Mbowe kabla ya kwenda Dar es salaam kwa kuwa mpaka sasa sijaona taarifa yoyote ikionyesha uwepo wa police pale hospitali.

Nasema hivyo nikiwa na maana kwamba, kwa kuwa Mr Mbowe alikuwa anajitambua hivyo kwa umakini wa police ingekuwa vema wakamhoji ili kujua alirudishwa nyumbani na nani?

Alivamiwa muda gani toka waliomrudisha kuondoka?

Hiyo ingesaidia kulinganisha na upelelezi mwingine watakaoupata kwani kama ni kitu cha kutengeneza lazima taalifa zitapishana kwani mtengeneza muvi anakuwa hajajipanga vizuri.

Ila kwa sasa wanweza jipanga kwani wanaona michango ya watu kwenye mitandao nao wanasahihisha makosa kabla ya kuhojiwa
Nashauli police wawe wanafanya maojiano mapema mtu anapopata tazito ili wapate mwanzo wa tukio
Kuliko. kusubili mtu anajipanga namna ya kudanganya.

Wakati wa tukio la Tundu lisu yule dereva alitakiwa awe amehojiwa kabla ya kuondoka, na ndio.maana kwa kutumia udhaifu wa police wakamtorosha mpaka sasa hajahojiwa.

Watengeneze kitengo ambacho kitapata mafunzo maarumu hata kwa wale wanokuwa na tatizo la kisaikorojia.
Taarifa za mwanzo ni muhimu sana.
 
wewe unayejificha kwenye keyboard kwa kusema kitu ambcho huna ushahidi nacho, siyo Muoga! hebu fanya ujasiri uende hadharani utaje huyo unayemtuhumu kwa jina lake halisi kuwa ndo kahusika ili tukuone we ni jasiri zaidi yake!
Hapo kasema chumbani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…