Kusherehekea siku ya kuzaliwa hali ya kuwa wananchi wanateseka na umasikini

Kusherehekea siku ya kuzaliwa hali ya kuwa wananchi wanateseka na umasikini

PM wa UK sio head of state. President of URT is the head of state.
Hakuna ubaya wowote rais kusherekea siku yake ya kuzaliwa. Kama ingefanyika dhifa ya kitaifa Ikulu, kusherekea birthday ya rais, hapo ndio labda angekuwa na hoja.
P
Huku mtaani hao wanaojiita wanyonge ndio makao makuu ya birthday na vigodoro na kumwagiani mimaji kama wehu.

Kuna watu ni wachawi kamili ila vitendea kazi tu ndio hawana.
 
Watz tuache roho ya kichawi kumuonea wivu mama, mbona mtaani tunafunga mitaa sbb ya HBD.

Serikali haimalizi umaskini kwa mtu mmoja mmoja koo ni juhuzi zetu kuutokomeza
 
Hapa issue sio birthday ya mama,hapa ni kwann asherehekee Ikulu? Kumbuka Ile ni Ofisi/Ikulu ya taifa,na sio sehemu ya mtu binafsi. Pascal Mayalla Acha kujipendekeza kaka,ww kama mwandishi ni mwandishi wa waheshima Sana,unapaswa kukemea hili swala Kwa kalamu. Huu no mfano mbaya Sana Rais anaonesha,tuendako tutaanza kuwa na viongizi wanaoenda kunywa chai London na Lunch Dubai huku wananchi wakiteseka.
Ikulu ni kama nyumbani kwake tu..ndo maana wana nyumba..na walioowa au kuolewa wanafanya yao usiku.

Hii ya kusema ni sehemu takatifu ni wewe unalazimisha.
 
PM wa UK sio head of state. President of URT is the head of state.
Hakuna ubaya wowote rais kusherekea siku yake ya kuzaliwa. Kama ingefanyika dhifa ya kitaifa Ikulu, kusherekea birthday ya rais, hapo ndio labda angekuwa na hoja.
P
Mkuu pascal,
Wew ni mwandishi wa habari tena mwenye jina kubwa hapa nchini. Kwanini unatumia nafasi uliyonayo na utashi wako kutaka kuhalalisha baadhi ya matukio ambayo kimtazamo ni ya kibinafsi kuwa ya kitaifa.

Wananchi tuna raha gan hata tusherehekee birthday ya MTU..? Ikiwa zetu wenyewe zimetushinda. Tanzania ni kubwa sana Bwana Pascal,matatizo ni mengi sana...kutaka kuifanya birthday ya Rais kuwa tukio linalotrend hakika ni kuwakosea watanzania wengi wanaovuja jasho.

Mkuu Paskali,
Uspende kubishana kwenye mambo madogo madogo kama haya.
Umekua.
 
Wakuu nisipende kuwachosha
Ila inasikitisha sana kuona ikulu ambapo Nyerere aliwahi kusema kuwa ni mahala patakatifu imebadilika na kuwa pango la walanguzi.

Leo ikulu hapafanyiki tena mikutano ya kujadili mikataba ya madini,utiaji saini miradi ya maendeleo n.k Bali imekuwa sehemu ya kufanya karamu kuonana na viongozi wastaafu kupongezana n.k

Kiongozi mkuu wa nchi amekuwa mwepesi kuhudhuri shughuli nyepesi nyepesi zisizokuwa na tija kubwa kwa taifa huku akiacha hoja za msingi na miradi ya msingi ya kimaendeleo

Kiongozi mkuu wa nchi amebaki kufanya makongamano,teuzi,birthday party n.k huku akisahau kuna miradi ya kimkakati kama JNHP, SGR pia anapaswa kubrainnstorm kuja na miradi mingi ili uchumi ukue watanzania waondokane na umasikini unaowatesa miaka nenda rudi.Sijakataa mtu kusherehekea siku yake ya kuzaliwa siku moja kati ya 365 lakini vipi masikini wanaoteseka siku zote 365 huku yule waliyemtuma wakitegemea atawaondolea umasikini akiponda raha (kiujumla maisha ya Rais kwa mshahara wake ni bonus tosha kwa siku zote 365 ukilinganisha na watanzania wengi ) lakini bado pia kabla hajatimiza azma za waliomtuma tayari anafanya karamu tena hali ya kuwa wale waliomtuma hawakumbuki hata siku zao za kuzaliwa kwa tabu na masumbuko ya umasikini wanaoupitia!

Wakuu nina mengi moyoni ila hasira zimenikaba kwenye koo mpaka nashindwa kuendelea. Naomba niishie hapa kwa Leo . View attachment 2097413View attachment 2097414
Kila mrefu hula mbuzi kwa kamba yakwe wahenga walinena..
 
Ikulu ni kama nyumbani kwake tu..ndo maana wana nyumba..na walioowa au kuolewa wanafanya yao usiku.

Hii ya kusema ni sehemu takatifu ni wewe unalazimisha.
Huna akili, yaani Ikulu iwe kwake? Acha ujinga,Ile ni Ofisi ya umma!
 
Watz tuache roho ya kichawi kumuonea wivu mama, mbona mtaani tunafunga mitaa sbb ya HBD.

Serikali haimalizi umaskini kwa mtu mmoja mmoja koo ni juhuzi zetu kuutokomeza
Kwa hiyo yanayofanyika mtaani na yeye anapaswa kufanya?
Huku mtaani tunalewa hadi tunajisaidia, hivyo na yeye afanye hivyo?
 
Huku mtaani hao wanaojiita wanyonge ndio makao makuu ya birthday na vigodoro na kumwagiani mimaji kama wehu.

Kuna watu ni wachawi kamili ila vitendea kazi tu ndio hawana.
Yanayofanyika mtaani yanapaswa pia kufanywa na raisi?
 
Hapa issue sio birthday ya mama,hapa ni kwann asherehekee Ikulu? Kumbuka Ile ni Ofisi/Ikulu ya taifa,na sio sehemu ya mtu binafsi. Pascal Mayalla Acha kujipendekeza kaka,ww kama mwandishi ni mwandishi wa waheshima Sana,unapaswa kukemea hili swala Kwa kalamu. Huu no mfano mbaya Sana Rais anaonesha,tuendako tutaanza kuwa na viongizi wanaoenda kunywa chai London na Lunch Dubai huku wananchi wakiteseka.
Moja ya kazi zangu kama mwandishi wa habari ni kuielimisha jamii, hivyo naomba kuchukua fursa hii kuielimisha kuwa Ikulu sio tuu ni ofisini kwa rais, pale pia ni nyumbani kwake, hivyo yuko free kufanyia jambo lake lolote, private and public.
Karibu mitaa hii ujielimishe kuhusu Ikulu.
Tena tuna bahati, , thanks God huyu Mama sio kama mtangulizi wake, haendi na mafile hadi chumbani, vinginevyo, tungekwenda kuwa na Ikulu ya Zanzibar!.
P
 
Moja ya kazi zangu kama mwandishi wa habari ni kuielimisha jamii, hivyo naomba kuchukua fursa hii kuielimisha kuwa Ikulu sio tuu ni ofisini kwa rais, pale pia ni nyumbani kwake, hivyo yuko free kufanyia jambo lake lolote, private and public.
Karibu mitaa hii ujielimishe kuhusu Ikulu.
Tena tuna bahati, , thanks God huyu Mama sio kama mtangulizi wake, haendi na mafile hadi chumbani, vinginevyo, tungekwenda kuwa na Ikulu ya Zanzibar!.
P
Nimesoma bandiko lako la tarehe 22/April/2020 Kwa makini,ulichozungumzia ni majukumu ya Rais Kwa nchi na sio SHEREHE! binafsi ndani ya Ikulu! Mm sipingi na wala hainihisu SHEREHE yake ya kuzaliwa,hiyo ni mambo yake binafsi,Ila mm nachopinga ni kufanyika ndani ya Ikulu,iko hivi,japo hakuna kifungu cha Sheria wala Katiba inayoruhusu au kukataza,lakini kuna maadili na utamaduni ambao mtu mwenye upungufu utashiua taifa tunapaswa kulilinda. Unless uwe unatafta "Kiki " najua hata nafsini mwako hili hkubaliani nalo.
 
Nipo Shinyanga. Mwishoni mwa Novemba mwaka jana, nilinunua mtungi wa gesi wa kilo 30 kwa 54,000/=. Leo, nashangaa naambiwa 59,000/=.
Upandaji wa vitu, sisikii Serikali ikikemea!
wako bize ikulu kumzawadia chifu mazawadi na kubadilishana bahasha za 'wekundu'
wanaokaa kwa shemeji hawawezi kuelewa hili
 
Hii inaitwa roho ya kwanini, sio kitu kizuri!. Mtu amelitumikia taifa kwa siku 364, hiyo siku moja tuu ya 365 ndio inakuuma?.

Tena sisi Tanzania tuna bahati, siku ya birthday ya mkuu wa nchi ni siku ya kawaida, wenzetu ikiwemo Uingereza, Birthday ya Queen ni public holiday!. Na sio UK pekee, ni Great Britain yote, na kwenye dominion zake site, Canada, Australia na Newsland.

Siku hiyo balozi zote za Uingereza dunia nzima zinaiadhimisha kwa tafrija mchapalo.

Nami nijiunge na Watanzania wenzangu kumtakia Happy Birthday President Mama Samia Suluhu Hassan.
P
Utakufa bila kupata TEUZI msukuma mwenye njaaaa
 
Huna tofauti na wale wanaoenda hospitali unafika muda daktari anabidi akale unaanza kulaumu na kejeli na matusi kwanni daktari ale atuache wagonjwa!!!!
 
Nimesoma bandiko lako la tarehe 22/April/2020 Kwa makini,ulichozungumzia ni majukumu ya Rais Kwa nchi na sio SHEREHE! binafsi ndani ya Ikulu! Mm sipingi na wala hainihisu SHEREHE yake ya kuzaliwa,hiyo ni mambo yake binafsi,Ila mm nachopinga ni kufanyika ndani ya Ikulu,iko hivi,japo hakuna kifungu cha Sheria wala Katiba inayoruhusu au kukataza,lakini kuna maadili na utamaduni ambao mtu mwenye upungufu utashiua taifa tunapaswa kulilinda. Unless uwe unatafta "Kiki " najua hata nafsini mwako hili hkubaliani nalo.
Kwanza nakuelewa sana Ila kiukweli baadhi yenu wewe ukiwemo ni ma minder wa vitu vidogo vya ajabu kuvishupalia!. Nimekueleza Ikulu ni ofisini kwake na nyumbani kwake, imetokea leo ni birthday yake, asifanye?, Akafanyie wapi?. Akakodi hoteli?. Mbona nyie ni watu wa ajabu sana?. What is wrong Samia kuimbiwa birthday Ikulu?. JPM alikuwa anaendesha vikao vya CC na NEC ya CCM Ikulu, nyie watu mliwahi kufungua hayo mabakuli yenu kukemea?. What is a birthday compared?, It's nothing!.
P
 
Back
Top Bottom