Sasa mwenzio mtawala wa dunia na hela anazo yeye utajilinganishajeHii inaitwa roho ya kwanini, sio kitu kizuri!. Mtu amelitumikia taifa kwa siku 364, hiyo siku moja tuu ya 365 ndio inakuuma?.
Tena sisi Tanzania tuna bahati, siku ya birthday ya mkuu wa nchi ni siku ya kawaida...
Kaka yote iyo choyo tuPM wa UK sio head of state. President of URT is the head of state.
Hakuna ubaya wowote rais kusherekea siku yake ya kuzaliwa. Kama ingefanyika dhifa ya kitaifa Ikulu, kusherekea birthday ya rais, hapo ndio labda angekuwa na hoja.
P
Bwashee, kimbia haraka ukajinyonge kabla hujapasuka. Kama birthday party binafsi inakuuma kiasi cha kutaka kufa, ni afadhali tupunguze watu wenye akili za kiuwendawazimu kama nyie.Wakuu nina mengi moyoni ila hasira zimenikaba kwenye koo mpaka nashindwa kuendelea. Naomba niishie hapa kwa Leo .
Yeye anafanya kazi ya ku- print pesa siyo?Unataka aje akutupie pesa mlangoni kwako? Nenda fanya kazi hata kulima utapata pesa!Wakuu nisipende kuwachosha
Ila inasikitisha sana kuona ikulu ambapo Nyerere aliwahi kusema kuwa ni mahala patakatifu imebadilika na kuwa pango la walanguzi...
Wengi wetu ni washamba sana kwa hizi sherehe za kizungu. Clouds walikuwa wanamfanyia toka JK.
P
Mkuu Bulesi, nimesema wazi kabisa kuwa sherehe za birthday ni sherehe za kizungu sisi watu wa bushi tulikuwa hatuzifanyi, lakini sasa kutokana na maendeleo nasi sasa tunazifanya. Kumfanyia bosi, wife, wazazi, watoto a surprise party, ni ishara ya upendo na sio uchawa, ila pia naomba kukiri, the dividing line between upendo wa dhati na uchawa is very thin, kama ilivyo mwanaume kumtokea demu bomba mwenye sura nzuri na bonge la shape na kumwambia "I love You," kuwa unampenda na umemzimikia kwake umekufa umeoza, the dividing line between hiyo I love you yako yako kama ni love kweli na umempenda kwa dhati au ni lust tuu unamtamani umduu tuu, is very thin, with naked eyes you just can't tell, ila sisi wa jicho la tatu can!. Najitolea mfano mimi mwenyewe, ikitokea nikamsifia Samia kwa lolote very genuine, halafu ukaniita chawa utakuwa ni unanionea kwasababu kumsifu sikuanza leo!.Hizo ni tabia za KICHACHAWA na tabia za nyinyi CHAWA ni kuwahadaa maboss wenu kuwa mnawapenda kwa kuwaandalia sherehe kama hizi!!!
Umesahau The Netherlands siku ya kuzaliwa ya king kila bidhaa ina uzwa bei chini na free day nenda haraka nunua unacho taka, tena tuna amka mapema sana kuwahi soko. Na ishi hapa miaka 25 sasa ni mtanzania mke Mholanzi watoto mchanganyiko.Hii inaitwa roho ya kwanini, sio kitu kizuri!. Mtu amelitumikia taifa kwa siku 364, hiyo siku moja tuu ya 365 ndio inakuuma?...
Mkuu tilburg1 kwanza asante kujitokeza, na hongera to mix blood maana... Brain ya point five is something else, namuona Maria Sarungi anavyosaidia taifa. Nyinyi Watanzania wenzetu wenye bahati ya kupata exposure kwenye nchi za wenzetu, mnawajibu wa kuileta experience yenu kulidaidia taifa letu kwa kuishauri nchi yetu I copy some good practices za wenzetu, na mfano nzuri ni huu ili kutuondoa ushamba sisi Watanzania, tena makao makuu ya Tanzania Diaspora yako hapo Uholanzi, Diaspora wetu wengi wamefanyiwa brain drain mkitumika ughaibuni, sio lazima mrudi nyumbani maana hii dhiki hamtaiweza but bring back the brain, through exposure yenu mlidaidie taifa.Umesahau The Netherlands siku ya kuzaliwa ya king kila bidhaa ina uzwa bei chini na free day nenda haraka nunua unacho taka, tena tuna amka mapema sana kuwahi soko. Na ishi hapa miaka 25 sasa ni mtanzania mke Mholanzi watoto mchanganyiko.
mmh!!! najua JNHP inaendelea kujengwa, SGR inaendelea na majuzi tu mh.rais kasaini mkataba wa SGR PHASE3,DARAJA KIGONGO BUSISI linaendelea, kasaini mkataba wa TEMBO NICKLE fursa mbalimbali zipo pale zikiwemo ajira kibao, madarasa yamejengwa,zahanati zimejengwa, mishahara ya wafanyakazi sekta ya umma inalipwa kama kawaida n.k. NINI kimekwama?!!!??!!. naomba wewe binafsi utoe takwimu yako hapa umeifanyia nini TANZANIA!!??!!Wakuu nisipende kuwachosha
Ila inasikitisha sana kuona ikulu ambapo Nyerere aliwahi kusema kuwa ni mahala patakatifu imebadilika na kuwa pango la walanguzi.
Leo ikulu hapafanyiki tena mikutano ya kujadili mikataba ya madini,utiaji saini miradi ya maendeleo n.k Bali imekuwa sehemu ya kufanya karamu kuonana na viongozi wastaafu kupongezana n.k
Kiongozi mkuu wa nchi amekuwa mwepesi kuhudhuri shughuli nyepesi nyepesi zisizokuwa na tija kubwa kwa taifa huku akiacha hoja za msingi na miradi ya msingi ya kimaendeleo hususan kwa nchi yetu masikini ambayo bado hali ya uchumi si nzuri na changamoto ni nyingi mno kwa wananchi ambao wamepigwa na maisha hata hawakumbuki siku zao za kuzaliwa.
Kiongozi mkuu wa nchi amebaki kufanya makongamano,teuzi,birthday party n.k huku akisahau kuna miradi ya kimkakati kama JNHP, SGR pia anapaswa kubrainnstorm kuja na miradi mingi ili uchumi ukue watanzania waondokane na umasikini unaowatesa miaka nenda rudi.Sijakataa mtu kusherehekea siku yake ya kuzaliwa siku moja kati ya 365 lakini vipi masikini wanaoteseka siku zote 365 huku yule waliyemtuma wakitegemea atawaondolea umasikini akiponda raha (kiujumla maisha ya Rais kwa mshahara wake ni bonus tosha kwa siku zote 365 ukilinganisha na watanzania wengi ) lakini bado pia kabla hajatimiza azma za waliomtuma tayari anafanya karamu tena hali ya kuwa wale waliomtuma hawakumbuki hata siku zao za kuzaliwa kwa tabu na masumbuko ya umasikini wanaoupitia!
Wakuu nina mengi moyoni ila hasira zimenikaba kwenye koo mpaka nashindwa kuendelea. Naomba niishie hapa kwa Leo . View attachment 2097413View attachment 2097414
Njoo Iringa ni sh. 38,000/= complete.Nipo Shinyanga. Mwishoni mwa Novemba mwaka jana, nilinunua mtungi wa gesi wa kilo 30 kwa 54,000/=. Leo, nashangaa naambiwa 59,000/=.
Upandaji wa vitu, sisikii Serikali ikikemea!
Wakuu nisipende kuwachosha
Ila inasikitisha sana kuona ikulu ambapo Nyerere aliwahi kusema kuwa ni mahala patakatifu imebadilika na kuwa pango la walanguzi.
Leo ikulu hapafanyiki tena mikutano ya kujadili mikataba ya madini,utiaji saini miradi ya maendeleo n.k Bali imekuwa sehemu ya kufanya karamu kuonana na viongozi wastaafu kupongezana n.k
Kiongozi mkuu wa nchi amekuwa mwepesi kuhudhuri shughuli nyepesi nyepesi zisizokuwa na tija kubwa kwa taifa huku akiacha hoja za msingi na miradi ya msingi ya kimaendeleo hususan kwa nchi yetu masikini ambayo bado hali ya uchumi si nzuri na changamoto ni nyingi mno kwa wananchi ambao wamepigwa na maisha hata hawakumbuki siku zao za kuzaliwa.
Kiongozi mkuu wa nchi amebaki kufanya makongamano,teuzi,birthday party n.k huku akisahau kuna miradi ya kimkakati kama JNHP, SGR pia anapaswa kubrainnstorm kuja na miradi mingi ili uchumi ukue watanzania waondokane na umasikini unaowatesa miaka nenda rudi.Sijakataa mtu kusherehekea siku yake ya kuzaliwa siku moja kati ya 365 lakini vipi masikini wanaoteseka siku zote 365 huku yule waliyemtuma wakitegemea atawaondolea umasikini akiponda raha (kiujumla maisha ya Rais kwa mshahara wake ni bonus tosha kwa siku zote 365 ukilinganisha na watanzania wengi ) lakini bado pia kabla hajatimiza azma za waliomtuma tayari anafanya karamu tena hali ya kuwa wale waliomtuma hawakumbuki hata siku zao za kuzaliwa kwa tabu na masumbuko ya umasikini wanaoupitia!
Wakuu nina mengi moyoni ila hasira zimenikaba kwenye koo mpaka nashindwa kuendelea. Naomba niishie hapa kwa L
Pengine ni kweli ilaKama ulikuwa unaniheshimu, then ulikuwa na sababu. Kama heshima hiyo sasa umeiondoa tuu kwasababu tuu mimi nimeunga mkono birthday ya Mama Samia!, then asante sana kwa heshima yako, nasikitika sana, nitamiss heshima yako nitaathirika sana kuikosa heshima yako. Sina jinsi asante.
P.
Ni haki yake kusherehekea siku yake, ila pia lazima akutane na mawazo kinzani kulingana na hali ya watu wa chini waliyo nayo,Hii inaitwa roho ya kwanini, sio kitu kizuri!. Mtu amelitumikia taifa kwa siku 364, hiyo siku moja tuu ya 365 ndio inakuuma?.
Tena sisi Tanzania tuna bahati, siku ya birthday ya mkuu wa nchi ni siku ya kawaida, wenzetu ikiwemo Uingereza, Birthday ya Queen ni public holiday!. Na sio UK pekee, ni Great Britain yote, na kwenye dominion zake site, Canada, Australia na Newsland.
Siku hiyo balozi zote za Uingereza dunia nzima zinaiadhimisha kwa tafrija mchapalo.
Nami nijiunge na Watanzania wenzangu kumtakia Happy Birthday President Mama Samia Suluhu Hassan.
P
Dawa ya meno ile ya 1200 saivi inauzwa 1500, vifaa vya ujenzi ndio havishikiki mkuu. Yule bibi anaongea anarembua macho eti ' nafungua nchi'.Nipo Shinyanga. Mwishoni mwa Novemba mwaka jana, nilinunua mtungi wa gesi wa kilo 30 kwa 54,000/=. Leo, nashangaa naambiwa 59,000/=.
Upandaji wa vitu, sisikii Serikali ikikemea!
Huyu wa kwetu ni queen?
Mwafrika na nongwa zake zinazomjazia umaskini kila kukicha. Sherehe ya kuzaliwa ni siku moja tu, leo hii imeshakuwa historia.Wakuu nisipende kuwachosha
Ila inasikitisha sana kuona ikulu ambapo Nyerere aliwahi kusema kuwa ni mahala patakatifu imebadilika na kuwa pango la walanguzi.
Leo ikulu hapafanyiki tena mikutano ya kujadili mikataba ya madini,utiaji saini miradi ya maendeleo n.k Bali imekuwa sehemu ya kufanya karamu kuonana na viongozi wastaafu kupongezana n.k
Kiongozi mkuu wa nchi amekuwa mwepesi kuhudhuri shughuli nyepesi nyepesi zisizokuwa na tija kubwa kwa taifa huku akiacha hoja za msingi na miradi ya msingi ya kimaendeleo hususan kwa nchi yetu masikini ambayo bado hali ya uchumi si nzuri na changamoto ni nyingi mno kwa wananchi ambao wamepigwa na maisha hata hawakumbuki siku zao za kuzaliwa.
Kiongozi mkuu wa nchi amebaki kufanya makongamano,teuzi,birthday party n.k huku akisahau kuna miradi ya kimkakati kama JNHP, SGR pia anapaswa kubrainnstorm kuja na miradi mingi ili uchumi ukue watanzania waondokane na umasikini unaowatesa miaka nenda rudi.Sijakataa mtu kusherehekea siku yake ya kuzaliwa siku moja kati ya 365 lakini vipi masikini wanaoteseka siku zote 365 huku yule waliyemtuma wakitegemea atawaondolea umasikini akiponda raha (kiujumla maisha ya Rais kwa mshahara wake ni bonus tosha kwa siku zote 365 ukilinganisha na watanzania wengi ) lakini bado pia kabla hajatimiza azma za waliomtuma tayari anafanya karamu tena hali ya kuwa wale waliomtuma hawakumbuki hata siku zao za kuzaliwa kwa tabu na masumbuko ya umasikini wanaoupitia!
Wakuu nina mengi moyoni ila hasira zimenikaba kwenye koo mpaka nashindwa kuendelea. Naomba niishie hapa kwa Leo . View attachment 2097413View attachment 2097414