Kushika Nafasi ya 7 Mashindano ya Dunia ni Ushindi Kwetu.

Kushika Nafasi ya 7 Mashindano ya Dunia ni Ushindi Kwetu.

Melubo Letema

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
416
Reaction score
414
Mwanariadha Gabriel Gerald Geay Ametutoa kimasomasokwa kushika nafasi ya 7 kwa muda wa saa mbili dakika Saba na Sekunde thelathini na moja (2:07:31) katika Mashindano ya Dunia ya Riadha, yaliyofanyika Oregon nchini Marekani tarehe 17 Julai 2022 Jumapili iliyopita.

Kwa upande wa Mwanariadha mwingine mwakilishi Emanuel Giniki Ashindwa kumaliza mbio kutokana na Uchovu wa Safari Baada ya kuchelewa kupata visa ya kufika Marekani. Pia Maandalizi yake yaliyokuwa Hafifu, alipofika Huko viongozi hawakuwepo kumfanyia massage ya Viungo na kumuelekeza cha Kufanya Kwa kuwa Viongozi walikosa visa.
 
Swala la kufanya mambo muda ukiwa umebaki kidogo ni tatizo kwetu waafrika Omanyala nae alichelewa sana kupata visa . Tatizo sijui ni nn mbona tunafanyiana hujuma sanaa hivi ?
 
Swala la kufanya mambo muda ukiwa umebaki kidogo ni tatizo kwetu waafrika Omanyala nae alichelewa sana kupata visa . Tatizo sijui ni nn mbona tunafanyiana hujuma sanaa hivi ?
Suala ni Mfumo wa wamarekani (Afrika) ni mbovu, ila waafrika tunaenda Kufanya mambo kwenye deadlines.
 
Michezo ni sayansi, tuwekeze ktk michezo Tanzania tupo vizuri.
 
Back
Top Bottom