Maulid mussa15
New Member
- Aug 1, 2017
- 3
- 1
Habari zenu wadau,
Naomba kushea hii kitu, kuna mtu nimekutana naye ana shida ya uzazi lakini mwanzo aliweza kubeba ujauzito na kujifungua mtoto mmoja. Baada ya hapo hakuweza tena kubeba ujauzito wala kupata hedhi kwa muda wa miaka 4 hadi sasa.
Mwenza wake alijuzwa na madaktari kuwa mkewe hatoweza kubeba ujauzito na baada ya muda ndoa ikavunjika, lakini muhusika akajaribu kwenda kupima kwenye moja ya hospital aliambiwa uwezo wa kubeba ujauzito anao.
Shida aliyonayo ni kubeba ujauzito, hapati hedhi na huwa anapata maumivu ya tumbo mara kwa mara. Je, hilo tatizo linaweza tibika?
Naomba kushea hii kitu, kuna mtu nimekutana naye ana shida ya uzazi lakini mwanzo aliweza kubeba ujauzito na kujifungua mtoto mmoja. Baada ya hapo hakuweza tena kubeba ujauzito wala kupata hedhi kwa muda wa miaka 4 hadi sasa.
Mwenza wake alijuzwa na madaktari kuwa mkewe hatoweza kubeba ujauzito na baada ya muda ndoa ikavunjika, lakini muhusika akajaribu kwenda kupima kwenye moja ya hospital aliambiwa uwezo wa kubeba ujauzito anao.
Shida aliyonayo ni kubeba ujauzito, hapati hedhi na huwa anapata maumivu ya tumbo mara kwa mara. Je, hilo tatizo linaweza tibika?