Kushindwa kwa Fei Toto ndio nafuu ya ushindi wa soka letu!

Kushindwa kwa Fei Toto ndio nafuu ya ushindi wa soka letu!

Fundi kipara

Senior Member
Joined
Oct 27, 2019
Posts
125
Reaction score
247
Fei kushindwa soka letu limeshinda! Ukubwa wa jina la Fei alioupata akiwa Yanga ungekuwa silaha ya kuuangamiza mpira wetu 🇹🇿.

Kivipi?

Kesi/Shauri lake kama angeshinda lingetumika kama kielelezo na mfano kwa Wachezaji mbalimbali kuvunja mikataba yao bila utaratibu.

"Mbona Fei alivunja?" Kauli kama hizi zingetumika kuhalalisha ouvu. Kesho angeibuka Chama, keshokutwa Bangala, Mtondogoo Prince Dube wadai kuwa hawana furaha, kwa hiyo wanavunja mikataba yao.

FIFA waliliona hilo, that's why wakaweka kanuni ambazo unapaswa kuzifuata ili uvunje Mkataba kanuni ambazo Fei hajakidhi hata moja. Nilishazitaja sana, sirudii wino wa kalamu yangu utaisha.

Hii issue haijainufaisha Yanga pekee. Klabu zote Nchini zimenufaika kupitia shauri hili. Hakuna tena mchezaji atakayeamua kuvunja Mkataba kienyeji, akifanya hivyo klabu husika na kamati itatumia kesi ya Fei kama reference.

NB: Fei anaangamizwa na wanaomzunguka, ambao baada ya kufeli hatawaona.

Hii habari mbaya sana kwa Makolo na udunduka wao😁
 
1. Hii issue haijainufaisha Yanga pekee. Klabu zote Nchini zimenufaika kupitia shauri hili.
2. Hii habari mbaya sana kwa Makolo na udunduka wao😁
Kwa tunaofikiri kwa undani, hizi sentensi zako mbili zinapingana. Kwa ufupi umekipinga ulichowasilisha, so haujafanya lolote hadi sasa. Uzi ufutwe
 
Fie chukua begi lako nenda yanga ,uwe unakula msosi na kukaa bench ....maisha ndio hata haya ....


Mwisho wa siku utaanza kula unga wa sembe Kwa stress maana hata huo ugali na sukari vitaisha ..
 
Fei kushindwa soka letu limeshinda! Ukubwa wa jina la Fei alioupata akiwa Yanga ungekuwa silaha ya kuuangamiza mpira wetu [emoji1241].

Kivipi?

Kesi/Shauri lake kama angeshinda lingetumika kama kielelezo na mfano kwa Wachezaji mbalimbali kuvunja mikataba yao bila utaratibu.

"Mbona Fei alivunja?" Kauli kama hizi zingetumika kuhalalisha ouvu. Kesho angeibuka Chama, keshokutwa Bangala, Mtondogoo Prince Dube wadai kuwa hawana furaha, kwa hiyo wanavunja mikataba yao.

FIFA waliliona hilo, that's why wakaweka kanuni ambazo unapaswa kuzifuata ili uvunje Mkataba kanuni ambazo Fei hajakidhi hata moja. Nilishazitaja sana, sirudii wino wa kalamu yangu utaisha.

Hii issue haijainufaisha Yanga pekee. Klabu zote Nchini zimenufaika kupitia shauri hili. Hakuna tena mchezaji atakayeamua kuvunja Mkataba kienyeji, akifanya hivyo klabu husika na kamati itatumia kesi ya Fei kama reference.

NB: Fei anaangamizwa na wanaomzunguka, ambao baada ya kufeli hatawaona.

Hii habari mbaya sana kwa Makolo na udunduka wao[emoji16]
Mbona mambo yenu yakiwashinda mnaisingizia Simba? Suala la Feisal Lina jambo kubwa la siri na fedheha kubwa, tajiri wenu alitaka kumtafuna huyo dogo na yeye kwa kulinda heshima yake akaamua kutumia lugha ya kidiplomasia kuondoka hapo lakini kwa vile mnaisingizia Simba suala la Feisal inabidi tuliseme tu. Hata Mama yake juzi alisema mambo mengine ni siri kubwa yaliyopelekea Feisal kuichukia Yanga. Kijana anawafungia magoli muhimu kabisa halafu mnataka kumla, HAIKUBALIKI kabisa.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mbona mambo yenu yakiwashinda mnaisingizia Simba? Suala la Feisal Lina jambo kubwa la siri na fedheha kubwa, tajiri wenu alitaka kumtafuna huyo dogo na yeye kwa kulinda heshima yake akaamua kutumia lugha ya kidiplomasia kuondoka hapo lakini kwa vile mnaisingizia Simba suala la Feisal inabidi tuliseme tu. Hata Mama yake juzi alisema mambo mengine ni siri kubwa yaliyopelekea Feisal kuichukia Yanga. Kijana anawafungia magoli muhimu kabisa halafu mnataka kumla, HAIKUBALIKI kabisa.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Wewe jamaa umethirika na hizo tabia huwezi comment bila kutaja hayo mambo, uchunge sana moyo wako

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Hujui mpira na hata sheria za mpira huzijui
Mbona mambo yenu yakiwashinda mnaisingizia Simba? Suala la Feisal Lina jambo kubwa la siri na fedheha kubwa, tajiri wenu alitaka kumtafuna huyo dogo na yeye kwa kulinda heshima yake akaamua kutumia lugha ya kidiplomasia kuondoka hapo lakini kwa vile mnaisingizia Simba suala la Feisal inabidi tuliseme tu. Hata Mama yake juzi alisema mambo mengine ni siri kubwa yaliyopelekea Feisal kuichukia Yanga. Kijana anawafungia magoli muhimu kabisa halafu mnataka kumla, HAIKUBALIKI kabisa.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kwa tunaofikiri kwa undani, hizi sentensi zako mbili zinapingana. Kwa ufupi umekipinga ulichowasilisha, so haujafanya lolote hadi sasa. Uzi ufutwe
Hujui Mpira Kolo Wewe 😁😂
 
Mbona mambo yenu yakiwashinda mnaisingizia Simba? Suala la Feisal Lina jambo kubwa la siri na fedheha kubwa, tajiri wenu alitaka kumtafuna huyo dogo na yeye kwa kulinda heshima yake akaamua kutumia lugha ya kidiplomasia kuondoka hapo lakini kwa vile mnaisingizia Simba suala la Feisal inabidi tuliseme tu. Hata Mama yake juzi alisema mambo mengine ni siri kubwa yaliyopelekea Feisal kuichukia Yanga. Kijana anawafungia magoli muhimu kabisa halafu mnataka kumla, HAIKUBALIKI kabisa.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hujui Mpira Kalime Bamia Kolo Wewe...!!

Mkataba wa Yanga na Feisali Ukuume Wewe

Kuna Ushahidi Gani Unaodhihirisha Fei Haipendi Yanga...?

Muda Huo Mnasema Mpira ni Biashara

NB: HAKUNA MCHEZAJI MKUBWA ZAIDI YA CLUB
 
Wewe jamaa umethirika na hizo tabia huwezi comment bila kutaja hayo mambo, uchunge sana moyo wako

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wewe hukumsikia mama yake aliposema mambo mengine ni siri kubwa? Imebidi tuyaweke wazi kwani mnazusha kuwa Simba ndiyo wamemrubuni wakati dogo amekasirishwa na huo upuuzi mnaotaka kumfanyia. Mungu anawaona na usodoma wenu.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Hujui Mpira Kalime Bamia Kolo Wewe...!!

Mkataba wa Yanga na Feisali Ukuume Wewe

Kuna Ushahidi Gani Unaodhihirisha Fei Haipendi Yanga...?

Muda Huo Mnasema Mpira ni Biashara

NB: HAKUNA MCHEZAJI MKUBWA ZAIDI YA CLUB
Ukweli lazima usemwe dogo kachukizwa na kitendo cha tajiri wenu. Mbona mashoga wapo wengi tu kwa nini amtanani mchezaji? HAIKUBALIKI kabisa,ni dhambi kubwa sana hiyo

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Hujui Mpira Kalime Bamia Kolo Wewe...!!

Mkataba wa Yanga na Feisali Ukuume Wewe

Kuna Ushahidi Gani Unaodhihirisha Fei Haipendi Yanga...?

Muda Huo Mnasema Mpira ni Biashara

NB: HAKUNA MCHEZAJI MKUBWA ZAIDI YA CLUB
Halafu Feitoto alikuwa Yanga kutoka Singida United kwa fadhila za Mwigulu. 🙂
 
Mbona mambo yenu yakiwashinda mnaisingizia Simba? Suala la Feisal Lina jambo kubwa la siri na fedheha kubwa, tajiri wenu alitaka kumtafuna huyo dogo na yeye kwa kulinda heshima yake akaamua kutumia lugha ya kidiplomasia kuondoka hapo lakini kwa vile mnaisingizia Simba suala la Feisal inabidi tuliseme tu. Hata Mama yake juzi alisema mambo mengine ni siri kubwa yaliyopelekea Feisal kuichukia Yanga. Kijana anawafungia magoli muhimu kabisa halafu mnataka kumla, HAIKUBALIKI kabisa.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hivi suala la Feisal sijajua kwanini MAMBUMBUMBU linawawasha sana nyolo
 
Fei kushindwa soka letu limeshinda! Ukubwa wa jina la Fei alioupata akiwa Yanga ungekuwa silaha ya kuuangamiza mpira wetu 🇹🇿.

Kivipi?

Kesi/Shauri lake kama angeshinda lingetumika kama kielelezo na mfano kwa Wachezaji mbalimbali kuvunja mikataba yao bila utaratibu.

"Mbona Fei alivunja?" Kauli kama hizi zingetumika kuhalalisha ouvu. Kesho angeibuka Chama, keshokutwa Bangala, Mtondogoo Prince Dube wadai kuwa hawana furaha, kwa hiyo wanavunja mikataba yao.

FIFA waliliona hilo, that's why wakaweka kanuni ambazo unapaswa kuzifuata ili uvunje Mkataba kanuni ambazo Fei hajakidhi hata moja. Nilishazitaja sana, sirudii wino wa kalamu yangu utaisha.

Hii issue haijainufaisha Yanga pekee. Klabu zote Nchini zimenufaika kupitia shauri hili. Hakuna tena mchezaji atakayeamua kuvunja Mkataba kienyeji, akifanya hivyo klabu husika na kamati itatumia kesi ya Fei kama reference.

NB: Fei anaangamizwa na wanaomzunguka, ambao baada ya kufeli hatawaona.

Hii habari mbaya sana kwa Makolo na udunduka wao😁
Ngoja uone! Mawakili wake uchwara wa Jamii Forums watapinga!
 
Hii ni somo kwa local players to start doing things professionally. They use lawyers to advise them before signing any contracts. Wawe na chombo cha washauri. TFF haipo kusaidia wachezaji. Iko to help clubs exploit local players.
 
Hii ni somo kwa local players to start doing things professionally. They use lawyers to advise them before signing any contracts. Wawe na chombo cha washauri. TFF haipo kusaidia wachezaji. Iko to help clubs exploit local players.
Well Said Bro....! But Hawa Wachezaji wa Bongo Wengi Wakurupukaji Anawezapata WAKALA wa Kisasa Ila Akaanza Kuleta Mbwela na Uswahili + Ubahili😂
 
Mpira gani umeshinda kwa kukandamiza haki ya mchezaji?

Badala mjiulize mkataba wake na utopolo ulikuwa unasema nini, utopolo unakimbilia tu kusema mpira wetu umeshinda, mpira hauwezi kushinda kwa kuwapendelea wajinga, huko ni kuudumaza mpira wetu.
 
Back
Top Bottom