mkuu salary siasa za mtandaoni kwa hapa tz bado sanaaa,Ndio nyie mlisema upinzani umekufa lakini mwenyekiti wenu alipiga magoti kuomba kura.Uwezo wenu wa kuona mbali ni mdogo mno.
Sasa ndio utaona beberu linapandwaBeberu limeshasema waachiwe kama mnabisha mtapandwa muda simrefu
Kuna Rais mmoja aliwahi kumwambia JK kuwa anaongoza maiti!Nimeafiki maneno hayo!Kama ni mtiti ungeanza siku ileile ya kupiga kura.wanadai walikamata kura feki kisha badotena wakakubali kuendelea na upigaji kura!
watu wenyewe wakuliamsha ndo awa wa humu jf wamechoka vibaya sana wakina Mmawia na wenzie.
Nafsi Ina kusuta maana hukupiga kuraKuna Rais mmoja aliwahi kumwambia JK kuwa anaongoza maiti!Nimeafiki maneno hayo!
Uchaguzi umeisha na maiti zimekubali udhalimu uliofanywa!
Kifuatacho sasa ni maisha yaendelee,wenye serikali walete maendeleo waliyoahidi!Hakuna visingizio!
Kwa upande wangu mimi mwaka huu ndio wa mwisho kushiriki jambo lolote la siasa la moja kwa moja kama kupiga kura au kwenda kwenye mikutano ya aina yoyote yenye sura za kisiasa!
Siasa za bongo uhuni na maigizo ya hali ya juu!
So nachagua kuishi kwa furaha bila siasa!
Nilipiga kura!Najuta hata kwanini nilipoteza muda wangu kufanya hivyo!Nafsi Ina kusuta maana hukupiga kura
Hiyo siku itakua lini sasaBook 7 ushapewa kwa kuandika huu ujinga? Toka lini JWTZ wakafanya usafi karibu na ofisi za vyama? Mbowe mmemkamata wa nini? Siku itafika ya kila mmoja kuingia barabarani CMC ni Ovyo kabisa mmeiba kura mpaka mmepitiliza Mmebaka demokrasia
Sikiliza bwana!Mbona mmewakamata viongozi wa upinzani kabla hata hakujakucha?Hofu yenu ni nini?
Sio hofu ....waache tu kutupigia kelele za kijingaMbona mmewakamata viongozi wa upinzani kabla hata hakujakucha?Hofu yenu ni nini?
BRAVOWadau, amani iwe kwenu.
Watu hawashiriki kwenye maandamano kwa kushawishiwa. Maandamano ni utashi wa mtu na hushiriki tu kwa kuwa ameguswa. Maandamano ya kushawishiwa kwenye mikutano na waandishi wa habari ama kwenye mitandao ya kijamii siku zote hayafanikiwi.
Wananchi wakiguswa hata utumie vifaru huwezi kuwanyamazisha. Maandamano ya CHADEMA na ACT Wazalendo hayakuwa na hisia za wananchi bali yaliitishwa na watu waliokosa ulaji kupitia sanduku la kura.
Wananchi wanajua wazi kuwa Ushindi wa CCM ni wa halali hivyo wameamua kuwapuuza waandaaji wa maandamano hayo. Maandamano ya CHADEMA na ACT Wazalendo hayakuwa na hisia za wananchi bali yalisukumwa na genge la watu lililokuwa linapigania maslahi binafsi.
Hivyo tunahitimisha kuwa Ushindi wa CCM ni halali kabisa na wananchi wameamua kuwaadhibu CHADEMA na ACT Wazalendo kupitia sanduku la kura na kupitia maandamano feki.
Hongereni sana Waheshimiwa Wananchi. Ninyi ni zaidi ya Wale Wajumbe wa CCM. Mmetuheshimisha Watanzania. Mmewatia adabu CHADEMA na ACT Wazalendo kupitia sanduku la kura na kukataa maandamano yao
vipi kuhusu matamko ya balozi kubwa kubwa ndio uhai wa ccm?Maandamano ndio hatua ya mwisho ya kifo cha ACT na CHADEMA.
Kushindwa kwake ndio mwisho wao.
Ni makelele tuvipi kuhusu matamko ya balozi kubwa kubwa ndio uhai wa ccm?
Ni kweli upinzani huu wa Mbowe na Lema hauna mvuto hauwezi kuwashawishi watu kuwapigania Mbowe na Lema ni wezi kama walivyo maccm LISU ANGEKUWA FRONT LINE mi ningekuwa nyuma yake lkn si kina LemaMbona mmewakamata viongozi wa upinzani kabla hata hakujakucha?Hofu yenu ni nini?
Hivi wengine huwa mnawaza kwa kutumia kiungo gani?? Kama unajua kila.kitu kilienda sawa, vitisho vilivyotolewa dhidi ya watakaoandamana vililenga nini? Mngewaacha watu huru kupractice haki yao ya kikatiba ya kuandamana kwa amani uone kama wasingeandamana!Wadau, amani iwe kwenu.
Watu hawashiriki kwenye maandamano kwa kushawishiwa. Maandamano ni utashi wa mtu na hushiriki tu kwa kuwa ameguswa. Maandamano ya kushawishiwa kwenye mikutano na waandishi wa habari ama kwenye mitandao ya kijamii siku zote hayafanikiwi.
Wananchi wakiguswa hata utumie vifaru huwezi kuwanyamazisha. Maandamano ya CHADEMA na ACT Wazalendo hayakuwa na hisia za wananchi bali yaliitishwa na watu waliokosa ulaji kupitia sanduku la kura.
Wananchi wanajua wazi kuwa Ushindi wa CCM ni wa halali hivyo wameamua kuwapuuza waandaaji wa maandamano hayo. Maandamano ya CHADEMA na ACT Wazalendo hayakuwa na hisia za wananchi bali yalisukumwa na genge la watu lililokuwa linapigania maslahi binafsi.
Hivyo tunahitimisha kuwa Ushindi wa CCM ni halali kabisa na wananchi wameamua kuwaadhibu CHADEMA na ACT Wazalendo kupitia sanduku la kura na kupitia maandamano feki.
Hongereni sana Waheshimiwa Wananchi. Ninyi ni zaidi ya Wale Wajumbe wa CCM. Mmetuheshimisha Watanzania. Mmewatia adabu CHADEMA na ACT Wazalendo kupitia sanduku la kura na kukataa maandamano yao
mabeberu ?? ndio mtawajua sasa si uliona walivyomchomoa lissu pale central bila ya masharti yeyote wale sio vipimo vyenuNi makelele tu
Hayana lolote.
Leo sikiliza TBC taifa saa 2 na robo usiku. Umsikie Nyerere anasemaje kuhusu hao mabeberu.
waogaCCM ndio inakufa hivyo! Kwa sasa imebaki chama dola.
Mnajitekenya na kucheka wenyewe.
Nini kimewafanya muwakamate kabla hata hakujakucha?
Waoga kuliko kunguru!
hahaha wanaleta mipasho kwenye siasaAchaneni na wapinzani, leteni maendeleo ya vitu na watu. Pandisheni mishahara na madaraja ya watumishi wa umma, hela ziingie kwenye mzunguko.
Acheni biashara ifanywe na private sector ili kuleta mzunguko wa hela mtaani, hakuna haja kila mradi wa serikali ujengwe na JKT au TBA. Mambo ya kuwakamata wapinzani hayasaidii maendeleo
Sasa kama hawajaona kosa lake wamshikilie wa nini?mabeberu ?? ndio mtawajua sasa si uliona walivyomchomoa lissu pale central bila ya masharti yeyote wale sio vipimo vyenu