Uchaguzi 2020 Kushindwa kwa maandamano ya CHADEMA na ACT-Wazalendo ni ushahidi wa wazi kuwa ushindi wa CCM hauna dosari zozote

Wameweka Polisi kila mahali na baadhi ya maeneo hadi wanajeshi , lakini ninachoona haya maendeleo hayana kikomo hivyo siku yeyote yanaweza kuibuka ......sio busara sana kukebehi kuwa hawakutokea wakati viongozi karibu wote wakuu wamekamatwa ...na baadhi ya waliogombea ubunge
 
Maandamano yasio na KIKOMO na ya amani ujua maana yke mkuu kwani barabarani watu hawatembei je unajua siri ya Kila mmoja moyoni mwake ,hata mfanyakazi wa ofisin kwako anaandamana akuleteapo mafaili , hili neno pana Sana mpaka pale litakapotenguliwa na waliolitoa mkuu
 
Tatizo siyo maandamo ya amani kuwepo au kutokuwepo...

Issue ni nguvu ambayo ingetumika kuyazuia maandamo kutoka kwenye kuwa ya amani kwenda kwenye kua ya machafuko...



Cc: mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…